Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mengi umeyasoma,mengi umeyasikia,mengi umeelezwa.

Ziba masikio anza moja, Lea watoto wako ukiwa na mkeo, suala la kushiriki tendo la ndoa na mkeo ni maamuzi yako kama umeamua kutoshiriki naye pia sawa.

Lkn Fanya yote angalia afya ya watoto wako,kila kitu tizama watoto wako, wazazi wako wamekuletea ujumbe mzito saana fikiria Mara mbilimbili.

Ni sababu zipi zinazokufanya wewe mpaka Leo unaamini baba yako ndiye baba yako na si MTU mwingine.

Halafu hivi unapata uchungu gani? Kuchapiwa mke ambaye umezaa naye watoto wawili mkwara ulioupiga ulitosha kabisa naye hatua aliochukua kwenda kwa wazazi wako ni sawa kabisa.

Na hata wazazi wako kumleta mkeo kwako ni sawa kabisa,ila hatua zako ulizochukua ni mbaya saana na nampongeza mkeo kuwa ngangari.

Mrudie mkeo kuna watu wamepitia magumu zaidi ya hayo na wako kwenye ndoa imara saana nakupa kisa cha kweli cha mfanyakazi mwenzangu .

Yeye alipata safari ya kikazi muda mrefu aliporudi alimkuta mkewe mjamzito alimuuliza mimba ya nani? Mwanamke hana la kusema, jamaa akawa analala na panga mchagoni.

Mwisho wa siku mke kwa hofu akajifungua watoto njiti wote wakafariki, jamaa yeye ni Muislam kwa kitendo kile cha mkewe alimwambia ataoa mke wa pili.

Na alifanya hivyo mpaka Leo jamaa ana wake wawili na maisha yanakwenda. Kuchapiwa ni siri ya ndani, INA uma saana kwa wachumba na ndoa changa.

Wakongwe hujaona nini? Hujasikia nni? Kama wewe una wivu kweli mtafute kwa panga yule aliyeonja tunda lako.

Pigania maisha kuwa mchungu kutafuta maendeleo, hakika wanao wanasononeka saana hakikisha yule binti wa kazi anarudi na maisha yanasonga.
 
fanya haya:
1.peleka watoto boarding school. hakikisha kila visiting day unakwenda kuwaona. jiandikishe shuleni kuwa wewe ndio ccontact person in case of anything kuhusu watoto japokuwa usimnyime nafasi ya mama kwenda kuwaona watoto shuleni
2.hama hapo nyumbani. tafta chumba/nyumba na ishi huko. nyumba hiyo acha huyo mama aishi na watoto wako. usimtimue.
3.watoto wakiwa likizo waache wakae kwa mama yao
4.tunza familia muda wote watoto wanapokuwa likizo.likizo ikiisha na watoto kurudi shule, huyo mama usimpe matunzo yoyote kwa sababu hastahiki kwa muda huo,unless watoto wamerudi kwa dharura nyumbani kama ugonjwa nk.
5.watoto wakiwa likizo , hakikisha una spend muda mwingi nao na toka nao out mara kwa mara kwa michezo, kutembelea ndugu nk. show them love , kumbuka mama ndie atakuwa anakaa nao nyumbani likizo hivyo kuwa nao muda mwingi, usipoonesha love mama ni rahisi kuwaspoil watoto na wakakichukia.

mwisho: ugomvi wenu na visirani vyenu visiwahusishe watoto, they are very innocent , mbele yao mnatakiwa mbehave in a very mature way.
Nimekupenda point zako.Akizichukua akazitendea kazi atakuwa amewin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume kuishi na mwanamke aliyepigwa na mpigaji unamjua ni vigumu sana kusahau.wanawake wanafikir cc tupo sawa nao.ndio maana dini ya ukristo na uislam zinaruhusu kuacha mzizi.na hazikuandia mume mzinz bali ni mke mzinzi bcs mungu anajua shughuli yake bcs yy pia ni Mwanaume. Sababu nyingine zote haziruhusu kuacha mke kasoro hyo tu.inafikiri kwann mungu aliruhusu.
Kuishi na mke mzinz ni mateso makali kuvumilia ni ushujaa
Mkuu watu hawasomi vizur na wanajua mioyo ya wanaume na wanawake ni sawa kumbe sio.
Soma hapa Mathayo 19:8 Yesu akawajibu Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu sababu ya ugumu wa mioyo yenu.

Huyo mwanamke ni mpuuzi sana yani yeye badala ya kuendesha familia analeta mchepuko ndani kabisa tena rafiki wa mume?
God forgive this woman sikushangai mkuu hata ulipoleta mchepuko na kuushughulikia nyumbani japo umekosea sana sababu ya watoto i know umewaharibu hapa.
Sikulaumu sana kitendo alichofanya mkeo kilikufanya kichaa muda mfupi.
Ukiona mwanamke anakushauri msamehe jua nae mle mle.
 
dawa nyepesi sana ondoka wewe kaanze maisha kwingine mbona simple like that mkuu..... weka miakakati namana ya kullipia watoto ada na matunzo yote.. acheni ubinafsi vikojoleo vyenu vinawaumiza watoto embu wapeni watoto relief hata kidogo jamani.. baba analala na mwanamke mwingine mama analala na wanaume mwingine kweli? mnafundisha nini hawa malaika? embu we mwanume kuwa mwanaume ondoka hapo kama ni swala la hati ya nyumba transfer kwenye majina ya watoto that all .... usiwaze kwamaba unampa faida mama waza kuwa watoto wako wanahitaji malezi mema .. kama ni wasi wasi wa mkeo kuja kutiwa ndani kwako kashatiwa hata kwabla ujamwacha.......

kuwaacha watoto kwa dada yako eti kisa nyie mnashindana kugongana kwenye nyumba yeni ni upuuzi tena upuuzi mkubwa
Piga chini huyo mwanamke kwani hakukuonea huruma kwa sababu hizi
1 mshahara wako alikuwa anampongezea mwanaume mwengine babaada ya kwichikwichi
2 nyumba uliyo jenga kujistirisha wewe na familiya yako ilikuwa pango la ngono kwa mkeo ,
Kumbuka hata DANGURO NI NYUMBA ILA SI NYUMBA ZOTE NI DANGURO
3 alipuuzia kiapo cha kanisani
4 kuzaa na mwanamke kilimfanya achipuke kwani alijuwa watoto ndiyo ngao ya hiyo ndoa
5 kutoa msamaha kwa mwanamke msaliti ni sawa na kuhalalisha aendelee kuwa msaliti
6 ukimsamehe utaishi naye ktk ile ile nyumba ? Kama ukiishi naye pale pale basi hakikisha yule mfanya kazi wa ndani akamtafute akae naye pia hata yule aliye kuwa anamgegeda endelea kuwa rafiki yako ukifanikiwa vyote ndo utajuwa nini maana ya kutosamehe au kusamehee
7 tangu 2012 nani alikuwa anamkwichikwichi huyo mkeo ili hali mpaka 2017 hukumkwichi kwichi ?
NGAMIYA NI MVUMIKIVU WA KIU LAKINI AKIONA MAJI ANAYATAMANI
NA KUMBUKA
JASIRI HAACHI ASILI
8. angalia msamaha wako usije ukawa uhalalisho wake wa kuongeza michipuko kwani haba na haba hujaza kibaba
9 alijiuliza kuwa matendo yake ndiyo mapambo yake
PAMBO LA MWANAMKE SIYO UREMBO BALI NI TABIA NA STARA YA KUSITIRI HESHIMA NA UTU WA MME WAKE
Jee wewe umeona pambo lake liko wapi
10 JASHO LAKO SI LAKE ILA WATOTO WAKO NI MATOKEO YA JASHO LAKO WEKA NGUVU KUBWA SANA KWA WATOTO WAKO


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzaa na mwanamke hakumuhalalishi ajichipushe , mtoto siyo ngao ya kumlinda mwanamke ktk ndoa
Yeye hakulijuwa yanaweza kutokea mabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga chini tu
Nimekupenda point zako.Akizichukua akazitendea kazi atakuwa amewin

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu watu hawasomi vizur na wanajua mioyo ya wanaume na wanawake ni sawa kumbe sio.
Soma hapa Mathayo 19:8 Yesu akawajibu Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu sababu ya ugumu wa mioyo yenu.

Huyo mwanamke ni mpuuzi sana yani yeye badala ya kuendesha familia analeta mchepuko ndani kabisa tena rafiki wa mume?
God forgive this woman sikushangai mkuu hata ulipoleta mchepuko na kuushughulikia nyumbani japo umekosea sana sababu ya watoto i know umewaharibu hapa.
Sikulaumu sana kitendo alichofanya mkeo kilikufanya kichaa muda mfupi.
Ukiona mwanamke anakushauri msamehe jua nae mle mle.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Kazi ipo
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
mkuu fanya fuatayo

1. kiungwana ulitakiwa umkazie kwa kutoshiriki nae na kumrudisha nyumbani lakini bila kumufanyia hivo visa vya kuleta mwanamke nyumbani wala kuwa na demu mtaani kwenu hii ingesaidia kwa baadae kurudiana kwa ajili ya watoto wenu sasa hivi katu usirudiane maana uzeeni utalia na kusaga meno kwani atakuja lipiza vibaya sana au atakutanguliza mbele za haki

2. unachotakiwa kufanya ondoka home muachie nyumba na mali zote zisizohamishika kwa ajili ya watoto wewe sepa na hela kaoe mke wmingine na katu usiende mwambia madhaifu ya huyo mke wako huyo utakae muoa
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Pole mzee baba, ulikosea kumpokea alipoletwa na wazazi, hapa ndipo ulipopigwa.
Binafsi yalinikuta japo ni tofauti kidogo, wazazi walinijia juu mbaya kuhusu kumrudisha, mama akatishia hadi kuniachia laana nikamwambia we niachie tu hiyo laana mama haina shida, baba akawa mkali nikamwambia bora aniue, naona walikaa wakaona huyu mtu yupo tayari kwa lolote tutampoteza wakaachana na mimi.
 
kama ametubu na kujutia kosa lake, huna budi kumsamehe for the sake of your children. Akija mama mwingine anaweza akakuvuruga kuliko huyo.
Acheni kushauri upuuzi jamani et km katubu niliwah kudanganyika ktk jambo hilo kilichonikuta mpk nililazimika kudanganya kuwa nimemeza dawa nyingi za kunitoa uhai mwanamke kaogopa kaondoka....sameh mengine yot siyo usaliti hasa wa mwanamke cz mwanamke akikusaliti kadhamiria kabisa Wala si bahati mbaya!!!
 
Mtoa mada ulifanya maamuzi sahihi kabisa, Yaani mwanamke amekusaliti mpaka akaleta mchepuko kitandani kwako huyo mwanamke Hana akili hata robo, Yaani ukiendelea kukaa hapo utakufa muda sio wako! Kama hataki kuondoka ondoka wewe muachie maisha yake na kama ni nyumba uza mgawane au kama hutaki kuuza muachie yeye na watoto waishi itakuwa unakuja kuwaona watoto tu, Yaani alishindwa kuvumilia MIEZI 3 tu!! Na inaelekea hayo mahusiano na huyo RAFIKI Yako walikuwa nayo kabla maana sio RAHISI mke wa mtu akajiingiza kwenye mahusiano ya haraka kihivyo any way pole sana Kwa yaliyokukuta , kitendo Cha KULETA mwanamke mwingine ndani na wewe kufanya nae mapenzi hapo napo na ww uliongozwa na uswahili
 
huyo ni mshenzi tu.... wewe hukuwa na haja ya kumfanyia visa.... endelea tu na maisha yako ya kawaida usimfukuze wala usihame.... rudi nyumbani nenda kazini fanya kama unaishi na mdogo wako..... ishi kiume...
 
Mengi umeyasoma,mengi umeyasikia,mengi umeelezwa.

Ziba masikio anza moja, Lea watoto wako ukiwa na mkeo, suala la kushiriki tendo la ndoa na mkeo ni maamuzi yako kama umeamua kutoshiriki naye pia sawa.

Lkn Fanya yote angalia afya ya watoto wako,kila kitu tizama watoto wako, wazazi wako wamekuletea ujumbe mzito saana fikiria Mara mbilimbili.

Ni sababu zipi zinazokufanya wewe mpaka Leo unaamini baba yako ndiye baba yako na si MTU mwingine.

Halafu hivi unapata uchungu gani? Kuchapiwa mke ambaye umezaa naye watoto wawili mkwara ulioupiga ulitosha kabisa naye hatua aliochukua kwenda kwa wazazi wako ni sawa kabisa.

Na hata wazazi wako kumleta mkeo kwako ni sawa kabisa,ila hatua zako ulizochukua ni mbaya saana na nampongeza mkeo kuwa ngangari.

Mrudie mkeo kuna watu wamepitia magumu zaidi ya hayo na wako kwenye ndoa imara saana nakupa kisa cha kweli cha mfanyakazi mwenzangu .

Yeye alipata safari ya kikazi muda mrefu aliporudi alimkuta mkewe mjamzito alimuuliza mimba ya nani? Mwanamke hana la kusema, jamaa akawa analala na panga mchagoni.

Mwisho wa siku mke kwa hofu akajifungua watoto njiti wote wakafariki, jamaa yeye ni Muislam kwa kitendo kile cha mkewe alimwambia ataoa mke wa pili.

Na alifanya hivyo mpaka Leo jamaa ana wake wawili na maisha yanakwenda. Kuchapiwa ni siri ya ndani, INA uma saana kwa wachumba na ndoa changa.

Wakongwe hujaona nini? Hujasikia nni? Kama wewe una wivu kweli mtafute kwa panga yule aliyeonja tunda lako.

Pigania maisha kuwa mchungu kutafuta maendeleo, hakika wanao wanasononeka saana hakikisha yule binti wa kazi anarudi na maisha yanasonga.
Huu ushauri sio kwa kweli.
Mke Malaya HARUDIWI.

#YNWA
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Kilichokuwa kina kuweka hapo ni watoto sasa hawapo unafanya nn, ondoka kaanze maisha kwingine
Unabahati kupata mahali watoto wanapapenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom