Makofi ya Mbowe na kizungumkuti cha maadili ya Viongozi Tanzania

Ernesto Sheka

Senior Member
Oct 24, 2010
102
0
Nilikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria onyesho la Joseph Mbilinyi (MB) pale Club Bilicanas baada ya Bunge la Februari. Kwa wale mliokuwepo nadhani mnakumbuka matusi aliyokuwa anayatoa Joseph waziwazi huku akipigiwa makofi na Freeman Mbowe, usiku ule mbele ya Wananchi. Mbunge anavitukana vyombo vya habari na viongozi huku akipigiwa makofi na mbunge na pia mwenyekiti wa chama.

Hivi tuna wanasiasa au wanasiasa? Trust me, descent young people are on their way to clean up uchafu huu wa ukosefu wa maadili kwa ninyi mnaojiita vioo sahihi kwa jamii. And when they clean up, it's a new move, new politics. Upinzani si kubisha tu na kuwa na mishipa migumu ya shingo.

STOP MAKING TANZANIA OPPOSITION POLITICS LOOK LIKE A CRAP! Jifunzeni kwa nini nchi nyingine za EA ikitokea a slight unrest inapewa air time katika vyombo vya kimataifa but not kwetu!
 
Ni ''matusi'' ya aina gani aliyokuwa anayatoa Joseph? - jaribu kuwa wazi mkuu
 
kwa hiyo maadili kwako ni kuvaa suti na kuongea unafiki? hip hop ni utamaduni baba... let em take sugu to cort if they can dare
 
Nilikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria onyesho la Joseph Mbilinyi (MB) pale Club Bilicanas baada ya Bunge la Februari. Kwa wale mliokuwepo nadhani mnakumbuka matusi aliyokuwa anayatoa Joseph waziwazi huku akipigiwa makofi na Freeman Mbowe, usiku ule mbele ya Wananchi. Mbunge anavitukana vyombo vya habari na viongozi huku akipigiwa makofi na mbunge na pia mwenyekiti wa chama.

Hivi tuna wanasiasa au wanasiasa? Trust me, descent young people are on their way to clean up uchafu huu wa ukosefu wa maadili kwa ninyi mnaojiita vioo sahihi kwa jamii. And when they clean up, it's a new move, new politics. Upinzani si kubisha tu na kuwa na mishipa migumu ya shingo.

STOP MAKING TANZANIA OPPOSITION POLITICS LOOK LIKE A CRAP! Jifunzeni kwa nini nchi nyingine za EA ikitokea a slight unrest inapewa air time katika vyombo vya kimataifa but not kwetu!

munaikumbuka hii singo ya Nas Escober?

alitukanwa Rais, ilitukanwa congress, walitukanwa FBI, CIA n.k.

sembuse magazeti yenu ya RAI na Jambo Leo?

singo ili-hit na Nas mwenyewe hakufanywa kitu.

sometimes muwe munakuwa na kumbukumbu kabla ya kuleta thread zisizokuwa na mashiko.

NAS LYRICS - I Want to Talk To You
 
Nilikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria onyesho la Joseph Mbilinyi (MB) pale Club Bilicanas baada ya Bunge la Februari. Kwa wale mliokuwepo nadhani mnakumbuka matusi aliyokuwa anayatoa Joseph waziwazi huku akipigiwa makofi na Freeman Mbowe, usiku ule mbele ya Wananchi. Mbunge anavitukana vyombo vya habari na viongozi huku akipigiwa makofi na mbunge na pia mwenyekiti wa chama.

Hivi tuna wanasiasa au wanasiasa? Trust me, descent young people are on their way to clean up uchafu huu wa ukosefu wa maadili kwa ninyi mnaojiita vioo sahihi kwa jamii. And when they clean up, it's a new move, new politics. Upinzani si kubisha tu na kuwa na mishipa migumu ya shingo.

STOP MAKING TANZANIA OPPOSITION POLITICS LOOK LIKE A CRAP! Jifunzeni kwa nini nchi nyingine za EA ikitokea a slight unrest inapewa air time katika vyombo vya kimataifa but not kwetu!

Wabongo hamuaminiki Mkiambiwa ukweli mnadai mnatukanwa, hivyo kutuambia SUGU alikuwa anatukana ktk onyesho lake siwezi kukuamini mojakwamoja.

Tukumbuke SUGU alivyotoa kwa mara ya kwanza ALBUM ANTI VIRUS aliyowashirikisha wenzake alitiwa nguvuni na Jeshi la Polisi kuwa Katishia kuua na katukana Baadhi ya watu ktk wimbo wa I WANNA KILL U RIGHT NOW kikowapi hadi leo hakuna cha kesi wala zuio la wimbo/Album hiyo lililo mahakamani au BASATA, Leo anazindua ALBUM hiyohiyo ya ANTI VIRUS unakuja na maneno yale yale na lugha hile hile ya MATUSI, hivi mnaelewa neno TUSI maana yake?

Ni vyema mkapitie KAMUSI ya kiswahili sanifu ili kuelewa maana ya neno hilo, isije kuwa Mkiambiwa ukweli kwenu tafsiri yake ni MATUSI.
 
Kama ni kweli, Mbilinyi hawatendei haki waliompigia kura na nadhani ataongoza kwa miaka mitano then inatosha,hatuwezi kuwa na wanasiasa waliojaa visa visasi matusi ktk jamii.

Kumbukeni tumetoka kumsema yule dada mhindi mwanaharakati kwa kuwa amekuwa anafanya mambo yasiyo ipendeza jamii,
so kwa mbilinyi pia ni kioo cha jamii kwa hiyo tunahitaji aonyeshe kweli yeye ni kioo cha jamii.

Mbona Komba anaimba hatukani? Tatizo lipo wapi endelea kuimba lakini matusi sio ustaarabu ukiwa kama mbunge
 
Nilikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria onyesho la Joseph Mbilinyi (MB) pale Club Bilicanas baada ya Bunge la Februari. Kwa wale mliokuwepo nadhani mnakumbuka matusi aliyokuwa anayatoa Joseph waziwazi huku akipigiwa makofi na Freeman Mbowe, usiku ule mbele ya Wananchi. Mbunge anavitukana vyombo vya habari na viongozi huku akipigiwa makofi na mbunge na pia mwenyekiti wa chama.

Hivi tuna wanasiasa au wanasiasa? Trust me, descent young people are on their way to clean up uchafu huu wa ukosefu wa maadili kwa ninyi mnaojiita vioo sahihi kwa jamii. And when they clean up, it's a new move, new politics. Upinzani si kubisha tu na kuwa na mishipa migumu ya shingo.

STOP MAKING TANZANIA OPPOSITION POLITICS LOOK LIKE A CRAP! Jifunzeni kwa nini nchi nyingine za EA ikitokea a slight unrest inapewa air time katika vyombo vya kimataifa but not kwetu!

Mbona wanaCCM wana uwezo mdogo namna hii, kila kitu wanaita matusi ukimwambia taja matusi yenyewe hana jibu. Huko ni kukosa cha kusema wanalalama tu.

Hamna jipya kwa sasa.
 
Mbona wanaccm wana uwezo mdogo namna hii, kila kitu wanaita matusi ukimwambia taja matusi yenyewe hana jibu. Huko ni kukosa cha kusema wanalalama tu.

Hamna jipya kwa sasa.

Ufinyu wa fikra utakusumbua kwa muda mrefu maishani.That I guarantee.Fuatilia kwa makini utajua mimi ni mfuasi wa fikra zipi,usikurupuke kama ulivyom-quote Marando usiyejua lolote kuhusu that particular quotation.Jitahidi usiwe superficial arm chair activist.
 
Nilikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria onyesho la Joseph Mbilinyi (MB) pale Club Bilicanas baada ya Bunge la Februari. Kwa wale mliokuwepo nadhani mnakumbuka matusi aliyokuwa anayatoa Joseph waziwazi huku akipigiwa makofi na Freeman Mbowe, usiku ule mbele ya Wananchi. Mbunge anavitukana vyombo vya habari na viongozi huku akipigiwa makofi na mbunge na pia mwenyekiti wa chama.

Hivi tuna wanasiasa au wanasiasa? Trust me, descent young people are on their way to clean up uchafu huu wa ukosefu wa maadili kwa ninyi mnaojiita vioo sahihi kwa jamii. And when they clean up, it's a new move, new politics. Upinzani si kubisha tu na kuwa na mishipa migumu ya shingo.

STOP MAKING TANZANIA OPPOSITION POLITICS LOOK LIKE A CRAP! Jifunzeni kwa nini nchi nyingine za EA ikitokea a slight unrest inapewa air time katika vyombo vya kimataifa but not kwetu!

Tunaomba utuwekee hayo matusi tuone kama kweli yanafaa kuitwa matusi maana tunasikia kwenye siasa ahadi nyingi zisizotekelezeka za uongo hugeuka kuwa ilani na ukweli huwa uchochezi.
 
Na bado mtatafuta sana visingizio,mara wanataka kupindua nchi,mara wanatukana,mara wanafadhiliwa na nchi za magharibi kama ni picha hizo zote bado ni trailer picha bado kabisa
 
Wee sheka tuambie matusi yenyewe aliyotoa Sugu ni yepi? acha kigugumizi hapa! Mengi wamesemwa viongozi wetu Chadema na hatuwahi kulalamika kuwa wanatukanwa na mende wa ccm sasa unakuja uanalialia kijuu juu bila kutambia tumtuhumu Sugu kwa kosa lipi!
 
Wabongo hamuaminiki Mkiambiwa ukweli mnadai mnatukanwa, hivyo kutuambia SUGU alikuwa anatukana ktk onyesho lake siwezi kukuamini mojakwamoja.

Tukumbuke SUGU alivyotoa kwa mara ya kwanza ALBUM ANTI VIRUS aliyowashirikisha wenzake alitiwa nguvuni na Jeshi la Polisi kuwa Katishia kuua na katukana Baadhi ya watu ktk wimbo wa I WANNA KILL U RIGHT NOW kikowapi hadi leo hakuna cha kesi wala zuio la wimbo/Album hiyo lililo mahakamani au BASATA, Leo anazindua ALBUM hiyohiyo ya ANTI VIRUS unakuja na maneno yale yale na lugha hile hile ya MATUSI, hivi mnaelewa neno TUSI maana yake?

Ni vyema mkapitie KAMUSI ya kiswahili sanifu ili kuelewa maana ya neno hilo, isije kuwa Mkiambiwa ukweli kwenu tafsiri yake ni MATUSI.

MKama mtu kuambiwa, "Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu" lilikuwa tusi kwa maoni yao, unategemea nini?
Ukienda against na upupu wao ni sawa na umewatusi, mfano kupinga kulipa DO ONCE, lilikuwa ni bonge la tusi

:embarassed2::embarassed2::embarassed2:
 
Ukisema mtu katukana, wakati husemi tusi/matusi yenyewe,
Sisi ambao hatukumsikia tutamhukumu je sasa??

Tuambie mkuu!!!!!
 
Samahani wana JF, sisi wengine tukiambiwa ukweli kuhusu mabaya yetu inakuwa matusi.
 
munaikumbuka hii singo ya Nas Escober?

alitukanwa Rais, ilitukanwa congress, walitukanwa FBI, CIA n.k.

sembuse magazeti yenu ya RAI na Jambo Leo?

singo ili-hit na Nas mwenyewe hakufanywa kitu.

sometimes muwe munakuwa na kumbukumbu kabla ya kuleta thread zisizokuwa na mashiko.

NAS LYRICS - I Want to Talk To You

wanapenda nyimbo za kuwasifia tu kama za kina diamond , small jobiso na wasanii wengine.. Wakisifiwa aka wanawaalika kwenda ikulu kunywa chai kabisa lakini wakikosolewa basi inakuwa nongwa .. Siasa na maisha ya zidumu fikra za mwenyekiti zimepitwa na wakati sasa hivi.
 
Usikurupuke, na mahitimisho. Muulize mwanzishaji wa thread alitukana nini? Tunajua kwenu ukweli ni matusi.
Kama ni kweli, Mbilinyi hawatendei haki waliompigia kura na nadhani ataongoza kwa miaka mitano then inatosha,hatuwezi kuwa na wanasiasa waliojaa visa visasi matusi ktk jamii.

Kumbukeni tumetoka kumsema yule dada mhindi mwanaharakati kwa kuwa amekuwa anafanya mambo yasiyo ipendeza jamii,
so kwa mbilinyi pia ni kioo cha jamii kwa hiyo tunahitaji aonyeshe kweli yeye ni kioo cha jamii.

Mbona Komba anaimba hatukani? Tatizo lipo wapi endelea kuimba lakini matusi sio ustaarabu ukiwa kama mbunge
 
Nilikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria onyesho la Joseph Mbilinyi (MB) pale Club Bilicanas baada ya Bunge la Februari. Kwa wale mliokuwepo nadhani mnakumbuka matusi aliyokuwa anayatoa Joseph waziwazi huku akipigiwa makofi na Freeman Mbowe, usiku ule mbele ya Wananchi. Mbunge anavitukana vyombo vya habari na viongozi huku akipigiwa makofi na mbunge na pia mwenyekiti wa chama.

Hivi tuna wanasiasa au wanasiasa? Trust me, descent young people are on their way to clean up uchafu huu wa ukosefu wa maadili kwa ninyi mnaojiita vioo sahihi kwa jamii. And when they clean up, it's a new move, new politics. Upinzani si kubisha tu na kuwa na mishipa migumu ya shingo.

STOP MAKING TANZANIA OPPOSITION POLITICS LOOK LIKE A CRAP! Jifunzeni kwa nini nchi nyingine za EA ikitokea a slight unrest inapewa air time katika vyombo vya kimataifa but not kwetu!

jifunze kujenga hoja,ulikua na idea nzurii,but poor presentation...dont b too emotion unapojenga hoja zako....for nw it look like a CRAP..Am sorry
 
Back
Top Bottom