Black Bat,
nkukezya evava, nikiho mwenye aha kubiga lukunga kuti uu mlala tehena cho arongie kunu kaya. niliweka kilio cha wana same kwamba maendeleo katika kila sekta yamedorora na kwamba mama kilango ni vuvuzela tu lakini kila mtu alikuwa anafikiri naongopa. pitia post yangu uone malumbano yaliyotokea mwaka 2009.
nkukezya evava, nikiho mwenye aha kubiga lukunga kuti uu mlala tehena cho arongie kunu kaya. niliweka kilio cha wana same kwamba maendeleo katika kila sekta yamedorora na kwamba mama kilango ni vuvuzela tu lakini kila mtu alikuwa anafikiri naongopa. pitia post yangu uone malumbano yaliyotokea mwaka 2009.