jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Ni pale aliposhindwa kuunganisha zanzibar na tanganyika kwa kuwatenga wahanga takribani 280 wa ajali ya meli kuzama kanakwamba ni "wazanzibari" mbaaaaaaali kabisa kuleeeeeeeee, na si chamwino wala karibu na dodoma (bara)!!!!
Akakataa hoja ya HAMADI RASHIDI mbunge kutoka zanzbar, kulitaka bunge liahirishe shughuli zake kutokana na kadhia hiyo na kukubali Emanuel Nchimbi mbunge na waziri kutoka bara aichomoe hoja mezani ili kulinyima bunge shughuli ya kufanya na kupelekea kuahirisha, ieleweke hapa kuwa bunge lilikosa cha kufanya, hapakuwa na hoja mezani!!!!!!!!
Kwa wasiofahamu, watambue sasa kuwa Tundu Lissu (munyampaa) alipata kuliambia bunge kuwa muungano wetu ni dhaifu kuliko wakati mwingine wowote wa historia ya tanzania,
HEBU ONENI UDHAIFU HUU KUTOKA KWA KIONGOZI MKUU WA MUHIMILI!!!
Wafuatao walimpinga tundu lissu hadharani kwa nguvu na vijembe vikali hadi kufikia habib mnyaa kutafsiri jina tundu lissu "kizenji"
1) habib mnyaa
2) anna makinda
3) hamadi rashidi mohamed
4) selina kombani
5) jussa ladhu (spelling correction allowed)
6) . . . . .
7) . . . . .
8) . . . . .
Tukumbushane hivi Werema hajawahi tumbukia kwenye shimo alichimbalo kweli?
Please do me a fever niwekeeni ile pic. Makinda akicheza muziki na Tundu Lissu!
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=294155
weeweee, Lissu anamchezesha makinda muziki wa "muungano ni dhaifu saaana" makinda anaonekana kuufurahia sana!!!!
Akakataa hoja ya HAMADI RASHIDI mbunge kutoka zanzbar, kulitaka bunge liahirishe shughuli zake kutokana na kadhia hiyo na kukubali Emanuel Nchimbi mbunge na waziri kutoka bara aichomoe hoja mezani ili kulinyima bunge shughuli ya kufanya na kupelekea kuahirisha, ieleweke hapa kuwa bunge lilikosa cha kufanya, hapakuwa na hoja mezani!!!!!!!!
Kwa wasiofahamu, watambue sasa kuwa Tundu Lissu (munyampaa) alipata kuliambia bunge kuwa muungano wetu ni dhaifu kuliko wakati mwingine wowote wa historia ya tanzania,
HEBU ONENI UDHAIFU HUU KUTOKA KWA KIONGOZI MKUU WA MUHIMILI!!!
Wafuatao walimpinga tundu lissu hadharani kwa nguvu na vijembe vikali hadi kufikia habib mnyaa kutafsiri jina tundu lissu "kizenji"
1) habib mnyaa
2) anna makinda
3) hamadi rashidi mohamed
4) selina kombani
5) jussa ladhu (spelling correction allowed)
6) . . . . .
7) . . . . .
8) . . . . .
Tukumbushane hivi Werema hajawahi tumbukia kwenye shimo alichimbalo kweli?
Please do me a fever niwekeeni ile pic. Makinda akicheza muziki na Tundu Lissu!
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=294155
weeweee, Lissu anamchezesha makinda muziki wa "muungano ni dhaifu saaana" makinda anaonekana kuufurahia sana!!!!