John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Mimi ni mwanamapinduzi na mwanaharakati ...huyu mama kaja katuharibia jimbo letu anaongea sana na hakuna anachofanya zaidi ya kuwahadaa wananchi wa same.. sasa mama nakuambia kuwa mwisho wako unakaribia..
jimbo zuri lakini wananchi wake wanaishi gizani ..kuanzia afya ,elimu na barabara ...jimbo lote hakuna barabara ya lami hata moja ...wananchi waliahidiwa barabara ya lami toka mkomazi hadi same lakini hadi leo hakuna hata dalili na ni ndoto na nina uhakika wewe mama huwezi kuileta ..sasa jua kabisa kuwa mwisho wako ni 2015...nitapita nyumba kwa nyumba na kuwaelewesha wananchi kuwa nchi yao inaliwa na wajanja na wewe ukiwa mmoja wao...
pokea kwanza hii alert ....
jimbo zuri lakini wananchi wake wanaishi gizani ..kuanzia afya ,elimu na barabara ...jimbo lote hakuna barabara ya lami hata moja ...wananchi waliahidiwa barabara ya lami toka mkomazi hadi same lakini hadi leo hakuna hata dalili na ni ndoto na nina uhakika wewe mama huwezi kuileta ..sasa jua kabisa kuwa mwisho wako ni 2015...nitapita nyumba kwa nyumba na kuwaelewesha wananchi kuwa nchi yao inaliwa na wajanja na wewe ukiwa mmoja wao...
pokea kwanza hii alert ....