Mama mwenye nyumba kanunua friji matumizi ya umeme yameongezeka anataka niongeze pesa ya umeme. Ni sawa hii?

kiben10

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
616
789
Naombeni mawazo yenu niko kwenye hii nyumba zaidi ya miezi 5 sasa ila mwanzo tulikuwa tunaenda fresh tu, sasa mwezi miezi 2 baadae akanunua Fridge ya kugandisha barafu na anauza za mia mia na Jero pia.

Same to me nanunua vzr tu. Ila naona suala la umeme sasa limekuwa headache kwangu kwani me kwa Mwezi nalipia 10k sema na nilikuwa silipi until mwezi wa ujao, sasa naona kabla ya mwezi huyu Mama ananigongea niongee 4k anasema sasa umeme unaenda sana na Mimi nikamwambia si wewe unauza barafu yeye anasema ndio ila si zinawasaidia hapa kupata maji ya baridi? Sasa mi zinanisaidiaje wakati me nanunua cash?

Anasema kama mwezi huu sitaki kuongeza nihame. Sasa nauli hii imekaaje kwa huyu Mama house na Wenda kuna wengine mnapitia haya mliishiaje? Maana nahisi huyu anataka Kesi.
 
Naombeni mawazo yenu niko kwenye hii nyumba zaidi ya miezi 5 sasa ila mwanzo tulikuwa tunaenda fresh tu...sasa mwezi miezi 2 baadae akanunua Fridge ya kugandisha barafu na anauza za mia mia na Jero pia...same to me nanunua vzr tu. Ila naona suala la umeme sasa limekuwa headache kwangu kwani me kwa Mwezi nalipia 10k sema na nilikuwa silipi until mwezi wa ujao , sasa naona kabla ya mwezi huyu Mama ananigongea niongee 4k anasema sasa umeme unaenda sana na Mimi nikamwambia si wewe unauza barafu yeye anasema ndio ila si zinawasaidia hapa kupata maji ya baridi ? Sasa mi zinanisaidiaje wakati me nanunua cash? Anasema kama mwezi huu sitaki kuongeza nihame... Sasa nauli hii imekaaje kwa huyu Mama house na Wenda kuna wengine mnapitia haya mliishiaje?? Maana nahisi huyu anataka Kesi.
mawazo mazuri humjia mtu alie katika mazingira ya utulivu na amani....

sasa ndugu,
umepanga chumba, then unaenda unapambana huko mtaani kutafuta riziki. Unarudi home angalau kupata pumziko na amani badala yake, unakutana tena na mampambano ya kupanda au kudaiana gharama za umeme kiholela na mwenye nyumba, dah? hiyo si sawa....

Taratibu, tafuta mazingira mengine mazuri, tulivu na ya amani uishi vizuri na kwa uhakika. Uenda kupambana salama na kurudi mahali salama nyumbani....
 
Naombeni mawazo yenu niko kwenye hii nyumba zaidi ya miezi 5 sasa ila mwanzo tulikuwa tunaenda fresh tu...sasa mwezi miezi 2 baadae akanunua Fridge ya kugandisha barafu na anauza za mia mia na Jero pia...same to me nanunua vzr tu. Ila naona suala la umeme sasa limekuwa headache kwangu kwani me kwa Mwezi nalipia 10k sema na nilikuwa silipi until mwezi wa ujao , sasa naona kabla ya mwezi huyu Mama ananigongea niongee 4k anasema sasa umeme unaenda sana na Mimi nikamwambia si wewe unauza barafu yeye anasema ndio ila si zinawasaidia hapa kupata maji ya baridi ? Sasa mi zinanisaidiaje wakati me nanunua cash? Anasema kama mwezi huu sitaki kuongeza nihame... Sasa nauli hii imekaaje kwa huyu Mama house na Wenda kuna wengine mnapitia haya mliishiaje?? Maana nahisi huyu anataka Kesi.

Lazima muwe mnafikiri kidogo vijana wangu,kiuchumi na kibusara.

Binafsi nimepita huko kusumbuana na hawa wenye nyumba miaka hiyo.ila nikajikuta nahangaika kuhama na kuongeza gharama nanusumbufu mwingi.

Ameongeza elfu 4 mpe kwani haidhuru kitu kuliko kuhama hama kabla hujajipanga,Mara utafute dalali ,ale chake na usafiri juu kwa kusumbuana na elfu 4 tuu!

Kodi yako ikikaribia kuisha jipange ukae nyumba yenye ustaarabu .Luku yako independent na mwenye nyumba hakai hapo.

Then jipange mdogo mdogo uwe na kwako.
 
Naombeni mawazo yenu niko kwenye hii nyumba zaidi ya miezi 5 sasa ila mwanzo tulikuwa tunaenda fresh tu...sasa mwezi miezi 2 baadae akanunua Fridge ya kugandisha barafu na anauza za mia mia na Jero pia...same to me nanunua vzr tu. Ila naona suala la umeme sasa limekuwa headache kwangu kwani me kwa Mwezi nalipia 10k sema na nilikuwa silipi until mwezi wa ujao , sasa naona kabla ya mwezi huyu Mama ananigongea niongee 4k anasema sasa umeme unaenda sana na Mimi nikamwambia si wewe unauza barafu yeye anasema ndio ila si zinawasaidia hapa kupata maji ya baridi ? Sasa mi zinanisaidiaje wakati me nanunua cash? Anasema kama mwezi huu sitaki kuongeza nihame... Sasa nauli hii imekaaje kwa huyu Mama house na Wenda kuna wengine mnapitia haya mliishiaje?? Maana nahisi huyu anataka Kesi.
Usitoe hata mia ya ziada....Huyo mama ni mpumbavu tu.....
 
mawazo mazuri humjia mtu alie katika mazingira ya utulivu na amani....

sasa ndugu,
umepanga chumba, then unaenda unapambana huko mtaani kutafuta riziki. Unarudi home angalau kupata pumziko na amani badala yake, unakutana tena na mampambano ya kupanda au kudaiana gharama za umeme kiholela na mwenye nyumba, dah? hiyo si sawa....

Taratibu, tafuta mazingira mengine mazuri, tulivu na ya amani uishi vizuri na kwa uhakika. Uenda kupambana salama na kurudi mahali salama nyumbani....
Shukrani sana brother kwa ushauri wako, hakika kuna watu ambao wenye Moyo mzuri kama huu wa kushauri vzr hadi unahisi uko na baba mzazi
 
Mkuu huyo mama anakuona msukule mchane laivu kama hataki kuelewa mlipe halafu nunua heater chemsha Hadi maji ya kufua baada ya mwezi utaniambia
Daaah hapa nahisi kesho asbh asbh nagongewa na M/Kiti wa mtaa kunipa Notice
 
Naombeni mawazo yenu niko kwenye hii nyumba zaidi ya miezi 5 sasa ila mwanzo tulikuwa tunaenda fresh tu, sasa mwezi miezi 2 baadae akanunua Fridge ya kugandisha barafu na anauza za mia mia na Jero pia.

Same to me nanunua vzr tu. Ila naona suala la umeme sasa limekuwa headache kwangu kwani me kwa Mwezi nalipia 10k sema na nilikuwa silipi until mwezi wa ujao, sasa naona kabla ya mwezi huyu Mama ananigongea niongee 4k anasema sasa umeme unaenda sana na Mimi nikamwambia si wewe unauza barafu yeye anasema ndio ila si zinawasaidia hapa kupata maji ya baridi? Sasa mi zinanisaidiaje wakati me nanunua cash?

Anasema kama mwezi huu sitaki kuongeza nihame. Sasa nauli hii imekaaje kwa huyu Mama house na Wenda kuna wengine mnapitia haya mliishiaje? Maana nahisi huyu anataka Kesi.
Wenye nyumba hizi za bei nafuu nafuu huwa wanahisi wamekusaidia ukipamga kwao wanakuwa na masharti na maringo kibao. Raha ukae nyumba maji luku vyote vinajitegemea
 
Back
Top Bottom