Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
Malaria sasa naona haitibika maana watu wengi sana hata wakinywa hizi dawa za Metakalfin, Arinet lakini baada ya wiki malaria iko palepale.
Niliwahi kumuuliza Dokta mmoja aliniambia mara nyingi wale wadudu hujificha kwenye maini na kizazi (kwa wanawake).
Ningependa mwenye utaalamu basi atueleze kwa undani nini cha kufanya hasa unapopata Malaria isiopona.
Niliwahi kumuuliza Dokta mmoja aliniambia mara nyingi wale wadudu hujificha kwenye maini na kizazi (kwa wanawake).
Ningependa mwenye utaalamu basi atueleze kwa undani nini cha kufanya hasa unapopata Malaria isiopona.