Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Juzi nilikuwa katika pub na kulikuwa na wanafunzi (Nahisi wa chuo) wanne (4) wa kike wakijipongeza. Mmoja wao inaonekana kilaji kilikuwa kimepanda kichwani akaanza kujisifu mbele ya wenzake kuwa yeye hata iweje atafaulu tu.....
"sijasoma kwa kujiumiza kama ninyi, mimi maksi zangu nimezipatia bar, sijahonga wala nini kwa walimu lakini mitihani yote nimepata na pesa pia nimepata"
"sijasoma kwa kujiumiza kama ninyi, mimi maksi zangu nimezipatia bar, sijahonga wala nini kwa walimu lakini mitihani yote nimepata na pesa pia nimepata"