Katoto Kadogo
Member
- Jul 3, 2015
- 9
- 23
Aisee! CCM ndio inaagiza utumiaji mbaya wa mali za umma?Acha uzwazwa.
Huyu ni msemaji wa chama,
Hayo ni maagizo ya CCM kwa mawaziri KUPITIA msemaji wake
Aisee! CCM ndio inaagiza utumiaji mbaya wa mali za umma?Acha uzwazwa.
Huyu ni msemaji wa chama,
Hayo ni maagizo ya CCM kwa mawaziri KUPITIA msemaji wake
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM anatarajiwa kufanya ziara mikoa ya Kanda ya Ziwa lakini tetesi za mambo yanayoelezwa kuendelea ili kumpokea yanatia aibu, kutia hasira na kufedhehesha sana.
Inadaiwa Mkuu wa Wilaya ya Chato ameziamuru Taasisi zote za Kiserikali Wilayani mwake kutoa shilingi 500,000/- kila mmoja kwaajili ya maandalizi ya kumpokea Makonda.
Kama hiyo haitoshi Taaasisi hizo zinadiwa kupewa maelekezo ya kwenda katika mpaka wa Chato na Bukoba ili kumpokea Mwenezi huyo
Ujinga huu unafanywa kuhujumu mali za umma maana Makonda hausiki kabisa na mali za umma bali za chama chake, kuchukua fedha kwenye taasisi za Umma na kisha kutumia gharama zisizo za msingi kupeleka magari eti kumpokea ni UJINGA uliopiliza
Hawa watu wanatakiwa kujua Watanzania sio wajinga na bado nchi ina shida lukuki za kimaendeleo
Wapuuzi kweli yanii wameona wataangukia pua wakaona wamtumie makonda🤣Wanalazimisha kurudisha upepo wa Magufuli kanda ya ziwa kwa lazima
hahaa Babu yako ni marehemu pia alikuachia laaana mayala wewe jizi fisadi vyeti feki kahba shg weweKuchanga shilingi laki 5 ili kumpokea mwizi, mtekaji na mpiga watu risasi inahitaji moyo sana.
Akifika hapo Chato atoe maelezo ni lini atarejesha nyumba ya GSM qliyoipora.
Mmeanza tena. Hamtaki kuona msukuma anapewa post nyeti. Itabidi mvumilue Tu. Angekuwa kawekwa wa kaskazini hapo mngekuwa mnakenua Meno. Kwa taarifa yako katika siasa za nchi hii huwezi ukaikwepa Kanda ya ziwa na kutarajia kufanikiwa kisiasa. Pole Sana.Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM anatarajiwa kufanya ziara mikoa ya Kanda ya Ziwa lakini tetesi za mambo yanayoelezwa kuendelea ili kumpokea yanatia aibu, kutia hasira na kufedhehesha sana.
Inadaiwa Mkuu wa Wilaya ya Chato ameziamuru Taasisi zote za Kiserikali Wilayani mwake kutoa shilingi 500,000/- kila mmoja kwaajili ya maandalizi ya kumpokea Makonda.
Kama hiyo haitoshi Taaasisi hizo zinadiwa kupewa maelekezo ya kwenda katika mpaka wa Chato na Bukoba ili kumpokea Mwenezi huyo
Ujinga huu unafanywa kuhujumu mali za umma maana Makonda hausiki kabisa na mali za umma bali za chama chake, kuchukua fedha kwenye taasisi za Umma na kisha kutumia gharama zisizo za msingi kupeleka magari eti kumpokea ni UJINGA uliopiliza
Hawa watu wanatakiwa kujua Watanzania sio wajinga na bado nchi ina shida lukuki za kimaendeleo
Alishindwa magufuli ataweza yeye?Na bado hamjasema,, Makonda anaufyekelea mbali mtandao wa Sacco's ya kaskazini,, mapovu yanavyowatoka sasa,, karibu nyumbani kijana shikilia hapohapo hadi waseme,,
Si watashinda tu bila hata hizo kura zaoKura za Kanda ya ziwa, na kuwavuta wafuasi wa jiwe ambao bado wamelala matanga, Kanda ya ziwa Ina wapiga kura wengi