Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Dowans italipwa bilioni94,umeme wa mgao utaendelea mpaka july 2011,matumizi ya msingi yatapunguzwa serikalini e.g dawa za maleria ,vitabu mashuleni ,huduma kwa wazee,walemavu kukosa pesa kabisa
Mashangingi i.e landcruisers V8 yatazidi kununuliwa,Safari za nje kutafuta wafadhili-wanunuzi wa rasilimali ,AKA wawekezaji kuongezeka
Kiwango cha elimu kitazidi kushuka kwa kuwa mishahara ya walimu haitopanda na walimu kundelea kusoma ili kubadili career ,tayari walimu wengi wakishapata degree zao hawarudi kufundisha ktk shule walizotoka,hivyo tutakuwa na walimu wa short courses ,temporary without anycomitment to teaching as a career
Bei ya mafuta itazidi kupanda,Gas yetu itauzwa soko la nje -kuibiwa juu kwa juu.
Mh.J.K kazi yake itazidi kuwa ngumu,kwani mpaka sasa hajaweza kuteua wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi.
Katiba haitojadiliwa Tena,itaundwa tume na hiyo tume itasimamiwa na watu wale wale.....
Ahadi za CCM zitakuwa ngumu kutekeleza kwani watumishi wengi wa umma hawana moyo wala imani na viongozi walioteuliwa.
Tutalikumbuka Azimio La Arusha,hasa kuhusu maadili ya uongozi,viongozi na familia zao.
2015 CCM Kushika hatamu tena Raisi akiwa na Asilia ya Somalia-Iran