Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
nani kaanzisha hoja is irrelevant!
sasa hata kama ccm walianzisha hoja hiyo ndo iweje?
katika suala la ufisadi kuanzisha hoja kuna umuhimu wake lakini kumaliza hoja ni muhimu zaidi.
waache kujibabaisha, watoe jawabu la nini kinafanyika kwa mafisadi
sasa hata kama ccm walianzisha hoja hiyo ndo iweje?
katika suala la ufisadi kuanzisha hoja kuna umuhimu wake lakini kumaliza hoja ni muhimu zaidi.
waache kujibabaisha, watoe jawabu la nini kinafanyika kwa mafisadi