Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

Yes;we're Great thinkers lkn sasa tunapoanza kujadili watu na kuacha kujadili kwa nini wanagombea na kushinda tunatia mshaka hiyo thinking capabilities yetu imeegemea wapi!

Uzee hauna hata kipingamizi kimoja cha kumfanya Mzee Malecela au Jackson Makweta asigombee at the same times ukijana haumfanyi wana Sengerema au wana Nyamagana au wana Kigoma ndiyo wawarudishe wabunge wao akina Ngeleja,Masha,Serukamba hata Zitto Kabwe bungeni!Kinachopimwa ni kama wametimiza kile walichowahaidi wapiga kura wao!

Kwa sababu katiba inamruhusu bila kipingamizi mtu yeyote afikiae umri wa miaka 18 kugombea Ubunge na atleast uwe na miaka 40 kugombea Urais basi tuiheshimu katiba;na kama unahisi mtu fulani hafai kuwa Mbunge kwa sababu ya umri wake aondolewe kwa sanduku la kura kwenye uchaguzi na wala si zaidi ya hapo!

West Virginia wanaye Seneta mwenye umri wa miaka 92 sasa,na kule Connectcut walikuwa nae Seneta Biden kwa miaka karibu 40;na wote walipigiwa kura na wananchi na wale hawakuteuliwa!Sasa kama Mzee Malecela anachaguliwa kwa kutumia sanduku la kura kwa nini apigiwe kelele hivi hapa JF?

Nasisitiza tena,kama wana Mtera wataona mzee Malecela anawafaa sisi JF hatuna la kufanya,kama wanaona hawafai watamuangusha kwenye uchaguzi kama walivyomuadhibu mwaka 1980's alipoangushwa na Mazengo kwenye uchaguzi wa Ubunge!

- Marekebisho hapo Great Thinker, Biden amekuwa Senator wa Delaware for the last 36 years na sasa he is about kumrithisha mtoto wake ambaye ni Attorney General huko.

Respect.


FMEs!
 
I would say kuwa na wabunge ni kukiuka demokrasia. Na bunge letu limetoka hata kwenye "rubber stamp" sasa limebaki "hollow shell".

Tunatakiwa kuwa na checks and balances kati ya bunge, serikali kuu na mahakama, lakini rais ambaye ni mkuu wa serikali pia ni sehemu nzima ya bunge na anaweza kuvunja bunge.

Wabunge wanaotakiwa ku represent interests za wananchi wana represent interests za chama na kuteteana, sasa hapo demokrasia iko wapi?

Kuwa na wabunge ni kukiuka demokrasia.Kama demokracy is the rule of the people, and the MPs do not represent the interests of the people, how can this setting be said to be democratic?

Kamati ya Uchaguzi yenyewe inachaguliwa na rais, ambaye ni mwenyekiti wa CCM. Sasa hata hatujui legitimacy ya matokeo ya wabunge na rais!

Hapo kwenye reddish ndo haswa ninapokuwa skeptical na hili zoezi zima la siasa za kibongo. Hizi preconditions za vyama au mbunge kuwa na chama ndio haswa kuuma na kupuliza kwenyewe na matokeo yake bunge ni kama circus ya watu kuleta maigizo bila vitendo. Yaani inatia hasira, mambo yanaenda kombo, kila mtu anaona lakini mambo yakifika bungeni, maamuzi ya bunge yanakuwa overwritten na 'vikao vya chama'.

This is UTTER STUPIDITY, na ndio maana nashauri tu-scrap hili bunge it is total nonsense and sheer wastage of time and tax-payers money.
 
Baadhi ya maeneo hapa Tz wameanza kutambua nini maana ya uchaguzi na nani anawafaa kuwaongoza.Maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro, wilaya kama Tarime, Karatu,... huwezi kutumia pesa kununua uongozi. Wamefikaje hapo? Kwa nini majimbo kama ya Dar yako hivi yalivyo?

.........Hili ni swali la msingi sana.........wengi wetu tunalipitia kwa jicho la upande............


- Demokrasia ni wananchi na sheria, sio political desparations za wananchi wasiojua tatizo lao liko wapi kiuongozi kama sisi, ........

.........Asolutely right!!

- As the results, toka tupate uhuru tumekubali kuwapa viongozi wasio na uwezo sio tu kutuongoza, bali kuwaruhusu kujifunza uongozi wakiwa kazini, hili taifa tumekwama sio kwa sababu yoyote nyingine ila uwezo wetu mdogo wananchi wa uelewa wa siasa, demokrasia tunayo lakini tumeshindwa kuitumia kwa faida yetu wananchi, sasa tumebaki kunyooosheana vidole tu!

Respect.

FMEs!

Mkuu hilo hapo juu ni TATIZO kubwa sana tulilo nalo wananchi.........sasa basi........ili kuondokana na tatizo hilo.............TUFANYEJE........?

Please NOTE:.....ni tatizo ambalo lipo ktk vyama vyote vya siasa.......
 
Yes;we're Great thinkers lkn sasa tunapoanza kujadili watu na kuacha kujadili kwa nini wanagombea na kushinda tunatia mshaka hiyo thinking capabilities yetu imeegemea wapi!

Uzee hauna hata kipingamizi kimoja cha kumfanya Mzee Malecela au Jackson Makweta asigombee at the same times ukijana haumfanyi wana Sengerema au wana Nyamagana au wana Kigoma ndiyo wawarudishe wabunge wao akina Ngeleja,Masha,Serukamba hata Zitto Kabwe bungeni!Kinachopimwa ni kama wametimiza kile walichowahaidi wapiga kura wao!

Kwa sababu katiba inamruhusu bila kipingamizi mtu yeyote afikiae umri wa miaka 18 kugombea Ubunge na atleast uwe na miaka 40 kugombea Urais basi tuiheshimu katiba;na kama unahisi mtu fulani hafai kuwa Mbunge kwa sababu ya umri wake aondolewe kwa sanduku la kura kwenye uchaguzi na wala si zaidi ya hapo!

West Virginia wanaye Seneta mwenye umri wa miaka 92 sasa,na kule Connectcut walikuwa nae Seneta Biden kwa miaka karibu 40;na wote walipigiwa kura na wananchi na wale hawakuteuliwa!Sasa kama Mzee Malecela anachaguliwa kwa kutumia sanduku la kura kwa nini apigiwe kelele hivi hapa JF?

Nasisitiza tena,kama wana Mtera wataona mzee Malecela anawafaa sisi JF hatuna la kufanya,kama wanaona hawafai watamuangusha kwenye uchaguzi kama walivyomuadhibu mwaka 1980's alipoangushwa na Mazengo kwenye uchaguzi wa Ubunge!

I salute you!! You're a Great Thinker.
 
Vijana mwende Mtera mkachukue fomu mumuondoe kwa kura Mr. Malecela. Kumsakama Mr. Malecela kwa umri wake is a form of discrimination inabidi tuepukane nayo; is unethical.
 
Mzee JSM amewahi kuenguliwa mara mbili kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Nchi yetu. Wengi wetu hatujawahi kuelezwa sababu hasa za kufanyiwa hivo kwa hadhi na heshima yake ya kipekee aliyo nayo ndani ya CCM na TAIFA letu. Kuna anayefahamu vizuri sakata hili atujuze?
 
- Ningeelewa kama maneno yangekwua yanaandikwa na vijana, lakini kizee kilichokimbia bongo toka 50s, kinasota majuu hakina mbele wala nyuma na kurudi kinaogopa maana kitaadhirika, no wonder hatuwezi kuongela policies reforms serious for our nation, isipokuwa maneno mengi kama walevi wa kangara!

- Jamani JF ni uwanja mkubwa sana wa Great Thinkers, sasa mnapoleta ushabiki badala ya policies halafu ukizingatia wengine ni vizee vya ajabu kuliko hata Malecela mwenyewe inachekesha sana, tuongelee policies changes sio majina ya viongozi kwa sababu they are not bigger than our nation, ingawa kwa maneno mengi ya kilevi levi wanaonekana they are!

- Malecela ana haki zote za kikatiba kugombea anything tena at anytime, wasiomtaka waende kule wachukue fomu wapamabane naye, badala ya kutuletea kelele za malngo hapa ma wengine ni vizee nasikia hata ndani ya nyumba haviwezi kutoka kazi kulala hapa JF tu, Bwa! ha! ha! ha!

Es!

Wazee nao ni haki yao kuwaambia wazee wenzao wachie madaraka,bila kujali wanaishi wapi au wana hali gani ya maisha.

Kauli kama hizi zilipotolewa na Akina Bukuku,waliambiwa wanasema hivyo kutokana na wivu wa kukosa madaraka.

Je? hicho kizee kinasema hivyokutokana na kukosa nafasi ya kuwa mbunge kule bongo?
 
Wazee nao ni haki yao kuwaambia wazee wenzao wachie madaraka,bila kujali wanaishi wapi au wana hali gani ya maisha.

Kauli kama hizi zilipotolewa na Akina Bukuku,waliambiwa wanasema hivyo kutokana na wivu wa kukosa madaraka.

Je? hicho kizee kinasema hivyokutokana na kukosa nafasi ya kuwa mbunge kule bongo?

You're UNETHICAL, Primitive, descrimitive in nature!
 
Mzee JSM amewahi kuenguliwa mara mbili kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Nchi yetu. Wengi wetu hatujawahi kuelezwa sababu hasa za kufanyiwa hivo kwa hadhi na heshima yake ya kipekee aliyo nayo ndani ya CCM na TAIFA letu. Kuna anayefahamu vizuri sakata hili atujuze?

- Aligombea urais mara mbili hakufanikiwa, amegombea ubunge 1985 hakufanikiwa, lakini since thne amekuwa akigombea ubunge na kushinda, now what this has to do na kugombea kwake tena ubunge?

- Hizi ndio kelele za mlango! Wananchi wa Mtera kama hawamtaki wana haki zote za kumnyima kura, na Malecela ana haki zote za kugombea anything tena at any of his time, unless mseme sheria aliyovunja!


Es!
 
Wazee nao ni haki yao kuwaambia wazee wenzao wachie madaraka,bila kujali wanaishi wapi au wana hali gani ya maisha.

Kauli kama hizi zilipotolewa na Akina Bukuku,waliambiwa wanasema hivyo kutokana na wivu wa kukosa madaraka.

Je? hicho kizee kinasema hivyokutokana na kukosa nafasi ya kuwa mbunge kule bongo?

- It took years, sasa finally the truth has catch up with the the right place! kweli you cannot fool all people at all the times, you can run, but you cannot hide, Bwa! ha! ha! ha! ha! inaitwa The unmasking of the the mask! Bwa! ha! ha! ngoja nitafute wine kidogo maana this the best ever story to be told!

- Yuo thought you were a smart dude, na kwamba utatukana watu hapa bila kujulikana hata siku moja, pole sana muoshwa huoshwa! na zile arobaini sasa zimefika!

- Naomba Kukukaribisha upya JF ya kumkoma nyani!

Field Marshall Es = Ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme
 
khe khe khe hivi kwa nini ugombee uongozi bomgo badala ya kutafuna fweza kiulaini bila kokoro yoyote. Chama Cha majambazi kina wenyewe na wenyewe ndio wanaotaka uongozi nyinyi sio chenu. Pilipili iko Idodomia bungeni nyinyi kelele tu hamuachi.

Tanzania ina wenyewe na wenyewe ndio wanaokula kuku nyie kila siku vurugu mechi tu Akh! LOL Wenzenu wanajenga Bagamoyo etc. shauri yenu.
 
- It took years, sasa finally the truth has catch up with the the right place! kweli you cannot fool all people at all the times, you can run, but you cannot hide, Bwa! ha! ha! ha! ha! inaitwa The unmasking of the the mask! Bwa! ha! ha! ngoja nitafute wine kidogo maana this the best ever story to be told!

- Yuo thought you were a smart dude, na kwamba utatukana watu hapa bila kujulikana hata siku moja, pole sana muoshwa huoshwa! na zile arobaini sasa zimefika!

- Naomba Kukukaribisha upya JF ya kumkoma nyani!

Field Marshall Es = Ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme


- Whaaaat?
 
Jambo jema sana kuwepo ukomo lakin hoja hii ningeiunga mkono kama mtoa hoja angesema miaka 10 kama kipindi cha Uraisi kwa nini miaka 15 maana miaka 10 na mtoa hoja angetoka huo ndio uongozi vinginevyo ni uendelezaji wa ubinafsi tuliouzoea.
 
Unajua hizi demokrasia za ku-copy na ku-paste ndio zimetufikisha hapa tulipo.....maana watawala they have taken us (wananchi) for a ride kwa kivuli cha "demokrasia UCHWARA"...........

pale demokrasia inapo-favour uwepo wao.........hii ndio huitwa demokrasia......ile demokrasia inayotoa nafasi ya kusitisha uwepo wao......no....hiyo "NOT in TANZANIA" hukohuko.........

Namkumbuka Mkuu Bob Mkandara enzi zile za BCS.......alizungumzia sana hili suala la ku-form demokrasia itakayo-fit mazingira ya kisiasa tuliyonayo....mada ile ilikuwa pana sana na haikuwa popular kwa sababu siku zote pale kwenye maslahi ya wananchi yanapozungumziwa...........huwanyima usingizi majambazi wa demokrasia...............

sheria zinazotungwa na watu ambao majority nimediocre....tena kwa kivuli cha CHAMA...unategemea watapitisha mambo ambayo yanawachallenge wao wenyewe kuhusu uwajibikaji wao kwa wananchi?.....NEVER....and in this case.....im afraid to say we are doomed forever!...........

Wandugu wa JF.........nadhani wote hapa tunakubaliana kuwa TAIFA letu lina MATATIZO MAKUBWA kila upande wa mihimili yetu mikuu......na tatizo kubwa ni kuwa tuliowapa uongozi HAWAWAJIBIKI ipasavyo kwa wananchi..........

sasa the question come WHAT DO WE DO........do the same thing over and over?.........i mean STRATEGICALLY how are we going to solve these pbs facing our nation.........

Ndio maana watu wanapokuja na mawazo tofauti na yale mazoea yetu BINAFSI naona ni a plus towards finding a solution.......nothing is impossible under the earth..........

The bottomline ya ethics zetu ni sheria tulizojiwekea............however though tusiingie kwenye ule mtego wa kuwa na "some are more equal".......tumeshuhudia movement rights kibao......both in history na in recent years sehemu mbali mbali duniani.......kwa sababu........kulikataa tatizo sio tu tunadumaza maendeleo....bali pia tunajenga BOMU.....litakalo tulipukia/walipukia sisi wenyewe au baadaye kwa wajukuu zetu.........KUKIMBIA TATIZO SIO UJANJA

Ukomo wa Uongozi
Ninakubaliana kabisa kuchagua/kuchaguliwa the bucks stops with wananchi kuchagua kile wanataka

......however hapa kuna mawazo ambapo watu wanafikiri itasaidia kuondoa mediocrity kwa viongozi katika kuwajibika ipasavyo..........vile vile isituzuie kufikiri kuboresha demokrasia yetu kulingana na wakati na hali ya siasa.........
......mambo matatu ambayo watu wanayazungumzia na kuchanganya ni kama ifuatavyo

1. Just UKOMO wa uongozi bila kujali umri
2. Ukomo kwa sababu ya umri
3. All of the above

SIKUBALIANI na ukomo kwa sababu ya UMRI..........

Uongozi sio "U-Superhuman"......unawaongoza watu kufikia yale mambo watu wanayokusudia ku-achieve i.e. maendeleo kwa kushirikiana na unaowaongoza na ku-spearhead matumizi bora ya rasilimali ya sehemu husika....unapokuwa kiongozi uantakiwa uwe na vision pia ya atakayekurithi ili akiingia madarakani aweze kuendeleza yale mazuri na kurekebisha pale ulipokosea na kubuni masuala ya maendeleo mengine.........

debate iendelee..........
 
Kwangu mimi swala muhimu zaidi ya term limits ni structure nzima ya parliamentary system yetu, kama nilivyoeleza hapo juu.

Hatuwezi kupigizana kelele kuhusu kiatu kiwe na kamba nyeusi au bluu wakati hakina soli kabisa.

Ridiculous priorities.
 
..........wananchi hawajaelimishwa kuwa independent thinkers. ..............

.....absolutely true

.........wazee wakaanza kuwarithisha watoto wao viti huku wao wakiwa wanatumia remote control tutakuwa tumefanya nini?

ndio maana kuna umuhimu wa kuangalia hili suala kwa undani zaidi ili tuje na model itayotufaa...........hata hivyo kuna ubaya gani vijana/watoto wa viongozi kuwania nafasi.........assumptions za "remote control" may be yes may be no........

.............Tunahitaji mabadiliko makubwa na yaliyo deeper zaidi ya term limits.kwa mfano kuna kitu kimesemwa katika debate ya Mnyika na Nnauye nacho ni ability ya wananchi kuwa recall wabunge mid term kama wabunge hawaja deliver au wamefanya vitu vya aibu (Gray Davis style).

....agreed........


Tunaweza kuondoa influence ya executive over legislation, tunaweza ku clean the entire electoral process kutoka system ya sasa ambapo wakubwa wananunua tu kura etc etc.

.........again how?..........
 
.........again how?..........

Kwanza rais asiwe part ya bunge, kwa sababu hiyo ina violate at least the spirit if not the letter of checks and balances.Tunahitaji a stronger and more enforceable ethics code, tunahitaji a more independent electoral commission isiyokuwa appointed na rais bali itakayoteuliwa au kuchaguliwa na wananchi either directly au kwa kupitia civil society, speaking of civil society tunahitaji kuijenga - kwa sababu sasa hivi haipo- speaking of kujenga civil society tunahitaji kujenga a middle class kwa sababu bila middle class huna civil society, speaking of building a middle class inabidi tuondokane na hii communist utopian idea ya a classless society.

Unaona jinsi mambo ylivyo deeply inter-related?

Unaona jinsi term limits ilivyo a non issue at least uki i juxtapose na haya ma grand schematic issues?

Hii parliamentary system tumei copy pate kutoka Westminster Abbey, wao wana wafalme, sie tuna jamhuri, wao wamepitia industrial revolution, sisi hatujapitia, wao wana bi-cameral houses systems, sisis hatuna, etc etc etc, obviously itabidi tui tailor kwetu wakati tukiacha yanayofaa.
 
The limit should be 3-4 terms so that there is ample time for each constituency to benefit from the legislative and representative policy of their MP. Anything less than that would be impractical. However, for someone to be an MP for more than 15-20 years is wrong and is an elitist stance. Elitism is what causes revolutions and bloodshed. This does not appear to be a concern of Tanzanian MPs, who are currently not very well educated, few can claim to be the from the top 10% intellectual and political minds in the country. We have a majority of people who are out of touch with the realities of the 21st Century (even amongst the so called phD holders..lol), entangled in pathetic voodoo practices and conveniently also great patrons of imported so-called major faiths. We need to have leaders that are interested primarily in the interests and expansion of Tanzanian influence in the region and world. Tanzania should be our religion, our culture and common overriding priority. The day that happens is the day we develop. Rapid development is borne from a paradigm shift. So lets change the way we see things in our minds and then influence reality to shape our dreams into the fabric of this world.
 
Kwanza rais asiwe part ya bunge, kwa sababu hiyo ina violate at least the spirit if not the letter of checks and balances.Tunahitaji a stronger and more enforceable ethics code, tunahitaji a more independent electoral commission isiyokuwa appointed na rais bali itakayoteuliwa au kuchaguliwa na wananchi either directly au kwa kupitia civil society, speaking of civil society tunahitaji kuijenga - kwa sababu sasa hivi haipo- speaking of kujenga civil society tunahitaji kujenga a middle class kwa sababu bila middle class huna civil society, speaking of building a middle class inabidi tuondokane na hii communist utopian idea ya a classless society.

Unaona jinsi mambo ylivyo deeply inter-related?

Unaona jinsi term limits ilivyo a non issue at least uki i juxtapose na haya ma grand schematic issues?

Oh yeah............absolutely........sasa Mkuu....si umeona mwenyewe watu wanavyokataa mfano

1. Mikataba iwe wazi
2. Rais apunguziwe madaraka
3. Punguza matumizi yasio ya lazima
4. Performance based uongozi nk nk nk

hatuwezi kujenga middleclass, civil societies au kuwa na independent electoral commission........huku tukiwaachia majambazi wa demokrasia wakiendelea kujilinda........

.....we know all that.......but where do we start from?.............
 
Back
Top Bottom