Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Wachangiaji waliowengi wamekataa kuwa si maendeleo. Nimependa sana wageni wa leo.
Wamejitahidi kuonesha usomi wao ila kuna kijana mmoja anasema kuna benki ya vijana na
akajibiwa kuwa hiyo ni ya CCM (UVCCM) na kuwa atakuwa na asilimia sifuri.
Wamejitahidi kuonesha usomi wao ila kuna kijana mmoja anasema kuna benki ya vijana na
akajibiwa kuwa hiyo ni ya CCM (UVCCM) na kuwa atakuwa na asilimia sifuri.