Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,489
- 190,061
He knows how to do it!! 🤣 Atatoboaa…🤣🤣 mwamba anaujuzi katika kazi yake!
Ni suala la muda tu.
He knows how to do it!! 🤣 Atatoboaa…🤣🤣 mwamba anaujuzi katika kazi yake!
Inaonekana una shida kubwa sana kichwani. Ww kazi yako ni wivu na chuki kwa watu. Na ulivyo na akili ndogo unataka usikilizwe. Hii ni tabia mbovu na ya kipumbavu. Mawazo yako ya hovyo hovyo unalazimisha watu wayakubali. Tabia hii ya kijinga kabisa na ya watu frustrated kama nyie anayo Kigogo2014, Mange Kimambi. Na wengine wengi wapumbavu wanazidi kuongezeka. Kama unaumia Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, jinyonge tu. Na Makonda atakuja kuwa, MTU mkubwa Sana bongo hii. Jiandae kujinyonga.Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.
Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.
Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?
Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.
USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.
Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.
Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Moyo wangu unakuwa na raha sana unapokuona ephen.Lucas mbona leo umechelewa kulog in...
Leo kila mda nakuchungulia kama upo nakuta holaa! Ulikua wapi?Moyo wangu unakuwa na raha sana unapokuona ephen.
Nilikuwa shambani ephen.kuingia tu mitaani nikakuta Makonda ndiye kateka mijadala yote ya siasa. Mwamba anajuwa kuiteka mioyo ya watu.Leo kila mda nakuchungulia kama upo nakuta holaa! Ulikua wapi?
Shambani ni kila siku?Nilikuwa shambani ephen.kuingia tu mitaani nikakuta Makonda ndiye kateka mijadala yote ya siasa. Mwamba anajuwa kuiteka mioyo ya watu.
😃😃😃😃Hapana siyo kila siku.mvua zilinyesha sana jana ,kwa hiyo nilikuwa nimekwenda kuangalia kama hazijafanya uharibifu wa kuangusha mahindi chini kwa upepo.Shambani ni kila siku?
Mimi makonda nampenda bila sababu
Mbwa kabisa ninyi ,Ndugu zangu Watanzania,
Kama kawaida ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni mtu wa kuteka hadhira, ni mtu wa kuteka mijadala, ni mtu wa kuondoka na point tatu na magoli ya kutosha,ni mtu anayeijuwa siasa,ni mtu msema kweli, jasiri,imara, hodari, madhubuti, shupavu na mwenye misimamo yake na ya aina yake.
popote alipo ni lazima pafahamike na kuvuma kama upepo wa baharini, ni Mwamba kwelikweli, ni field Marshall ambaye akianza kuzungumza unaona hata sisiminzi wanatulia kusubiri amalize kuzungumza ndio waendelee na shughuli zao.kiukweli huyu Mwamba ni jasiri sijapata kuona. Ni jasiri mpaka shetani mwenyewe anamuogopa.
Leo katika kutoa kwake neno amemmwagia sifa kemkemu Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo kwa kusema kuwa amesimama naye wakati akiwa na cheo na wakati akiwa hana cheo.
Akaendelea kusema kuwa anafurahi tena kumuona akikanyaga katika ardhi aliyopewa na Mheshimiwa Rais kuiongoza na ni bahati ya kimungu , na kwamba ni mwisho kuzaliwa kwa mapooza na kwamba ardhi haitazaa tena mapooza.
Mnafikiri alimaanisha nini Mwamba kwa kauli hii ndugu zangu. Mnauonaje ujasiri wa Mwamba awapo jukwaani na Maiki Mdomoni pake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Ukivuna usisahau kunitumia gunia la mahindi niwe nachemsha nakula😌😃😃😃😃Hapana siyo kila siku.mvua zilinyesha sana jana ,kwa hiyo nilikuwa nimekwenda kuangalia kama hazijafanya uharibifu wa kuangusha mahindi chini kwa upepo.
😃😃😃😃Usijali nitakutumia bila shida pamoja na mchele uliokobolewa na kutoka vizuri bila kukatika katika.nitakutumia pia na maparachichi ambayo hayajaiva sana kusudi yasifike yameharibika. Lakini pia nitakuwekea na karanga ndani yake ambapo hata kama hulagi unaweza kuwapa hata majirani zako.Ukivuna usisahau kunitumia gunia la mahindi niwe nachemsha nakula😌