Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
yeye hajawahi kuchepuka tangu waoane au kwasababu tu hajakamatwa. unafikiri mwanamke atakayekaa naye ambaye hata hajamzalia watoto atakuwa mwaminifu milele? huyo huyo kama ameonyesha kutubu na kujutia, endelea naye tu, kwani ulimkuta bikira? si wenzio walipiga sana ulikuta makapi tu?Mkuu kuchapiwa mke tena na rafiki yako, hiyo inauma sana. kama alivyosema[TAG]msalala kwetu[/TAG]siwezi kusamehe maana hiyo ni dharau iliyo kubuhu. Mkuu watoto peleka shule, the hama hapo ulipo na kama nyumba ni yako ondoka na hati.[TAG]miss chagga[TAG] kakupa ushauri mzuri sana.[/TAG]