Makinda aunda tume ya bunge kwenda Mtwara

Hata sheria wanazotutungia kwa mojibu wa bi kiroboto hapo watakuwa wanakosea 7bu hawana busara!
 
Makinda hapo ameanza kuwa na akili, namsifia kabisa. Kweli ndugu zetu wabunge wange kuwa na akili nzuri na busara tusinge endelea kuwa na Vasco dagama bandia katika nji hii. Hata haya machafuko mnayoyaona ya mtwara yasinge kuwepo, ajira za walimu wasinge shindwa ajiliwa wakati tunashuhudia rasirimali zikitumiwa vibayaaa. ongera mama wewe sipaka/subwoofer la ukweli wapashe wote vilaza ila na wewe usijiache nyuma. Naomba kuwasilisha.
 
Sauti ya wabunge ni sauti ya wapiga kura wa Tanzania. She shouldn't stop people's voice. Ingawa kwa upande wake anadhani ni busara, wengi wa wabunge hata wa chama chake wanaona ni dhana ya UOGA kama nionavyo mimi. Auache huo uoga jambo lijadiliwe NOW
 
Spika Anna Makinda kwa mara nyingine tena amewafunga midomo wabunge kwa kukataa hoja yoyote binafsi ambayo ilikuwa inataka kujadili swala la gesi ya Mtwara eti kwa kisingizio kwamba kuwa ni zito na nyeti, linalopaswa kujadiliwa kwa hekima kubwa na busara ya kutosha ili kupata muafaka wa kweli.

Swali ni kwamba wabunge waliochaguliwa na watanzania hawana busara za kutosha kujadili maswala la kitaifa???? na nina anapaswa ajadili maswala yetu??

Huu ni muendelezo mwengine wa kubananga demokrasia.

Menopose na upweke ni stress kila uendako
 
Sauti ya wabunge ni sauti ya wapiga kura wa Tanzania. She shouldn't stop people's voice. Ingawa kwa upande wake anadhani ni busara, wengi wa wabunge hata wa chama chake wanaona ni dhana ya UOGA kama nionavyo mimi. Auache huo uoga jambo lijadiliwe NOW


Ahsante unayetujulisha yanayojri bungeni.Lawama zangu ni kwa uongozi wa shirika la utangazaji la Tanzania TBC,tangu jana televisheni ya taifa inaonesha giza kwenye DSTV.Hata mkutano huo wa bunge wengine hatuuoni halafu hakuna maelezo yoyote kuhusu hali hiyo.Kodi tunalipa na ndizo zinazoendesha shughuli mbalimbali ikiwemo TBC na tunaelezwa kuwa kulipa kodi ni uzalendo! Daah inasikitisha sana ukweli na uhakika!
 
dah!

huyu ndiye spika wa bunge...labda tukumbushane alipataje hiyo nafasi
 
Menopose na upweke ni stress kila uendako

Heshima mkuu.kwa mtazamo wangu hili ni tusi baya sana kwa wazazi wetu wote na sio kwa huyu bibi tu kwani ukimshutumu mtu kwaajili ya kitu ambacho ni relating to or concerning nature. hapo ebu jaribu kumfikria mtu mwingine amwambie hivyo mama yako mzazi utajisikiaje? hata kama tunaichukui ccm pamoja na watu wake lakini tujaribu kuwasilisha hisia zetu kwa namna ambayo inaweza kuwa sio matusi. uliposema hivyo nimemwona mama yangu na nikajihisi vibaya sana
 
Ni sawa,naona kama iko poa,namanisha ameona umuhimu wa maamuz aloyafanya kwa wakati huu.hao wabunge ndo walikuwa wanajifanya kutoa matamko ya kuchochea vurugu,busara za kujadili watazitoa wp?
 
Heshima mkuu.kwa mtazamo wangu hili ni tusi baya sana kwa wazazi wetu wote na sio kwa huyu bibi tu kwani ukimshutumu mtu kwaajili ya kitu ambacho ni relating to or concerning nature. hapo ebu jaribu kumfikria mtu mwingine amwambie hivyo mama yako mzazi utajisikiaje? hata kama tunaichukui ccm pamoja na watu wake lakini tujaribu kuwasilisha hisia zetu kwa namna ambayo inaweza kuwa sio matusi. uliposema hivyo nimemwona mama yangu na nikajihisi vibaya sana

Ila hujaona kama bi kiroboto kawatukana watanzania wote, wabunge ni wawakilishi wa wananchi sasa kama wabunge wooote hawana busara ya kujadili hoja nyeti( kwa tafsiri ya bi kiroboto) basi hata hao waliowachagua hao vilaza na wenyewe ni vilaza pia.Ameanza yeye wacha wengine wamalizie, hastahili tena kuheshimiwa.
 
dah!

huyu ndiye spika wa bunge...labda tukumbushane alipataje hiyo nafasi
maswali yanazidi kuongezeka kila kukicha lakini ukweli ni kwamba binadamu mwenye akili timamu akiamua kukaa faragha na kutafakari kwa makini ni lazima ashangae ni jinsi gani posts muhimu za nchi hii watu wanaozishikilia walizipataje ukichukulia kuwa kuna binadamu wengine katika sayari hii ambao tayari wanafanya mambo tunayoyafanya!!

 
Ila hujaona kama bi kiroboto kawatukana watanzania wote, wabunge ni wawakilishi wa wananchi sasa kama wabunge wooote hawana busara ya kujadili hoja nyeti( kwa tafsiri ya bi kiroboto) basi hata hao waliowachagua hao vilaza na wenyewe ni vilaza pia.Ameanza yeye wacha wengine wamalizie, hastahili tena kuheshimiwa.

Hekima sio kujibu tusi kwa kutukana bali kutafuta namna ya kulizungumzia tuli la kiroboto bila kumtukana na kuwatukana wengine pia. hapa tunaikamilisha zana ya bi kiroboto kwamba wabunge hawana hekima na watanzania waliowachagua hatuna hekima ndio maana hatuwezi kujadili hoja ya gesi na hoja nyingine bila matusi??
 
yaani anatuaminisha watanzania wawakilishi wetu tuliowachagua hapo bungeni watuwakilishe tulichagua mabolizozo ambayo hayajui a wala z ya unyeti wa taifa hili na rasilimali zake. Wabunge wetu hawana akili na busara ya kujadili masuala nyeti ya kitaifa mbona hii ni kashifa nzito kwa bunge na uongozi wake. Nadhani amepotoka au alikusudia ili kuwalidhisha wakubwa wake waliomweka hapo
 
Ndg yangu makinda amefanya vema ameshajua bunge letu halina maana tena,halina maamuzi,ni bunge la watu wasio na uwezo wa kujadili mambo ya maana,limebaki kama kijiwe cha kupiga soga na kungonoana tu.
 
Back
Top Bottom