Unajua kuna vitu vingine Mwalimu Nyerere alivifanya utafikiri ni Nabii. Malecela angekwenda Ikulu tungekuwa na Museveni mwingine. Katiba ingebadilishwa kwa kisingizio kama anachotoa kuhusu ubunge. katika nchi changa kama yetu kuhodhi madaraka muda mrefu kuna kasoro kuliko kuachiana. Hivi Maelecela kama alivyo ana kitu cha kuongeza kwa wapiga kura wa Mtera?