mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Makongoro naapa, atapigwa huyuuu... subirieni... anajiona kuwa mtoto wa Baba wa Taifa ni kutukana watu... maana alianza kumtukana Wassira, akaja Mwigulu na Lowassa... anatukana kila mtu, akijifanya anacheka cheka kuigiliza kicheko kama cha Baba wa Taifa....!!
Huyu Makongoro, alishamtukana sana hata BABA WA TAIFA, ambaye ni baba yake Mzazi, so ana laana ya gongo na ya mzazi wake...!!!!
As well alikiasi CCM na kukisaliti 1995 na kutoa matusi mazito dhidi ya CCM... MAKONGORO TUNAJUA ANATUMIKA VIBAYA... HILO LINAJULIKANA... sasa yeye anaona alisha mtukana baba yake, akamwacha, ashaanza mtukana Wassira, Mwigulu na sasa Lowassa, alianza kutukana since day one akitangaza nia, Wassira akamjibu kwa ustaarabu ingawa alitumia hasira, ila Makongoro atajutia ulevi wake huko mbeleni... asituletee usinzi wake, hana hoja, hana mvuto, kazi yake kutukana wengine, na CCM nashangaa kuwa na mtu kichwa maji kama huyu...
Naamini, anajiona yeye ndie mtakatifu kuliko wote, na hakuna wa kumfanya kitu akitumia jina la baba wa taifa kama umbrella, ila mvua itamfikia, ajichunge na mdomo wake ULIO IVA KWA GONGO...!!!
Very stu.pd, annoying, disgusting hata ukimsikiliza utajua he has very babish, kiddish, childish mind...unethical indeed...!!! Fo.olish...!!
We mkuu unanichekeshaga sana unavyotokelezaga kivingine kabisa. Anyway ni uhuru wa kuongea na mimi naheshimu mawazo yako. Ila tar 12 si mbali mkuu, tutafutane kusikia nani zaidi kati ya Makongoro na edo