Penny
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 575
- 48
Za leo jamani,
Mimi na swali hivi mtu kanyoa ndevu vizuri tuu ila sio mpaka chini, bado katokwa na vidonda kama vile vya kunyoa mpaka kwenye ngozi nadhani mnavifahamu then pakawa panatoa harufu nyingine mbaya sana kama ya uozo, hivi nini hasa tatizo na jee mtu huyu afanye nini.
Kwa kweli ameshatumia baadhi na aftershave na vyinyolea mbali mbali ila wapi!
Noambeni msaada wenu JF Doctors.
Mimi na swali hivi mtu kanyoa ndevu vizuri tuu ila sio mpaka chini, bado katokwa na vidonda kama vile vya kunyoa mpaka kwenye ngozi nadhani mnavifahamu then pakawa panatoa harufu nyingine mbaya sana kama ya uozo, hivi nini hasa tatizo na jee mtu huyu afanye nini.
Kwa kweli ameshatumia baadhi na aftershave na vyinyolea mbali mbali ila wapi!
Noambeni msaada wenu JF Doctors.