Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

Oh yeah............absolutely........sasa Mkuu....si umeona mwenyewe watu wanavyokataa mfano

1. Mikataba iwe wazi
2. Rais apunguziwe madaraka
3. Punguza matumizi yasio ya lazima
4. Performance based uongozi nk nk nk

hatuwezi kujenga middleclass, civil societies au kuwa na independent electoral commission........huku tukiwaachia majambazi wa demokrasia wakiendelea kujilinda........

.....we know all that.......but where do we start from?.............

We start by having some very charismatic individuals and grassroot organizations that can take these ideas to the people and spark that cheche that will cause a wildfire.

Mwanakijiji anajitahidi to an extent, tunahitaji hiyo spirit katika mikoa yote.JF ina play its part by and large, lakini access ya watu kwa mtandao ni ndogo, tunahitaji kina Thomas Paine wetu watakaoandika "Common Sense" yetu, lakini kabla ya hapo inabidi tuondokane na subsistence economy, kwa sababu mtu ambaye hana uhakika wa kula hawezi kujali kusoma, as a matter fact chances are hajui kusoma au kama anajua anaweza kuwa na level ndogo sana ya comprehension.

Ndiyo maana kuna watu wanaamini kwamba serikali inapromote illiteracy makusudi kwa kujua kwamba the more people become literate the more it's hegemony is threatened.

Kwa hiyo inabidi - for lack of a better comparative model- tuiangalie Maslow hierarchy of needs tuhakikishe angalau tunawafikisha asubstantial portion of the population/ economy katika kwenye level ya tatu pale, na hawa wata act kama catalyst ya mabadiliko na maendeleo.

450px-Maslow%27s_Hierarchy_of_Needs.svg.png
 
We start by having some very charismatic individuals and grassroot organizations that can take these ideas to the people and spark that cheche that will cause a wildfire.

Mwanakijiji anajitahidi to an extent, tunahitaji hiyo spirit katika mikoa yote.JF ina play its part by and large, lakini access ya watu kwa mtandao ni ndogo, tunahitaji kina Thomas Paine wetu watakaoandika "Common Sense" yetu,

Oh yeah........kweli kabisa.............ndio maana hata nasikitika siku hizi sikioni tena "kile kigazeti" cha Cheche za Fikra and the like.........tukiwa pamoja tutaweza.....tukianzia na JF na Mkuu Mwanakijiji


lakini kabla ya hapo inabidi tuondokane na subsistence economy, kwa sababu mtu ambaye hana uhakika wa kula hawezi kujali kusoma, as a matter fact chances are hajui kusoma au kama anajua anaweza kuwa na level ndogo sana ya comprehension.

hayo hapo ju nayaita matokeo ya ubovu tulioukubali sisi wenyewe.......

Ndiyo maana kuna watu wanaamini kwamba serikali inapromote illiteracy makusudi kwa kujua kwamba the more people become literate the more it's hegemony is threatened.

Oh yeah........ni makusudi kabisa yanafanywa hapo....no doubt!!..................
................na ndio maana vitu kama hivi hapa chini........

............ tuiangalie Maslow hierarchy of needs tuhakikishe angalau tunawafikisha asubstantial portion of the population/ economy katika kwenye level ya tatu pale, na hawa wata act kama catalyst ya mabadiliko na maendeleo.

450px-Maslow%27s_Hierarchy_of_Needs.svg.png

.........wanahakikisha wameblock kila aina ya uwezekano huo..........


Kwa hiyo pamoja na juhudi zetu za kifikra kupitia JF na kwa Mwanakijiji na wengine TPN........and so on......inabidi pia tupambane nao kutafuta demokrasia iliyo ya kweli itayoleta uwajibikaji wa kweli.....na sio usanii na ujambazi unaoendelea hivi sasa.........

.......na ndio sababu watu wanakuja na mawazo kama ya ukomo wa uongozi na Independent candidates............whereby model of adopting dem two can be debated...........
 
Mzee JSM amewahi kuenguliwa mara mbili kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa Nchi yetu. Wengi wetu hatujawahi kuelezwa sababu hasa za kufanyiwa hivo kwa hadhi na heshima yake ya kipekee aliyo nayo ndani ya CCM na TAIFA letu. Kuna anayefahamu vizuri sakata hili atujuze?
wenye macho ya rohoni wamemuona tangu mwanzo kuwa ni king'ang'anizi wa madaraka hivyo ccm wangemuweka kuwa mgombea angeshinda, kama tujuavyo wengi kuwa ccm hata wakiweka bogasi namna gani litashinda, sasa angekomalia ikulu hata kifo kimfike, hakuna sababu nyingine mbali na hiyo...
 
Hivi wabunge wangekuwa wanalipwa mishahara na Marupurupu sawa na walimu wa sekondari wangeng'ang'ania kukaa miaka 40 bungeni?!

Wale ma professor wangeacha kazi zao kwenda Bungeni?!Wafanyabiashara wangekukimbilia huko?Bungeni Tungekuwa na Watu wa Aina Gani?

Bunge kwa sasa ni kama Wall street or Silicon Valley Marekani!it is one of the highest paying occupation in Tanzania,sadly...,very sad..,
 
You're UNETHICAL, Primitive, descrimitive in nature!
.

Mkuu sawa,We andika uwezavyo na upeo wako mdogo na ujinga ulionao.
Mpumbavu na mjinga always anatanguliza matuzi na mbumbu ndiye wa kwanza kujionyesha kuwa yeye kasoma kuliko wenzake,
Lakini ukweli unabaki pale pale.Vijana ndiyo wanahitajika.
Sisi wazee,lazima tubaki nyuma kuwashauri vijana.
 
- It took years, sasa finally the truth has catch up with the the right place! kweli you cannot fool all people at all the times, you can run, but you cannot hide, Bwa! ha! ha! ha! ha! inaitwa The unmasking of the the mask! Bwa! ha! ha! ngoja nitafute wine kidogo maana this the best ever story to be told!

- Yuo thought you were a smart dude, na kwamba utatukana watu hapa bila kujulikana hata siku moja, pole sana muoshwa huoshwa! na zile arobaini sasa zimefika!

- Naomba Kukukaribisha upya JF ya kumkoma nyani!

Field Marshall Es = Ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme
.
Tatizo lako mkuu ni domo lako kubwa kama majumba ya kifisadi.
Hakuna cha arobaini wala hamsini,bali ni kuhisi tu.

Hao watu unaowatukana unawaoneo tu na wala sio mimi.
Endelea kumtetea unae mtetea na uzee wake,lakini ukweli utabaki palepale kuwa amezeeka na hatufai tena.Akae pembeni na kuwa mshauri tu.

Mbungeni amesahau nini huyu mzee?
 
Vijana mwende Mtera mkachukue fomu mumuondoe kwa kura Mr. Malecela. Kumsakama Mr. Malecela kwa umri wake is a form of discrimination inabidi tuepukane nayo; is unethical.

Angalia hili nao jinga na pumba zake.
Vijana waende?,watamtoa kweli huyu mzee na pesa zake kutoka kwa wale mafisadi wahindi waliomchangia kwenye harusi yake?.
Yeye achie ngazi na kuwachia vijana.

Acha ushabiki wa kijinga na kama hauna cha kuandika nenda kalale.

pumba! pumba! pumba!
 
- It took years, sasa finally the truth has catch up with the the right place! kweli you cannot fool all people at all the times, you can run, but you cannot hide, Bwa! ha! ha! ha! ha! inaitwa The unmasking of the the mask! Bwa! ha! ha! ngoja nitafute wine kidogo maana this the best ever story to be told!

- Yuo thought you were a smart dude, na kwamba utatukana watu hapa bila kujulikana hata siku moja, pole sana muoshwa huoshwa! na zile arobaini sasa zimefika!

- Naomba Kukukaribisha upya JF ya kumkoma nyani!

Field Marshall Es = Ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme

Unaumwa mgongo nini wewe?.
Unanikaribisha mimi?, kwani nilikwenda wapi?

Mshauri mshua wako uko akapumzike badala ya kumpigia debe la kifisadi hapa.

Ukitaka kufanya ligi na mimi, utatembea uchi, shauri yako.wengine tulisha data na usawa wenyewe huu.

Unachonga sana wee dogo tena unachonga kama demu.ohoo.Angalia sana.

Nitakunywesha maji ya choo mimi,shauri yako.
 
.
Tatizo lako mkuu ni domo lako kubwa kama majumba ya kifisadi.
Hakuna cha arobaini wala hamsini,bali ni kuhisi tu.

Hao watu unaowatukana unawaoneo tu na wala sio mimi.

Endelea kumtetea unae mtetea na uzee wake,lakini ukweli utabaki palepale kuwa amezeeka na hatufai tena.Akae pembeni na kuwa mshauri tu.

Mbungeni amesahau nini huyu mzee?

- Message sent, najua kuwa umesikia tena loud and clear! Bwa! ha! ha! ha!, kama ni domo wewe unajua kua domo lako pana sana ndio maana umesihia kujiponza mwenyewe na sasa unajulikana kizee kilichochoka umebaki kujifia tu huko mashambani kwa wazungu na hapa kwenye keyboard, pole sana domo lako ndilo limekuponza, sijawahi kuona Mnyakyusa kama wewe, wengine wote mbona wanakuaga na akili vipi wewe? Ba! ha! ha!

- Malecela na umri wake na ubunge ni tatizo la wananchi wa Mtera kama lipo, pamoja na uzee wako wote hapa JF bado hutajkukataza kutoa maoni yako, maana wewe si unajua kati ya Malecela na wewe nani ni kizee kinachosubiri kujifia tu huko mashambani?

- Eti serikali ya Tanzania ije kukutafuta maana wewe ni msomi sana, puuh! msomi gani anayeogopa kurudi nyumbani kwao miaka karibu 50 sasa hujarudi nyumbani, huko uliko huna mbele wala nyuma kujisifia tu umeandika vitabu, sasa mbona huna kitu? Bwa! ha! sasa unaona matatizo ya domo lako kuwa pana sana! Bwa! ha! ha! acha wivu mlipoenda kusoma majuu na kina Malecela, wenzako walirudi nyumbani wewe ukakimbia, sasa usilie wivu kubali fate yako uliyojiamulia mwenyewe! BWa! ha1 ha!

Pole sana kizee cha kutupwa wewe! rudi kwenu uombe msamaha kwa ndugu zako, nusu ya familia yako imetangulia kwenye haki wewe umejificha huko majuu hata mawasiliano nao hutaki, halafu eti msomi na umeandika vitabu, no wonder hakuna wa kununua, Mungu hapendi mkuu, omba hapa JF kuna wanyakyusa very prominent watakusaidia hata nauli najua huna nauli ya kurudi kwenu Mbeya, utasaidiwa hapa halafu punguza hilo domo lako pana, hata uandike vitabu 100 tunachojali ni utu wako ambao huna, mtu wa umri kama wako na elimu uliyonayo hawezi kuzunguka kwenye blogs zote za watanzania kuandika matusi ya kumtukana ndugu yake tena mdogo sana wa kike bila sababu, lazima huna akili za kutosha sasa omba msaada hapa usaidiwe wewe, mimi ninajua wanyakyusa wenzako wengi hapa wanaoweza kukusaidia!

Mwenye domo pana sana ni wewe mkuu na pole sana!


Es ni wazee wa sauti ya umeme!
 
Unaumwa mgongo nini wewe?.
Unanikaribisha mimi?, kwani nilikwenda wapi?

Mshauri mshua wako uko akapumzike badala ya kumpigia debe la kifisadi hapa.

Ukitaka kufanya ligi na mimi, utatembea uchi, shauri yako.wengine tulisha data na usawa wenyewe huu.

Unachonga sana wee dogo tena unachonga kama demu.ohoo.Angalia sana.

Nitakunywesha maji ya choo mimi,shauri yako.

- Pole sana mkuu, sio siri unahitaji msaada! BWa! ha! ha! at your age kuandika haya inasikitisha sana, mimi sio umri wako mkuu ninaweza kuwa kinyanya chako sasa ligi na wewe sina mpango ila fikiria ninayokuambia omba msaada usaidiwe!

- Mafumu ya ndugu zako, wazazi wako na familia yako inakulilia kule kwenye makaburi Kimbila na Tukuyu, rudi kwenu ukaombe msamaha mimi ni mjumbe tu sasa ukitaka nitukane as much as you want, lakini ukimaliza fikiria tena maneno niliyotumwa na wazee wa kutoka kwenu huko Mbeya, na mimi ninaenda huko karibuni, ninajua ulipo, address yako mpaka namba yako ya simu, hata kama hutaki mimi nitawapa tu rudi tu kwenu ndugu yangu japo ukaone makaburi ya ndugu zako!

Es
 
Wakuu,

Kwa hali hii tukianguka ghafla tutazikana kweli?

Let's have some humility and humanity kidogo basi.
 
I also do agree with him. Ila Cha maana ni kuweka sheria ambayo uotaikanji wa mawaziri SIYO LAZIMA WAWE WABUNGE LAKINI BUNGE LITUMIKE KUWAKUBALI AU KUWAKATAA MAWAZIRI TEULE WA RAIS.


HII NDIYO MUHIMU ZAIDI KWA SASA! KENYA WAO NINASIKIA WAMEPITISHA KUWA WAZIRI SIYO LAZIMA AWE MBUNGE KWANZA.
 
- Pole sana mkuu, sio siri unahitaji msaada! BWa! ha! ha! at your age kuandika haya inasikitisha sana, mimi sio umri wako mkuu ninaweza kuwa kinyanya chako sasa ligi na wewe sina mpango ila fikiria ninayokuambia omba msaada usaidiwe!

- Mafumu ya ndugu zako, wazazi wako na familia yako inakulilia kule kwenye makaburi Kimbila na Tukuyu, rudi kwenu ukaombe msamaha mimi ni mjumbe tu sasa ukitaka nitukane as much as you want, lakini ukimaliza fikiria tena maneno niliyotumwa na wazee wa kutoka kwenu huko Mbeya, na mimi ninaenda huko karibuni, ninajua ulipo, address yako mpaka namba yako ya simu, hata kama hutaki mimi nitawapa tu rudi tu kwenu ndugu yangu japo ukaone makaburi ya ndugu zako!

Es
.
Jamani
Mod.Mko wapi ?
Huyu Bwana mbona post zake nyingi anatukana na mnamwangalia tu au yeye ndiye mwenye hii JF?.

Tumeshuhudia Thread nyingi zinazomhusu John Malecela huyu fmes anatukana watu na hakuna ata wa kumfungia.Kama yeye ndiye mwenye hii JF Basi tuambiwe.

Tafadhali jamani mpumzisheni huyu bwana.
 
Binadamu ana mwili wa kibayolojia unaoonekana lakini vile vile ana mwili wa kisaikolojia unaoongoza mwili wa kibayolojia. Mwili wa kibayolojia hukua na kuzeeka na hatimaye kufa. Mwili wa kisaikolojia hujikusanyia maarifa mbali mbali kadri binadamu anavyokua lakini vile vile kadri mwili wa kibayolojia unavyochoka Mwili wa kisaikolojia nao huanza kuchoka vile vile kwani miili hii hutegemeana. Ndo maana wataalam wa kazi wakakubaliana kuwa binadamu akifikisha miaka kati ya 55 na 65 uwezo wake wa kutekeleza majukumu, hasa yale yanayohitaji umakini mkubwa katika kuyatekeleza au yanayohitaji nguvu ya kimwili kuyatekeleza, huwa umefikia kiwango cha chini.

Ni busara na hekima ambayo walio wengi hawaikubali lakini huo ndo ukweli halisi. Vinginevyo tusingekuwa na vipindi vya kustaafu. Wanaoweka sheria za kustaafu hivi huwa wanafikiri nini?

Turudi kwenye ubunge. Kazi za ubunge ni kazi za uwakilishi wa wananchi. Unawawakilisha wananchi katika baraza la kutunga sheria kwa maana kuwa unatakiwa kuhakikisha kuwa sheria zinazotungwa zinazingatia maslahi ya wale waliokutuma uwawakilishe. Ziko shule mbili za fikra hapa; wapo wale wanaofikiria ubunge hauna "job description" kwa hiyo si kazi inayofanana na uwakili kwa mfano. Kwa hiyo haihitaji kuwekewa mfumo wa utendaji na hivyo haihitaji viwango au taratibu za aina yoyote. Wapo wengine wanaoona kuwa kazi ya Ubunge ni kazi kabisa sawa na kazi zingine inayotakiwa kufanywa kwa umakini mkubwa na inayostahili kuwa na viwango vinavyotambulika pamoja na malipo ya mshahara, kama kazi zingine. Hoja hii huwa inatumika sana hasa wabunge wanapodai maslahi zaidi.

Lakini kimsingi shule zote za kifikra zinakubaliana kitu kimoja. Kitu hicho ni kuwa Ubunge ni kazi inayotakiwa itambuliwe na jamii kama kazi zingine. Kwa maana hiyo wabunge hustahili malipo kama mishahara na posho mbali mbali kama wafanyakazi wengine. Ikiwa hivyo ndivyo basi ubunge vile vile unastahili kuwekewa vipimo na viwango vya kiutendaji kwani wabunge hulipwa mishahara. Mojawapo ya viwango hivyo inavyotakiwa viwepo ni pamoja na sifa za mtu anayestahili kuwa mbunge. Katika sifa hizo Umri wa kuwa mbunge (umri wa kuanzia umewekwa) lakini umri wa kumalizia haujawekwa. Mtoto hawezi kuwa Mbunge (hata kama wananchi wa eneo hilo wangependa awawakilishe). Sasa kwa nini suala la umri kupita linakuwa nongwa??

Ni wazi wabunge ni binadamu na binadamu hupungua nguvu ya mwili ya kutekeleza majukumu yake! Ukiwauliza wanasheria watakwambia kuwa kadri mwanasheria anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndivyo na busara yake inavyozidi. Lakini wanasheria hustaafu. Hata madaktari, walimu na fani zingine zote. Lakini wote hustaafu kwa mujibu wa sheria si kwa mujibu wa matakwa yao. Tatizo kwenye siasa watu wanaambiwa wastaafu kwa mujibu wa matakwa yao au kwa kulazimishwa na wananchi wao.

Wabunge nao huchoka kutokana na umri na kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi zao za kibunge. Nao wanastahili kuwekewa muda wa ukomo kama walivyo wafanyakazi wengine. Hata Vatican (the most conservative institution) ina ukomo fulani unaotokana na umri. Kwa nini baadhi ya watu wanang'ang'ania tu kuwa waachiwe wananchi? Wanaong'ang'ania hilo bila shaka ni wale waliomo ambao hawataki kutoka. Wananchi wanaweza kuendelea kumchagua kwa kuwa ana mbinu nzuri za kumwezesha kushinda uchaguzi. Jamani tujue kuwa kushinda uchaguzi ni kampeni ambayo huwezeshwa na uwezo wa kifedha pamoja na mbinu nyingine nyingi (ikiwemo ya hata kuwahonga washindani wake). Kwa hiyo tukitambuo hilo ni wazi kuwa kuweka ukomo wa ubunge ni jambo muhimu.

Si lazima ukomo uwe wa idadi ya mihula, ila ukishafikisha miaka 75 kwa mfano usiruhusiwe kuchukua form kutokana na umri wako mkubwa. Ni jambo gumu kulipokea lakini watu wote huzeeka na huhitaji kupumzishwa hata kama hawataki kukiri hilo.

Nimalizie kwa mzee Malecela, kusema kweli kwa umri wake inatakiwa tumpumzishe na tumlipe pensheni yake; hata kama yeye bado anataka kuwa mbunge!
 
- Message sent, delivered & Received, messenger hauwawi nimekupa ruhusa nitukane as much as you want, nivue nguo, ninyweshe maji ya ****** as you promised, mzee mama yangu ni kabila lako Mnyakyusa hili kabila ninalifahamu vizuri sana ni watu wakarimu, wastaarabu na wakweli hawana ujinga ujinga, sasa ni nini kilichokusibu?

- Mtoto mdogo wa kike ndugu yako ametumwa na familia yako kukutafuta huko majuu, hawajakuona wala kukusikia sasa miaka karibu 50 hujawahi kuwaandikia, kuwasiliana nao wala hata kuwatafuta, huyu mtoto nimemsaidia mpaka amekupata kwa simu, badala ya kumshukuru au kutafuta njia ya kurudi nyumbani, wewe unaenda kila blog za Wa-Tanzania unamtukana matusi ya ajabu ajabu na hata kujaribu kumfukuzisha kazi kwa kudai amemtukana bosi wake na kwamba eti yule mtoto wa kike ndiye mimi Field Marshall ES wa JF? Mkuu what happened to you?

- Mkuu hebu kaa chini ufikiri tena unayoyafanya kweli ndio tunayoya-promote hapa JF? Malecela is fine, next week atakuwa Paris, then London, badaye atakwenda New York kwa muda mrefu kutoa lectures kwenye mashule makubwa sana huko majuu, he is fine havunji sheria na ubunge wala kugombea kwake ni none-ishu, kwangu this if fun yaani hizi debate za kila siku JF za Malecela na Mama Kilango, lakini nakuomba unisikie mkuu fikiria ninayokuomba acha vitisho, acha kuwalilia Mods, maana wamekuvumulia sana in the past na kunirushia kwako matusi ya nguoni, wewe omba msaada!

- Majuzi nimeongea sana na mtu anayekufahamu amesema last time amekuona ilikuwa nyumbani kwa Marehemu Weidi alipokuwa bado NY ofisa ubalozini pale, hajakusikia tena. Mkuu tafadhali jaribu kukaa chini na kutfakari omba msaada maana humu kuna Wanyakyusa wengi sana wanaoweza kukusaidia, najua kwamba wewe ni msomi mkubwa sana umeandika vitabu vingi sana, lakini familia kwanza ndugu yangu, kumbuka ulipotoka kwanza, ukihitaji msaada nitafute kwenye PM mkuu.

Mungu Akulinde Mkuu na kukuongoza, ukitaka unaweza kunitukana as much as you want lakini angalau hutakwenda mbele ya Mungu na kusema hukuambiwa na yoyote huku Duniani, mimi ninashuka Mbeya soon kumuona mama yangu, sasa nitafute nikufikishie ujumbe kwa familia yako ingawa ni miaka 50 lakini bado wanakukumbuka, wanatuulizia kila siku kuhusu habari zako!

Respect.


Field Marshall Es!
 
- Message sent, delivered & Received, messenger hauwawi nimekupa ruhusa nitukane as much as you want, nivue nguo, ninyweshe maji ya ****** as you promised, mzee mama yangu ni kabila lako Mnyakyusa hili kabila ninalifahamu vizuri sana ni watu wakarimu, wastaarabu na wakweli hawana ujinga ujinga, sasa ni nini kilichokusibu?

- Mtoto mdogo wa kike ndugu yako ametumwa na familia yako kukutafuta huko majuu, hawajakuona wala kukusikia sasa miaka karibu 50 hujawahi kuwaandikia, kuwasiliana nao wala hata kuwatafuta, huyu mtoto nimemsaidia mpaka amekupata kwa simu, badala ya kumshukuru au kutafuta njia ya kurudi nyumbani, wewe unaenda kila blog za Wa-Tanzania unamtukana matusi ya ajabu ajabu na hata kujaribu kumfukuzisha kazi kwa kudai amemtukana bosi wake na kwamba eti yule mtoto wa kike ndiye mimi Field Marshall ES wa JF? Mkuu what happened to you?.



- Mkuu hebu kaa chini ufikiri tena unayoyafanya kweli ndio tunayoya-promote hapa JF? Malecela is fine, next week atakuwa Paris, then London, badaye atakwenda New York kwa muda mrefu kutoa lectures kwenye mashule makubwa sana huko majuu, he is fine havunji sheria na ubunge wala kugombea kwake ni none-ishu, kwangu this if fun yaani hizi debate za kila siku JF za Malecela na Mama Kilango, lakini nakuomba unisikie mkuu fikiria ninayokuomba acha vitisho, acha kuwalilia Mods, maana wamekuvumulia sana in the past na kunirushia kwako matusi ya nguoni, wewe omba msaada!

- Majuzi nimeongea sana na mtu anayekufahamu amesema last time amekuona ilikuwa nyumbani kwa Marehemu Weidi alipokuwa bado NY ofisa ubalozini pale, hajakusikia tena. Mkuu tafadhali jaribu kukaa chini na kutfakari omba msaada maana humu kuna Wanyakyusa wengi sana wanaoweza kukusaidia, najua kwamba wewe ni msomi mkubwa sana umeandika vitabu vingi sana, lakini familia kwanza ndugu yangu, kumbuka ulipotoka kwanza, ukihitaji msaada nitafute kwenye PM mkuu.

Mungu Akulinde Mkuu na kukuongoza, ukitaka unaweza kunitukana as much as you want lakini angalau hutakwenda mbele ya Mungu na kusema hukuambiwa na yoyote huku Duniani, mimi ninashuka Mbeya soon kumuona mama yangu, sasa nitafute nikufikishie ujumbe kwa familia yako ingawa ni miaka 50 lakini bado wanakukumbuka, wanatuulizia kila siku kuhusu habari zako!

Respect.

Field Marshall Es!
.

1.Mkuu Fmes.
Kwanza ninakupa pole sana.
Unayemtukana sio mimi na ninasema tena kuwa sio mimi.
Nimecheka sana nilipoona unashusha mistari na unapata taabu kunijua na umerudia again and again.
Pole sana kaka wa US

2.Mkuu.
Muogope mungu wako sio vizuri kumsema mtu ambaye hauna uhakika naye kama ni yeye.Unakwenda mbali sana mkuu wangu.Punguza hasira mimi sio huyo mzee wa kinyakyusa unayemsema.

3.Mimi ni kijana sana na pengine ni mdogo kuliko wewe, ata huko NY sijawahi kufika.

4. Punguza Jazba na nitafute kwenye PM yangu na nitakuelezea mengi.Mimi sio mzee ndugu yangu.Mimi kijana kabisa na wala sina ata mtoto wa kusingiziwa kwani baado niko shuleni na ni moja kati ya watu wenye kuamiani kuwa shule kwanza na mengine baadaye.

5.Yaishe yote hayo unayotukana na pengine waombe msamaha hao wanyakyusa,ila hao watu sio mimi na narudia tena hao watu sio mimi na mimi hakuna forum nyingine zaidi ya hii jf,pengine ni majina tu..

6.Pole sana mkuu,naona umemshushia mistari mzee wa watu ambaye pengine ata humu kwenye jf hayumo.
 
- Message sent, delivered & Received, messenger hauwawi nimekupa ruhusa nitukane as much as you want, nivue nguo, ninyweshe maji ya ****** as you promised, mzee mama yangu ni kabila lako Mnyakyusa hili kabila ninalifahamu vizuri sana ni watu wakarimu, wastaarabu na wakweli hawana ujinga ujinga, sasa ni nini kilichokusibu?

- Mtoto mdogo wa kike ndugu yako ametumwa na familia yako kukutafuta huko majuu, hawajakuona wala kukusikia sasa miaka karibu 50 hujawahi kuwaandikia, kuwasiliana nao wala hata kuwatafuta, huyu mtoto nimemsaidia mpaka amekupata kwa simu, badala ya kumshukuru au kutafuta njia ya kurudi nyumbani, wewe unaenda kila blog za Wa-Tanzania unamtukana matusi ya ajabu ajabu na hata kujaribu kumfukuzisha kazi kwa kudai amemtukana bosi wake na kwamba eti yule mtoto wa kike ndiye mimi Field Marshall ES wa JF? Mkuu what happened to you?

- Mkuu hebu kaa chini ufikiri tena unayoyafanya kweli ndio tunayoya-promote hapa JF? Malecela is fine, next week atakuwa Paris, then London, badaye atakwenda New York kwa muda mrefu kutoa lectures kwenye mashule makubwa sana huko majuu, he is fine havunji sheria na ubunge wala kugombea kwake ni none-ishu, kwangu this if fun yaani hizi debate za kila siku JF za Malecela na Mama Kilango, lakini nakuomba unisikie mkuu fikiria ninayokuomba acha vitisho, acha kuwalilia Mods, maana wamekuvumulia sana in the past na kunirushia kwako matusi ya nguoni, wewe omba msaada!

- Majuzi nimeongea sana na mtu anayekufahamu amesema last time amekuona ilikuwa nyumbani kwa Marehemu Weidi alipokuwa bado NY ofisa ubalozini pale, hajakusikia tena. Mkuu tafadhali jaribu kukaa chini na kutfakari omba msaada maana humu kuna Wanyakyusa wengi sana wanaoweza kukusaidia, najua kwamba wewe ni msomi mkubwa sana umeandika vitabu vingi sana, lakini familia kwanza ndugu yangu, kumbuka ulipotoka kwanza, ukihitaji msaada nitafute kwenye PM mkuu.

Mungu Akulinde Mkuu na kukuongoza, ukitaka unaweza kunitukana as much as you want lakini angalau hutakwenda mbele ya Mungu na kusema hukuambiwa na yoyote huku Duniani, mimi ninashuka Mbeya soon kumuona mama yangu, sasa nitafute nikufikishie ujumbe kwa familia yako ingawa ni miaka 50 lakini bado wanakukumbuka, wanatuulizia kila siku kuhusu habari zako!

Respect.

Field Marshall Es!
.

Mitoto ya wakubwa bwana! taabu sanaa.

Sasa hili lina msifia baba yake kuwa atakuwa rondon ama paris or new york?. Sasa hiyo ndiyo nini? kwamba ndiyo ajazeeka?.

Kazi kweli kweli.
 
Hivi wabunge wangekuwa wanalipwa mishahara na Marupurupu sawa na walimu wa sekondari wangeng'ang'ania kukaa miaka 40 bungeni?!

Wale ma professor wangeacha kazi zao kwenda Bungeni?!Wafanyabiashara wangekukimbilia huko?Bungeni Tungekuwa na Watu wa Aina Gani?

Bunge kwa sasa ni kama Wall street or Silicon Valley Marekani!it is one of the highest paying occupation in Tanzania,sadly...,very sad..,
Kimweri,
Unaweza ukawa unasema sawa kabisa, kwa upeo wa Tanzania. Tanzania option hazipo. Ukitaka kazi nzuri na inayolipa basi lazima aidha uhonge au uwe na bahati (hasa kwa miaka hii). Sasa hivi hamna kabisa wito na profesion, watu wanaangalia wapi kunalipa. Tanzania private sector ni infant, ukilinganisha na wenzetu unaweza kusema kwetu hapa private sector ni negligible haipo. Tanzania kuna upper class, na middle class sijui ipo wapi.

Mwajiri mkuu ni serikali, sasa hiyo mifano yako inaweza kuwa relevant, lakini uelewe kuwa tuko million 40; who deserves a good paid job?? Assume kuwa wote tunaqualify! Kwa hiyo tusihalalishe ati kwa kuwa mtu ni mzee basi anyimwe kazi, au tu-limit asitumie uwezo wake.
 
Back
Top Bottom