Mzee Mkinga yupo makini, kwa ufupi amezungumza yafuatayo:
1. Ana kisukari takriban miaka 12 sasa
2. Ameahirisha operation ya jicho ili aje kuchangia hoja
3. Amefiwa na mama mkwe wake na ameshindwa kusafiri kwa kuwa anajidunga sindano
4. Muungano umeanza akiwa na miaka 14
5. Dr.Shein, Dr. Amani Karume na Ali Karume ni waumini wazuri wa muungano
6. Yeye ni mwana CCM safi
7. Viongozi wa chama hicho ndio wenye mapenzi ya dhati ya muungano
8. Kuongeza vipengele 10 juu ya muungano wa awali siyo tatizo kwa kuwa kuna nia njema.
9. CDM ina sera ya majimbo ambayo itaua muungano.
Hayo ndiyo ya Mzee Mkinga wana JF
SNdg wanabodi tafadhali nisaidieni ktk hili...UK na USA wanafuata muungano wa aina gani? waliungana vipi? aina gani ya muungano itawezesha kila nchi iweze kuwa na mamlaka kamili ?..natanguliza shukrani za awali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.