Kamsweetie
Member
- Oct 30, 2012
- 37
- 23
Well kifupi ni kuwa Mchagua Jembe si Mkulima!!!!!!!!! Mtu kama unaugwadu wa kutosha huwezi kuanza kukagua kagua, huyu kaoga kweli? Boxer safi hili kweli, kucha mbona ndefu? Ananipapasaje kwa nguvu au taratibu?, ananibinuaje kwa nguvu au taratibu? Vuzi mbona halijakatwa? Romance nusu saaa(Hadi unajiuliza anafunction kweli huyu?) Na ukimalizia badala uskumbukie uroda unakurupuka condom iko wapi? iko wapi? KWELI!!!!!!!???????????
Kifupi kama kuna chemistry none of that matters ila kama ni kujifosi lazima ugundue each and every one of those factors.
Mh lara 1 kwenye swala la usafi hapo mwenzangu muhimu - utakua hujawahi kukutana na kituko (nje bonge ya brotherman ila harufu ya mdomo ka papa kaoza)! walah hata kama umelewa pombe yote inakata ghafla na ashki ndio inaisha kabisaaa unaanza siku zako hapo hapo!