Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Mwanakijiji kasema wapi hiyo kauli?
Hapa kuna wanao pigania maslahi ya chama.
Yeye anadai ccm ndio wapewe mustakabali wa nchi!
Nasema NO NO NO!
Once again you don't read what somebody actually said.. unadhania amesema hivi au vile...
Narudia tena na uangalie maneno ninayotumia na usiogope kufikiri:
Technically.... - unaelewa maana ya kutanguliza hiyo?
JM yuko sahihi, CCM ni waanzilishi wa hoja ya ufisadi.. think about it
BabaH.. you on the right track kwani nilichosema hapo is deeper kuliko watu wanaoharakisha kufikiri nimesema nini kwa vile hawataki kufikiri nilichosema.