Mama mkwe anapiga simu usiku saa nne saa tano nikiwa kitandani

Mama mkwe ana wivu, afaidi mtoto wake tu kila siku.
Ila wanaume wa siku hizi hamna maamuzi kabisa. Mnatia huruma
 
Nimeona hili jambo niweze kuwashirikisha ndugu zangu humu ndani maana limekuwa likinipa shida kiasi flan.

Mimi nimeoa mwaka wa 5 huu nina watoto wawili naishi na mke wangu. Shida kuwa imekuwa tabia ya mama mkwe wangu kumpigia simu mwanaye usiku saa nne au saa tano na wakati mwingine hata saa sita au saba ili wapige story. Wakati huo tupo kitandani na mke wangu. Kawaida yetu sisi saa nne tunakuwa kitandani ili kesho tuwahi kwenda kazini.

Lakini wakati mwingi mida hiyo ndo tunakuwa tukifurahia tendo la ndoa. na sometime mama mkwe naye ndo anapiga simu inakatisha stimu sana, Au hata kama tumelala kujipumzisha au kupiga story mbili tatu tukitafuta usingizi basi anapiga na wanaanza kuongea wataongea muda mrefu hapo kitandani.

Binafsi sidhani kama ni heshima kwa jambo hili. nimejaribu kumwambia mke wangu jambo hili mara kadhaa kuwa sipendezwi nalo lakini naona hanielewi kabisa. Mbaya ni kuwa mama mkwe ni mjane alifiwa na mumewe miaka mingi iliyopita so huwa anakuwa kitandani peke yake maana sidhan kama angekuwepo mumewe angemruhusu jambo hilo.

Naombeni ushauri nifanyeje maana wife anaona kama sipendi aongee na mama yake kitu ambacho si kweli. Namwambia basi awe anaenda kuzungumzia sebulen nalo anaona si jambo zuri.
Badili mida ya kufaidi tunda la ndoa. Either mchana au piga morning glory
 
unafikiri hapa maamuzi ni nini dada... maana kila jambo limekuwa wanaume wa siku hizi na wanawake wa siku hizi. tuna share haya mambo kupeana uzoefu. na si kila jambo linaishia kwenye solutions zile za kale... nataka kujua kama kuna mwingine ame experience jambo hili
Mama mkwe ana wivu, afaidi mtoto wake tu kila siku.
Ila wanaume wa siku hizi hamna maamuzi kabisa. Mnatia huruma
 
ni uvivu kufikiria kila kitu solution yake ni sex tu... ni uvivu na bila shaka hujaoa. waliooa hawawezi toa ushauri kama wako. sababu wanafaham ndo ina mambo mengi a mahusiano yana mambo mengi na si kila solution ni kwenye sex au si kila tatizo chanzo ni sex.
Ukiona hivyo ujue humridhishi mkeo, we usimwambie lolote boresha show yako tu hiyo ndio dawa. Siku moja kaka ake mtu alikuwa anampa taarifa ya ugonjwa dadaake alipiga nikashangaa simu imekatwa! Asbh mi nipo sebuleni nasikia mtu anaomba msamaha kwa kaka....
 
Mama mkwe anaonekana mpweke sana kama mna nyumba kubwa muiteni mkae nae wapate muda wa kuongea na mwanae ana kwa ana na kama bado analipa 'mtoe mama mkwe upweke' wewe ndio baba wa familia zote mbili. Man up and do the necessary
 
mara nyingi wengi huwaza yale yaliyomo kwenye wigo wao. kama wewe unalelewa usidhan wanaume wote wanalelewa.... na mi sikuona sababu ya wewe kuchoka sababu ungesoma na kuona jambo dogo then ungeachana na hili jambo waje watu wazima watoe maoni yao. kwa wenye akili wamenielewa na ndo maana unaona wanatoa ushauri..lakini siku zote wapuuzi hawakosekani na hawajui lipi dogo na lipi kubwa.
Huyu muamshie tu dude babaaa...inawezekana tunajichosha hapa kumbe mkewe ndo anamlea jambo dogo kama hilo ndo la kutusumbua hapa ?!
 
nashukuru... nlikuwa nahitaji kusikia ushauri kwa watu wazima wenye uzoefu na nashukuru coz nawe umeongea kwa uzoefu ukiacha watoto wadogo ambao hawaelewi ninachozungumzia hapa.

Mkuu pole. Iliwahi kunitokea hiyo hali nami nikaamua akipigiwa simu nawasha gari naenda kulala hotelini. Kesho akiniuliza nikamjibu nilikupisha uongee na mama yako..... kama mara tatu ilivyojirudia nikalala hotel for a week bila kurudi... akahamaki nami nikamwambia nakupa uhuru uongee na mama mkwe.... huu mwaka wa sita haijarudia tena...
 
mara nyingi wengi huwaza yale yaliyomo kwenye wigo wao. kama wewe unalelewa usidhan wanaume wote wanalelewa.... na mi sikuona sababu ya wewe kuchoka sababu ungesoma na kuona jambo dogo then ungeachana na hili jambo waje watu wazima watoe maoni yao. kwa wenye akili wamenielewa na ndo maana unaona wanatoa ushauri..lakini siku zote wapuuzi hawakosekani na hawajui lipi dogo na lipi kubwa.
Sawa endelea kupigwa exile na mama mkwe
 
nashukuru... nlikuwa nahitaji kusikia ushauri kwa watu wazima wenye uzoefu na nashukuru coz nawe umeongea kwa uzoefu ukiacha watoto wadogo ambao hawaelewi ninachozungumzia hapa.
====
kweli inauma sana but akili za wake zetu zinahitahi booster sometimes...
 
unafikiri hapa maamuzi ni nini dada... maana kila jambo limekuwa wanaume wa siku hizi na wanawake wa siku hizi. tuna share haya mambo kupeana uzoefu. na si kila jambo linaishia kwenye solutions zile za kale... nataka kujua kama kuna mwingine ame experience jambo hili
Wewe ndio wa kutatutua tatizo na si mtu mwingine.
Mnapaswa kuwekeana limit ya matumizi ya simu kipindi cha usiku. Mwambie wazi kuwa hutaki maongezi ya usiku labda iwe emergency tu. Na hilo sio ombi bali ni AMRI.
Mume ndio kichwa na ukiendekeza hiyo tabia itakomaa na kuwa sugu ataanza kuongea na mashosti usiku wa manane.
Toa amri na subiri utekelezaji
 
Nimeona hili jambo niweze kuwashirikisha ndugu zangu humu ndani maana limekuwa likinipa shida kiasi flan.

Mimi nimeoa mwaka wa 5 huu nina watoto wawili naishi na mke wangu. Shida kuwa imekuwa tabia ya mama mkwe wangu kumpigia simu mwanaye usiku saa nne au saa tano na wakati mwingine hata saa sita au saba ili wapige story. Wakati huo tupo kitandani na mke wangu. Kawaida yetu sisi saa nne tunakuwa kitandani ili kesho tuwahi kwenda kazini.

Lakini wakati mwingi mida hiyo ndo tunakuwa tukifurahia tendo la ndoa. na sometime mama mkwe naye ndo anapiga simu inakatisha stimu sana, Au hata kama tumelala kujipumzisha au kupiga story mbili tatu tukitafuta usingizi basi anapiga na wanaanza kuongea wataongea muda mrefu hapo kitandani.

Binafsi sidhani kama ni heshima kwa jambo hili. nimejaribu kumwambia mke wangu jambo hili mara kadhaa kuwa sipendezwi nalo lakini naona hanielewi kabisa. Mbaya ni kuwa mama mkwe ni mjane alifiwa na mumewe miaka mingi iliyopita so huwa anakuwa kitandani peke yake maana sidhan kama angekuwepo mumewe angemruhusu jambo hilo.

Naombeni ushauri nifanyeje maana wife anaona kama sipendi aongee na mama yake kitu ambacho si kweli. Namwambia basi awe anaenda kuzungumzia sebulen nalo anaona si jambo zuri.
Dawa yake ndogo hakikisha upo kupiga show na mwanae na awe analalamika kwa raha ya huba na mahaba achecheeeeee pokea simu mwache asikilize miguno harudiiii huyo niamini mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAKUNA KITU KIBAYA KWENYE NDOA
KAMA MKE NA MUME WASIPOJUA MIPAKA YAO NA FAMILIA WALIKOZALIWA!
FINE NI MAMAKO,FINE NI BABAKO!
lakini umeoa/umeolewa!
IF IN ANY HOW MAHUSNIANO YAKO YA WAZAZI YANADHOOFISHA UHUSIANO WAKO NA MKE/MUME WAKO!
jitazame mara mbili na ujue kabisa ulioa/na kuolewa kwaajili gani!
SISEMI MCHUKIE NDUGU!
SISEMI MTENGE WAZAZI!


ila WAZAZI NA WEWE MWENYEWE LAZIMA WATAMBUE WEWE SASA NI MUME /MKE WA MTU!
 
Nimeona hili jambo niweze kuwashirikisha ndugu zangu humu ndani maana limekuwa likinipa shida kiasi flan.

Mimi nimeoa mwaka wa 5 huu nina watoto wawili naishi na mke wangu. Shida kuwa imekuwa tabia ya mama mkwe wangu kumpigia simu mwanaye usiku saa nne au saa tano na wakati mwingine hata saa sita au saba ili wapige story. Wakati huo tupo kitandani na mke wangu. Kawaida yetu sisi saa nne tunakuwa kitandani ili kesho tuwahi kwenda kazini.

Lakini wakati mwingi mida hiyo ndo tunakuwa tukifurahia tendo la ndoa. na sometime mama mkwe naye ndo anapiga simu inakatisha stimu sana, Au hata kama tumelala kujipumzisha au kupiga story mbili tatu tukitafuta usingizi basi anapiga na wanaanza kuongea wataongea muda mrefu hapo kitandani.

Binafsi sidhani kama ni heshima kwa jambo hili. nimejaribu kumwambia mke wangu jambo hili mara kadhaa kuwa sipendezwi nalo lakini naona hanielewi kabisa. Mbaya ni kuwa mama mkwe ni mjane alifiwa na mumewe miaka mingi iliyopita so huwa anakuwa kitandani peke yake maana sidhan kama angekuwepo mumewe angemruhusu jambo hilo.

Naombeni ushauri nifanyeje maana wife anaona kama sipendi aongee na mama yake kitu ambacho si kweli. Namwambia basi awe anaenda kuzungumzia sebulen nalo anaona si jambo zuri.
Mkuu kuwa mwanaume
Mwambie "Sitaki hizi simu za kuanzia saa nne, ni muda wa kulala. Labda iwe dharura"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom