Makonda ni nani hasa kwenye Siasa za Tanzania? Kwanini nguvu kubwa inatumika kumrejesha ulingoni?

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM anatarajiwa kufanya ziara mikoa ya Kanda ya Ziwa lakini tetesi za mambo yanayoelezwa kuendelea ili kumpokea yanatia aibu, kutia hasira na kufedhehesha sana.

Inadaiwa Mkuu wa Wilaya ya Chato ameziamuru Taasisi zote za Kiserikali Wilayani mwake kutoa shilingi 500,000/- kila mmoja kwaajili ya maandalizi ya kumpokea Makonda.

Kama hiyo haitoshi Taaasisi hizo zinadiwa kupewa maelekezo ya kwenda katika mpaka wa Chato na Bukoba ili kumpokea Mwenezi huyo

Ujinga huu unafanywa kuhujumu mali za umma maana Makonda hausiki kabisa na mali za umma bali za chama chake, kuchukua fedha kwenye taasisi za Umma na kisha kutumia gharama zisizo za msingi kupeleka magari eti kumpokea ni UJINGA uliopiliza

Hawa watu wanatakiwa kujua Watanzania sio wajinga na bado nchi ina shida lukuki za kimaendeleo


Hizo hela huchukuliwa tu hata kama sio kwa sababu ya Makonda, ccm ni cancer.
 
Indaiwa .... umeshaharibu mzee
Mbona jana pale rwamishenyi tumeona ni bodaboda na wanannchi weng tu sijawaona hao watumish wa taasisi unazosema.
 
Kuchanga shilingi laki 5 ili kumpokea mwizi, mtekaji na mpiga watu risasi inahitaji moyo sana.

Akifika hapo Chato atoe maelezo ni lini atarejesha nyumba ya GSM qliyoipora.
hahaa Babu yako ni marehemu pia alikuachia laaana mayala wewe jizi fisadi vyeti feki kahba shg wewe
 
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM anatarajiwa kufanya ziara mikoa ya Kanda ya Ziwa lakini tetesi za mambo yanayoelezwa kuendelea ili kumpokea yanatia aibu, kutia hasira na kufedhehesha sana.

Inadaiwa Mkuu wa Wilaya ya Chato ameziamuru Taasisi zote za Kiserikali Wilayani mwake kutoa shilingi 500,000/- kila mmoja kwaajili ya maandalizi ya kumpokea Makonda.

Kama hiyo haitoshi Taaasisi hizo zinadiwa kupewa maelekezo ya kwenda katika mpaka wa Chato na Bukoba ili kumpokea Mwenezi huyo

Ujinga huu unafanywa kuhujumu mali za umma maana Makonda hausiki kabisa na mali za umma bali za chama chake, kuchukua fedha kwenye taasisi za Umma na kisha kutumia gharama zisizo za msingi kupeleka magari eti kumpokea ni UJINGA uliopiliza

Hawa watu wanatakiwa kujua Watanzania sio wajinga na bado nchi ina shida lukuki za kimaendeleo
Mmeanza tena. Hamtaki kuona msukuma anapewa post nyeti. Itabidi mvumilue Tu. Angekuwa kawekwa wa kaskazini hapo mngekuwa mnakenua Meno. Kwa taarifa yako katika siasa za nchi hii huwezi ukaikwepa Kanda ya ziwa na kutarajia kufanikiwa kisiasa. Pole Sana.
 
Makonda kawekwa hapo kwa kazi maalum. Kila analofanya, sema ama fanyiwa ni kwa baraka za waliomuweka.

Ila jambo moja ambalo waliomuweka Makonda hawajalifahamu ni kwamba, Makonda ni mithili ya jini. Ukienda kwa mganga ukaambiwa unapewa jini la utajiri kwa masharti ya kumpa kuku kila mwaka, amini kuwa ni swala la muda tu hilo jini litadai damu ya mtu.

Makonda ni kama mnyama pori, hafugiki. Utamchezea simba uliemfuga sharubu lakini ipo siku instincts zake za unyama pori zita kick in na ataishia kukutafuna.

CCM imecheza kamari, kuna mawili Makonda kuimarisha chama zaidi ama kupelekea anguko lake la mwisho. Time will tell.
 
Back
Top Bottom