JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Bibi Ntilie said:Sidhani kwamba SAS anamiliki biashara ama kampuni inayoweza kusababisha aonekane hafai kuwa kiongozi! Mzee huyu ni nambari wani kwa uadilifu! Anazo kumbukumbu za kila senti anayopokea/inayoingia/inakotoka na anayotumia/inayotoka/inakokwenda. Kuna binadamu waadilifu Tanzania hii, bwana. Tatizo Tanzania wenye macho ya kuona na kutambua 'almasi' ni wachache!
Bibi Ntilie,
..kuna mambo fulani yalikuwa yakitokea Makutopora JKT ambayo Salim anatuhumiwa kuhusika nayo. naogopa kuyasema hapa nisije nikafungiwa bure.
..kulingana na tuhuma hizo, Salim hana maadili hata kidogo.