Makonda angekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza angeokoa miili mpaka asubuhi Alafu CHADEMA wangesema ni kiki

Duuu hiv suala kama ili mnaketa ujinga wenu kwel wa kisiasa? Hao chadema au usisimu sa hiv unawasaidia nn walio poteza ndugu zao na wapo na klio? Nyie kla SKU mna amka na chadema tuu? Hat ka ndo mnaingza SKU kwa kuisema ila wakat mwingne hasa seriously tuache ujinga kabsa
Unajibu tu kwa pupa kama limwehu fulani hivi..sijui kama umetumia akili kujua jibu langu na comment niliyojibu.sasa ukijua kama mimi mwenyewe ni mwana chadema au hata sina chama chochote sijui utasemaje.
 
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,

Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,

Nawashangaa sana CHADEMA
Tatizo kubwa kama hili watu mnaleta siasa.....
Hivi hakuna siku watu tutumie akili zetu tuachane na CDM na CCM?
Plz plz.......tuacheni hii mambo akili zetu ziwe kwa wahanga kwanza jamani.
 
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,

Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,

Nawashangaa sana CHADEMA
Mkuu wa mkoa wa mwanza, makonda, chadema!!! What a fucken comparison, ongea jambo la kueleweka hata kama unataka kumpaisha bashite kupitia msiba huu sio kihivyo, jaribu kuwa na akili sio kila ishu ni ya kujikweza na kutafuta sifa!! Sijui uwa anawalipa shilingi ngapi huyo bashite maana sio kwa kujipendekeza huko!
 
Unaokoaje maiti...?? Vitendea kazi hafifu ndio maana wakasitisha ili kupunguza uwezekano wa kuwapoteza hata hao waokoaji..
 
Naamini mwanza kusingetosha, kusingetosha jamaa angelala ndani ya ziwa, i mean it. Hata leo wamuite tu akasaidie wampe helcopter moja n akikosi cha wanamaji waone mziki.
 
Matatizo mengi ya nchii hii yanasababishwa na utawala ulioko madarakani nawashangaa badala ya kuongelea namna ya kuwashauri na kuyatatua matatizo yanayo likumba taifa nyie kutwa mnawaponda CHADEMA
Alieturaga watanzania sijui ni nani
 
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,

Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,

Nawashangaa sana CHADEMA

Japo sina uhakika wa muundo wa kivuko,ila kitu kilichotokea ni kupinduka kwa kivuko.
Sehemu iliokuwa juu sasa ipo ndani ya maji na sehemu iliyokuwa chini ipo juu.
Kuna uwezekano baadhi ya watu wamekwama ndani ya kivuko na kuna wengine wameanguka majini.Hivyo ni jambo lenye mikakati tofauti.
Lakini uokoaji unaendana na ujuzi wa kijasiri na vyombo au vifaa mahususi.
Kitengo chenye mamlaka na utaalamu wa shughuli hiyo ya uokoaji wa majini ni Search and Resue .
Sio kazi ya Mkuu wa mkoa kiuwalisia.Labda kazi ya mkuu wa mkoa ni kutambua umuhimu wa vikosi hivyo na kutoa msaada pale panapohitajika.
 
Atubela, inauma sana, uko sahihi sana

how can you sleep raia wako kwenye maji??
kuna watu wana roho mbaya sana na hawana sense ya uwajibikaji

mkuu wa mkoa katuumiza sana
Umeona ndugu yangu alafu huyu mkuu wa mkoa anatokea huko huko, Yaani mama yake ni Bi Getrude Mongella ambaye kwa vipindi kadhaa alikuwa mbunge wa Ukerewe akiachiana na mzee Pius Msekwa, Sasa kiistoria ya vizazi vya viongozi na yeye atakuja kuwaomba kura wakazi wa ukalla na visiwa vyote vya ukalla ambavyo wakazzi wake leo hii wanalia kwa kuwapoteza wapendwa wao..
Let wait and see 2020 tutamsikia na yeye anawaomba kura
 
Umeona ndugu yangu alafu huyu mkuu wa mkoa anatokea huko huko, Yaani mama yake ni Bi Getrude Mongella ambaye kwa vipindi kadhaa alikuwa mbunge wa Ukerewe akiachiana na mzee Pius Msekwa, Sasa kiistoria ya vizazi vya viongozi na yeye atakuja kuwaomba kura wakazi wa ukalla na visiwa vyote vya ukalla ambavyo wakazzi wake leo hii wanalia kwa kuwapoteza wapendwa wao..
Let wait and see 2020 tutamsikia na yeye anawaomba kura
Ababelaa
 
An
Tukiwa kama wananchi hisia zetu zipo mahala pake lakini kama nchi zingine huacha uokoaji kwa muda kutokana na maswala mbalimbali kwanini sisi tulazimishe?
Akili ya kawaida inasema kilichozuia uokoaji ni ukosefu wa vifaa vya kisasa, tukilazimisha tunaweza jikuta tunawapoteza na waokoaji wenyewe.
Angekua ndugu yako nae yupo kwenye hicho kivuko labda usingeliandika hivyo
 
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,

Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,

Nawashangaa sana CHADEMA
CCM wangesemaje?
 
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,

Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,

Nawashangaa sana CHADEMA
Yaani unawashangaa CHADEMA kwa jambo ambalo umelifikiria tu na halipo? Nakushangaa sana. Unaweza kumfikiria Magu kafa, ukaanza kulia.
 
Hakuna ushuzi unanuka vibaya kama huu, Serikali inasitisha uokoaji/uopoaji wa miili ya Watanzania kisa giza/usiku umeingia!! Haya nayo ni maajabu kama yale ya pesa za misaada ya tetemeko Kagera. Humo chomboni angekuwepo Bashite au Polyepolye shughuli ya uopoaji ingesitishwa au ni vile maiti zilizomo ni za walalahoi?
 
Leo mkuu wa mkoa wa mwanza amesitisha uokoaji kutokana na giza kuingia, na kusema zoezi litaendelea kesho,
Maoni ya watu hawakupenda kwamba serikali inashindwaje kuendelea kuokoa usiku kucha,

Nikawaza Makonda kama ndo angekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza, angeokoa usiku kucha alafu CHADEMA hao hao wangesema ni kiki,

Nawashangaa sana CHADEMA
Unawaza maneno ya watu badala ya kuwaza maisha ya Watanzania. Mbona mnaishi kwa wasiwasi hivyo??
 
Hii ni nchi ya kipumbavu kabisa, hili sio tukio la kwanza kutokea ziwa victoria na mpaka leo hatujajifunza, meli inazama karibu na mji halafu hatuna hata mbinu za kuokoa watu. Wazungu wangekesha kuoka watu wao lakini sie bongo hatujui umuhimu wa binadamu ila wakati wa kupiga kura. Hapa lazima wafungwe watu kwa uzembe. Na mkuu wa mkoa afukuzwe.
 
Mbona wavuvi wanavua usiku ?? Sio mbunifu naamini RC makonda angeweza maana ni mbunifu
Heeee!!! Yaani kazi ya kuvua samaki unailinganisha na zoezi la uokoaji binadamu majini?? Kama huna vifaa vya uokoaji?? Ubunifu bila vifaa? Majanga yanayotokea tu nchi kavu huwa tunawaona tu wanavyohangaika, kutokana na vifaa duni, mfano ajari inatokea watu wanabanwa kwenye magari, wanakaa masaa kibao bila msaada, sembuse majini?? Kifupi hatuko tayari kwa majanga, jeshi la zima moto na uokoaji na marine hawana vifaa na wataalam!! Mvuvi akishusha nyavu tu anasubilia kuvuta, ulinganishe na uokoaji?!
 
Back
Top Bottom