sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
Muda mrefu sana watu walikuwa wanajiuliza hv mheshimiwa mama makinda hana nywele kabisa coz mda wote yeye style yake ya nywele ni moja tuu ya kuvaa wigi wiki iliyoisha ameonekana jimboni kwake akiongea na wananchi wake huku akiwa amesuka nywele barabara za yeoyebo inamaana ana nywele ambazo zinasukika na alitoka chicha ile mbaya nilichelewa tu kurekodi picha yake mngeona cjui nani anaweza turushia picha ya mama akiwa na kofia na nyingine akiwa na yebo muone tofauti wawezasema mdogowake ati lol!