Malecela, Chitalilo Vs Dr Slaa

kama wanagombania kuwa wameianzisha, basi waimalizie mara moja. Wananchi tupate haki yetu.
 
Malecela nyie mwacheni alikuwa anatafuta jinsi ya kuktetea wife.Isitoshe inabidi tujiulize beef la mke wa MAlecela Mke wa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM na Mke wa Msekwa Mwenyekiti wa Sasa Wa CCM.Hapo kuna kitu......LADBA KWA MSISITIZO NAWEZA KUWAKUMBUSHA KUWA WAKATI SWALA LA EPA LINALETWA BUNGENI NA LA ZITO KABWEPIA KUHUSU KARAMAGI CCM WALIKAA KIKAO NA KUWEKA MIPANGO KAMAMBE YA KUWAMALIZA WAPINZANI,NDO AKAANZA YULE ALIYEKATWA MKONO(MUDHIHIRI) AKAJA MAMA MANYANYA STELLA HUYU ALIKUWA HAJAPANGWA ILA WALIJUA KAMA KAWAIDA YAO WANAWAKE KUWATETEA WAKUBWA ZAO AKAWAGEUKA.NDIPO WAKMSIMAMISHA MKUBWA WAO MALECELA AKAMALIZA KWA KUSEMA WAKINA ZITO NA WENZAKE NI WAHONGO NA WAFUKUZWE BUNGENI,Kwa ufupi isingekuwa kauli ya MAlecela Zito asingefukuzwa Bungeni.Pengine labda Uzee unamsumbua anasahau...Lakini Uzee waliaema Ni DAwa....

Maneno yako ni mazuri lakini nimepata shida sana kuyaelewa maana hicho kiswahili kwa kweli kinahitaji msasa!
 
Jamani, This is Becoming a problem!!!!!

Hoja muhimu kama hii, unakuta almost 4 pages ni ubishani wa jmushi1 kuhusu mambo ambayo hayana mtiririko wa hoja, sasa hii inatupotezea muda mrefu sana kusoma topics nyingi humu ndani kwani mtu unatumia unnecessary time kudeal na hiyo GIGO ya jmushi1.

Nothing can be done wazee au ni mimi mwenyewe ndio napata hii shida????
 
Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu, ningependa na mimi niseme moja au mawili. Ninataka kulihakikishia Bunge hili na watanzania wote kwamba Chama Cha Mapinduzi, kamwe hakitaficha maovu. Ya kwamba Chama Cha Mapinduzi, kila mara kitakuwa katika mstari wa mbele wa kuona kwamba uovu unaondolewa katika nchi yetu. Twende kwenye hatua za kweli, nani aliyeyaleta haya mambo ya EPA mara ya kwanza? Alikuwa ni Dokta Chegeni, wa Chama Cha Mapinduzi, kutoka Jimbo la Busega. Halafu jambo la pili nitoe mfano tu juzi hapa nyinyi wenyewe mliona Chama cha Mapinduzi, Mheshimiwa Mbunge wa Same Mashariki amesema kwa nguvu zake zote tunaye Mheshimiwa Mpendazoe Fred Mpendazoe Tungu, Mbunge wa Kishapu amesema kwa nguvu. Kwa hiyo ninataka niwahakikishie hata mimi ninarudia tena, hela za EPA zitarudi, lakini nataka nisem

Hapa ndipo aliposema kuwa ni hoja ya CCM .........
 
Jamani, This is Becoming a problem!!!!!

Hoja muhimu kama hii, unakuta almost 4 pages ni ubishani wa jmushi1 kuhusu mambo ambayo hayana mtiririko wa hoja, sasa hii inatupotezea muda mrefu sana kusoma topics nyingi humu ndani kwani mtu unatumia unnecessary time kudeal na hiyo GIGO ya jmushi1.

Nothing can be done wazee au ni mimi mwenyewe ndio napata hii shida????

Nadhani wanakoleza mjadala!
 
Jamani, This is Becoming a problem!!!!!

Hoja muhimu kama hii, unakuta almost 4 pages ni ubishani wa jmushi1 kuhusu mambo ambayo hayana mtiririko wa hoja, sasa hii inatupotezea muda mrefu sana kusoma topics nyingi humu ndani kwani mtu unatumia unnecessary time kudeal na hiyo GIGO ya jmushi1.

Nothing can be done wazee au ni mimi mwenyewe ndio napata hii shida????

Nyie mnaotaka kurudisha hoja kuwa Jmushi mna lenu!
Watu wamesharudi kwenye hoja lakini mnataka kuwarudisha kwenye malumbano!
Wana jf msikubali!
Endeleeni hoja mimi niko kando!
 
Unaogopa sana panga wewe? we endelea tu kusuport hao mafisadi halafu ukisikia panga unaruka , mwisho wa uwovu ni panga tu. kama hutaki mapanga jiuenge na sisi tunaotaka mageuzi bungeni kwa njia ya halali.


mbona sisi tuko mbele kulikoni nyinyi mnasema sisi tunatenda kwa vitendo tunawatumikia wananchi kwa ari na nguvu na kasi mpya mwenye wivu ajinyonge
 
mbona sisi tuko mbele kulikoni nyinyi mnasema sisi tunatenda kwa vitendo tunawatumikia wananchi kwa ari na nguvu na kasi mpya mwenye wivu ajinyonge

Huu ni mwaka wa shetani kwa CCM bado siku ya anniversary ya 15 September .......mwanzo wa mwisho.
 
Angalieni tusifanye kama malecela na ccm. Alichoafanya mzee huyu na wenzake ni kutaka kupindisha zile nondo zolizotolea na slaa kwa kuleta itikadi. Tuache kutajana majina na tujadili hoja
 
Msimamo wangu kuwa mafisadi wakamatwe ndio msimamo wa wananchi!
sasa nyie mnaotaka kuni attack personally mtaumbuka!
Nakufahamu gaijin!
Najua una ushabiki wa watu flani flani!
Mimi sina!
Niko hapa kwa wakati wa Mungu!
Nakata issues!
Ningekuwa na haja ningekuwa nawapigia simu hao vigogo kama wengine wafanyavyo!
Sina haja hiyo kwasababu nimezisoma RIPOTI ZOTE NA SASA UKWELI UMWENIWEKA HURU!
MAFISADI WAKAMATWE MARA MOJA!

mushi mimi hunifahamu. na mwenyewe unajua hilo.
unapopewa nasaha ya kitu kubali ukweli...na rudi matao ya chini. sio kusema wewe mtu wa mungu lakini mtu akikunasihi kitu unamjibu dry.
kutumia maneno kama mzalendo, sauti ya watu, mpigania haki, hakukufanyi wewe unauchungu zaidi na tanzania kuliko wengine.
show some respect to ppl ili na wao wakupe respect unayo stahiki
 
tangu awali nilikuwa skeptic na haya maneno ya anna kilango.
most probably ccm was just buying the ufisadi show. .....time will tell, lakini wasi wasi wangu ni kwa mara nyengine tena ccm imeshinda kwenye propaganda, na kutuuzia anna kilango kwa ngozi ya kondoo kumbe fisi.

malichela is losing it, or maybe they just want to divert attention mpaka muda wa kikao kimalize mambo ya maana yasijadiliwe.
 
Mbunge amtetea Chenge kuwa hajawahi kuvunja nyumba ya mtu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma,

MBUNGE wa Buchosa, Samwel Chitalilo ameibuka bungeni na kumtetea aliyekuwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge kuwa si mwizi kwa kuwa hajawahi kuvunja nyumba ya mtu.


Mbunge huyo alisema hayo jana bungeni wakati akichangia katika hotuba ya Waziri Mkuu, kuwa Chenge si mwizi na hajawahi kuvunja nyumba ya mtu ili kuiba hivyo aachwe bila kusakamwa.


Chenge alijiuzulu baada ya kudaiwa kuweka kiasi kikubwa cha fedha huko Kisiwa cha Jersey ambazo alikiri kwamba ni zake, lakini hazihusiani na ununuzi wa rada.


Mbunge huyo alisema kwamba, alizingaliza benki ambazo zimekuwa na tabia ya kutoa siri za wateja kuacha kufanya hivyo.


Sambamba na kumkingia kifua Chenge, mbunge huyo pia alidai kuwa ni jambo la kushangaza kuona kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakimzungumza vibaya Rais wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa wakimhusisha na masuala ya ukiukwaji wa maadili.


Vilevile, Mbunge huyo alipongeza juhudi za aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa ambaye

alijuzulu kutokana na sakata la Richmond, akidai kuwa kuwajibika kwake kulikuwa ni

kwa kisiasa.


Hata hivyo, wakati akiendelea na mchango akidai kuwa tabia ya wabunge kuingiza ushirikina na kutuhumiana kwa uchawi haifai, kwa sababu wataanza kutajana ovyo, Spika wa Bunge, Samwel Sitta aliingilia kati na kumtaka mbunge huyo kurudi kwenye hoja na kumuangaliza kuwa angalizo kuwa kila mbunge ana uhuru wa kuongea katika jumba hilo.


Aliporejeshwa katika hoja, Mbunge huyo aliamua kuikalia kooni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akidai kuwa imekuwa ikiwaonea wafanyabiashara kwa kuwabambikia kodi zaidi, hususani katika bidhaa zinazonunuliwa kutoka nje ya nchi.


Alisema kuwa wataalam wa TRA, wanajikita katika bei wanazoziona katika mtandao wa

kompyuta na kusahau kuwa biashara hufanywa ikitegemea nguvu ya mapatano.


Mbunge huyo alishauri kuwa katika wakati huu,Tanzania inapaswa kuepuka kuchanganya

masuala ya uchumi na siasa.

www.mwananchi.co.tz
 
Huwa, nakataa 99% ya anavyovisema jamaa, na hasa style yake ya majadiliano pale anapokuwa cornered ku defend "dataz" zake kwa wale tunaokataa kuzibugia bugia kama maji ya sharbati.

Hili tu ndio tatizo lako, una matatizo ya personal tuuu ambayo so far umeshindwa vibaya sana kuya-transfom in debate hapa JF against me, sasa ndio hivi unaruka ruka tu maneno yasiyokuwa hata na heshima wala faida kwa jamiii, mara ya mwisho tulipopambana ulisema Hitler hakuna mtu duniani anayeweza kumsifu, ukaletewa ushahidi hukurudi tena, lakini here you are filimbi filimbi kama mtoto mdogo, na mimi ninajua kuwa wewe ni mut mzima mwenye watoto!

unachosema hakieleweki, unachokataa hakieleweki wala unachokubali hakieleweki, get real mkuu wengine hapa tupo kwa ajili ya serious business ya taifa letu, mkuu unaanza kuwachosha wanachi hapa ranting zisizokwisha, ukishindwa kubali then move on kwenye ishu nyingine, lakini sio kulia lia kila wakati, tulisema kuwa hapa JF hatuna peremende! Ni fimbo tu na mawe!

ES Sauti Ya Umeme, watch out!
 
Angalieni tusifanye kama malecela na ccm. Alichoafanya mzee huyu na wenzake ni kutaka kupindisha zile nondo zolizotolea na slaa kwa kuleta itikadi. Tuache kutajana majina na tujadili hoja

Mkuu tumekusikia sana kwenye hii topic, naona upo kila kona ya hii topic, nasubiri umalize ili nii-print out yote, maana maoni yako humu ni mazito sana na ningependa kuyasukuma mbele kufanyiwa kazi nasubiri umalize mkuu, so far ni maoni yako tu ambayo ni mazito sana na yanhitaji kufanyiwa kazi zaidi!

ila mkuu great thinking!
 
Kwenye hili mzee amekosea sana, originally hoja ya mafisadi ilianzishwa na Dr. Slaa hilo halina ubishi, yeye alichotakiwa kusema ni CCM na serikali zimefanya nini about it zaidi tu ya kamati zisizoisha na hakuna matokeo, sasa ni haki ya Dr. Slaaa kuuliza wazi kuwa CCM wamefikia wapi na hili la ufisadi maana wananchi hatuoni kilichofanyika on a serious note!

Kumbe ndio maana wanazima TV huko? Na huyu Chitalilo naye yumo kule nini?



Mkuu ES pamoja na jamaa kukupiga hadi Ikulu lakini umekubali ukweli hapa ndipo mimi na wewe huwa tubakubaliana .Unafii pembeni na Tanzania mbele .EA hapa niko nawe kwa asilimia zote .
 
Hapana sijapigwa mpaka Ikulu, mimi ni my own man au being sijawahi kuwa na tatizo na ukweli hata siku moja, ninakumbuka hotuba ya Malecela, siku alipostaafu kule Dodoma, alisema kuwa yeye ni CCM wa kweli na anaamini kuwa kuna siku watabaki wana CCM wawili tu, alisema yeye atakuwa mmoja wa hao CCM wawili watakaobaki, the matter of fact nimeshamtwangia wire kumwabia kuwa on this yuko off the line na wala hakuna noma, hii ni siasa na taifa,

Unajua Mkuu Lunyungu, siku moja Marehemu Nkulu, aliyekuwa Mwandishi wa rais Mkapa, alinialika nyumbani kwake kwa dinner, unajua niliwahi kuwa bahari a na mdogo wake mmoja anayeiitwa Sammy Fish, nilipofika nyumbani kwake nikakuta ameweka bia kibao na pombe kali sana, nikaamuuuliza vipi kuna mtu anakuja mnywaji wa hizi pombe? Akanijibu kuwa ninamaana gani si tutakunywa wote? nikamfahamisha kuwa mimi sijawahi kunywa pombe, wala hata wine katika maisha yangu, mkuu kidogo aanguke akaniambia mbona amesikia kuwa niko sana kwenye ma-club ya anasa,

Mkuu mjue mtu for yourself, usikubali ya kuambiwa au kukisia na ni vyema kuuliza pia kama huna uhakika, hoja ni hoja na viroja ni viroja, haviwezi kuunganishwa hata siku moja!

Ahsante Mkuu!
 
tangu awali nilikuwa skeptic na haya maneno ya anna kilango.
most probably ccm was just buying the ufisadi show. .....time will tell, lakini wasi wasi wangu ni kwa mara nyengine tena ccm imeshinda kwenye propaganda, na kutuuzia anna kilango kwa ngozi ya kondoo kumbe fisi.

malichela is losing it, or maybe they just want to divert attention mpaka muda wa kikao kimalize mambo ya maana yasijadiliwe.

Sasa kama hatufahamiani...Mbona unakubaliana halafu unanipiga kijembe kiaina?
Ama ukitaka kumfurahisha mtu ndio umpige vijembe jmushi?
Haya ushapewa na asante kabisa...Happy?
 
Psychosomatic disorders and aging:
This is caused by major life-events which are usually happening by first time or happen more often when a person ages. Of particular influence are the retirement and the onset of physical disorders characteristic of aging
 
Sour grapes.....wallahi ishakuwa noma sasa haya sasa ni saa ya mazungumzo baada ya habari, lete mwanangu tuvine sasa ngoma ya wachawi!

Unajua talking about aging, inanikumbusha jamaa kijana anayependa wamama wanaomzidi umri, Mtu mzima naomba tafsiri ya hii maana unaoneakana kuwa mtaalam sana wa haya mambo ya aging!

Heshima Mbele lakini! kwi! kwi!kwi!kwi!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom