tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Hata mama yangu aliugua malaria miaka 3 lakini pona yake alikuwa anakunywa maji, mazoezi na kula vyakula vya asili vyenye uchunguucungu. Baada ya mwezi 1 tu kwa mwendo huu akapona kabisa.[/QUOTE THANKS