The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Ongea naye tena,fanya uchunguzi kuwa kipindi chote hicho mlichotengana naye hajawahi kuwa na mpenzi mwingine tena...pimeni afya then mjenge familia.Samehe kama yupo tayari kuwa muaminifu,hakika naamini hatarudia tena ila ukioa mwingine anaweza akakutenda vivyo hivyo ukaona labda mama fulani asingerudia haya.Jipe moyo na mrudie mke wako