Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mkuu kuchapiwa mke tena na rafiki yako, hiyo inauma sana. kama alivyosema[TAG]msalala kwetu[/TAG]siwezi kusamehe maana hiyo ni dharau iliyo kubuhu. Mkuu watoto peleka shule, the hama hapo ulipo na kama nyumba ni yako ondoka na hati.[TAG]miss chagga[TAG] kakupa ushauri mzuri sana.[/TAG]
yeye hajawahi kuchepuka tangu waoane au kwasababu tu hajakamatwa. unafikiri mwanamke atakayekaa naye ambaye hata hajamzalia watoto atakuwa mwaminifu milele? huyo huyo kama ameonyesha kutubu na kujutia, endelea naye tu, kwani ulimkuta bikira? si wenzio walipiga sana ulikuta makapi tu?
 
yeye hajawahi kuchepuka tangu waoane au kwasababu tu hajakamatwa. unafikiri mwanamke atakayekaa naye ambaye hata hajamzalia watoto atakuwa mwaminifu milele? huyo huyo kama ameonyesha kutubu na kujutia, endelea naye tu, kwani ulimkuta bikira? si wenzio walipiga sana ulikuta makapi tu?
Tatizo hapa sio kuchepuka, tatizo ni kuchepuka na rafiki yako tena nyumbani kwako. hivi mbona miezi mitatu ni michache, alishindwa nini kujizuia.
 
Tatizo hapa sio kuchepuka, tatizo ni kuchepuka na rafiki yako tena nyumbani kwako. hivi mbona miezi mitatu ni michache, alishindwa nini kujizuia.
ulitaka achepuke na boss, au na mkata majani ya ng'ombe?
 
Nimesoma andiko zima sijaona muendelezo wa huyo Rafiki a.k.a Mlaji....usiniambie yeye yupo somewhere amekunja nne naendelea na maisha yake raha mustarehe, nyie huku ndio mnaisoma namba.
 
Lao moja.
We vunja ndoa anza mahusiano mapya ukianza kushindana na walimwengu utapotea hata Mathayo inasema Uzinzi tuu ndio utakaowatenganisha wanandoa.
Na ww uwe msafi pia
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Mama atakuwa anajua utamu wa kuchepuka
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Fanya kumsamehe mkuu.....wanaume tuliumbwa kuongoza na sio kuwa followers .....unapofanya maovu aliyofanya ina maana ww n follower wake ..... just think great ....msamehe tu kwan bnadamu wanamapungufu meng sana .......stand as man ...atakua ameona kosa alilofanya........msamehe ili nawe usamehewe kwa uliowah kuwakosea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fanya haya:
1.peleka watoto boarding school. hakikisha kila visiting day unakwenda kuwaona. jiandikishe shuleni kuwa wewe ndio ccontact person in case of anything kuhusu watoto japokuwa usimnyime nafasi ya mama kwenda kuwaona watoto shuleni
2.hama hapo nyumbani. tafta chumba/nyumba na ishi huko. nyumba hiyo acha huyo mama aishi na watoto wako. usimtimue.
3.watoto wakiwa likizo waache wakae kwa mama yao
4.tunza familia muda wote watoto wanapokuwa likizo.likizo ikiisha na watoto kurudi shule, huyo mama usimpe matunzo yoyote kwa sababu hastahiki kwa muda huo,unless watoto wamerudi kwa dharura nyumbani kama ugonjwa nk.
5.watoto wakiwa likizo , hakikisha una spend muda mwingi nao na toka nao out mara kwa mara kwa michezo, kutembelea ndugu nk. show them love , kumbuka mama ndie atakuwa anakaa nao nyumbani likizo hivyo kuwa nao muda mwingi, usipoonesha love mama ni rahisi kuwaspoil watoto na wakakichukia.

mwisho: ugomvi wenu na visirani vyenu visiwahusishe watoto, they are very innocent , mbele yao mnatakiwa mbehave in a very mature way.
Best comment ever...

You are very matured guy... Yan from ushauri wako tu unaonekana how matured u are a very very big respect for u mkuu....

Kwa jamaa kama unataka kufata ushauri this is last resort man...

Gals cheat for lobe unlike man's huyo hafai kuitwa mke ndani within ur bed... Hapana man fanya maamuzi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
msalala kwetu, Pole sana, Lakini wewe ni katilii khaswa.... Una moyo wa chuma/jiwe !! Mwenzio alifanya maovu kwa siri .. Nawe ulifanya dhahiri mbele ya macho yake kwa miaka kadhaa (kuzini na ke z nyumani kwenu) !!

Ushauri ntakaokuppa ni huu:- TUBU na ufute Msongo unaokutafuna kichwani kwako "START A NEW PAGE" !!
naye mke aTUBU na mupalilie upya shamba la mapenzi na muitunze familia yenu kwa Upendo !1 (usisahu una watoto the need you both) !!
Huko Msalala si geita huko au.......??
Alifanya kwa siri ndani kwake alafu chumbani kwake....

Man kuchapiwa mke kunaumaaa hata mkishauri asamehe hilo doa halifutiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dawa nyepesi sana ondoka wewe kaanze maisha kwingine mbona simple like that mkuu..... weka miakakati namana ya kullipia watoto ada na matunzo yote.. acheni ubinafsi vikojoleo vyenu vinawaumiza watoto embu wapeni watoto relief hata kidogo jamani.. baba analala na mwanamke mwingine mama analala na wanaume mwingine kweli? mnafundisha nini hawa malaika? embu we mwanume kuwa mwanaume ondoka hapo kama ni swala la hati ya nyumba transfer kwenye majina ya watoto that all .... usiwaze kwamaba unampa faida mama waza kuwa watoto wako wanahitaji malezi mema .. kama ni wasi wasi wa mkeo kuja kutiwa ndani kwako kashatiwa hata kwabla ujamwacha.......

kuwaacha watoto kwa dada yako eti kisa nyie mnashindana kugongana kwenye nyumba yeni ni upuuzi tena upuuzi mkubwa
Dada ulianza kutoa ushauri vizuri lkn umeharibu mwisho huyu jamaa aondoke mwache huyo Dada na hiyo nyumba cha msingi nikuhakikisha wanapata haki zao za msingi
 
dawa nyepesi sana ondoka wewe kaanze maisha kwingine mbona simple like that mkuu..... weka miakakati namana ya kullipia watoto ada na matunzo yote.. acheni ubinafsi vikojoleo vyenu vinawaumiza watoto embu wapeni watoto relief hata kidogo jamani.. baba analala na mwanamke mwingine mama analala na wanaume mwingine kweli? mnafundisha nini hawa malaika? embu we mwanume kuwa mwanaume ondoka hapo kama ni swala la hati ya nyumba transfer kwenye majina ya watoto that all .... usiwaze kwamaba unampa faida mama waza kuwa watoto wako wanahitaji malezi mema .. kama ni wasi wasi wa mkeo kuja kutiwa ndani kwako kashatiwa hata kwabla ujamwacha.......

kuwaacha watoto kwa dada yako eti kisa nyie mnashindana kugongana kwenye nyumba yeni ni upuuzi tena upuuzi mkubwa
Dada ulianza kutoa ushauri vizuri lkn umeharibu mwisho huyu jamaa aondoke mwache huyo Dada na hiyo nyumba cha musings nikuhakikisha wanapata haki zao za msingi
 
LUKE 17: 3 - 4 “If your brother or sister sins against you, rebuke them; and if they repent, forgive them.
4 Even if they sin against you seven times in a day and seven times come back to you saying ‘I repent,’ you must forgive them.”....FORGIVE...FORGIVE...FORGIVE!!
easier said than done.
 
I like the promise of respect toward our comments. Believe me I understand the pain you feel. Hata ungelala na wanawake 1000 mbele yake, it still happened (Your wife slept with your friend). Truth is, it hurts her as well that you sleep with other women. Kaumia same as you and even more. Please stop digging the hole? (If u ever find urself in a hole stop digging is the first solution).
Time will pass and this will go away. Mkeo hatakufanyia hivyo tena for the fear of what happened. Utakuwa na mke anayekuheshimu. Mtalea watoto vizuri nao tena kwa experience madhara ya kuchepuka, I hope watajifufunza huko ukubwani.

Brother ni wanawake wachache sana hawatachepuka kwenye mazingira kama hayo ya safari (and if u try to be honest, maybe na wewe kule ulichepuka). Utaoa mwingine na mambo hayo yatatokea. Nikwambie kitu? It will be hard kumfukuza huyu mwingine, coz utahisi jamii itakujudge una tatizo, kwanini we uwe wa kufukuza wanawake tu?
Hizi mambo ni aibu brother. Just make it with your wife, nothing else will be better for you, your wife na watoto. Umeumia ndio ila huko mwenyewe asilimia kubwa ya wanandoa wameumia. We msamehe tu, usione wazazi hawana uchungu na wewe mtoto wao kwa kukuambia umrudie. Its because they've lived long, they have seen these things, they know better....
Women are the keepers of our houses, akibomoa ndo bas tena.
 
Mu
mzazi ni mzazi tu. Hata kama mama akiwa mwizi, still watoto wake watabaki kuwa watoto wake. Watoto kuishi na baba na mama ni haki yao. Tena its is important for them kuishi na wazazi wote wawili. Swala la mama kuingia na mchepuko ndani, hiyo ni kosa amefanya. Ni funzo baya sana kwa watoto. Lakini mke na mume wanaposeparate na kuonyesha chuki za wazi mbele za watoto, hili ni fundisho gani kwao? Mistake ya kwanza iliyotokea, baba na mama waendelee kugombana huko na kumake sure wanatengeneza mistake ambayo mama alifanya mbele ya watoto. leo mtoto anaishi kwa shangazi, kesho akiwa na familia yake naye ataona sawa kuleta mchepuko ndani kwake ama kutimua mkewe na watoto akawatelekeza mahala. Jinsi wanavyogombana watoto wanaathirika zaidi.
Much of theory than practical
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom