Kwa nini mlitaka Bunge liahirishwe badala ya kuzungumzia ajali ile na jinsi gani bunge linaweza kusaidia haraka iwezekanavyo kuokoa maisha ya wananchi?.Ni pale aliposhindwa kuunganisha zanzibar na tanganyika kwa kuwatenga wahanga takribani 280 wa ajali ya meli kuzama kanakwamba ni "wazanzibari" mbaaaaaaali kabisa kuleeeeeeeee, na si chamwino wala karibu na dodoma (bara)!!!!
Akakataa hoja ya HAMADI RASHIDI mbunge kutoka zanzbar, kulitaka bunge liahirishe shughuli zake kutokana na kadhia hiyo na kukubali Emanuel Nchimbi mbunge na waziri kutoka bara aichomoe hoja mezani ili kulinyima bunge shughuli ya kufanya na kupelekea kuahirisha, ieleweke hapa kuwa bunge lilikosa cha kufanya, hapakuwa na hoja mezani!!!!!!!!
Kwa wasiofahamu, watambue sasa kuwa Tundu Lissu (munyampaa) alipata kuliambia bunge kuwa muungano wetu ni dhaifu kuliko wakati mwingine wowote wa historia ya tanzania,
HEBU ONENI UDHAIFU HUU KUTOKA KWA KIONGOZI MKUU WA MUHIMILI!!!
Wafuatao walimpinga tundu lissu hadharani kwa nguvu na vijembe vikali hadi kufikia habib mnyaa kutafsiri jina tundu lissu "kizenji"
1) habib mnyaa
2) anna makinda
3) hamadi rashidi mohamed
4) selina kombani
5) jussa ladhu (spelling correction allowed)
6) . . . . .
7) . . . . .
8) . . . . .
Tukumbushane hivi Werema hajawahi tumbukia kwenye shimo alichimbalo kweli?
Please do me a fever niwekeeni ile pic. Makinda akicheza muziki na Tundu Lissu!
Yanayojiri baada ya MNYIKA (MB) kufika Polisi Singida!
weeweee, Lissu anamchezesha makinda muziki wa "muungano ni dhaifu saaana" makinda anaonekana kuufurahia sana!!!!
Wakati wa 9/11 Marekani watu walikuwa makazini na hakuna mahala waliacha kazi, sii ofisi za serikali wala mabunge ya states lakini tume, taasisi an asasi za kiserikali zilitishwa haraka mkutano kujadili tatizo lilokuwepo. Walioweza walienda moja kwa moja kwenda kuokoa sasa hawa wabunge walipoahirisha bunge walifanya nini cha maana ambacho tunaweza kukiwekea mfano kwamba Makinda ndiye alisababisha kisifanikiwe..