Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
- Thread starter
- #41
huyo mama si wangemwamisha kwanza huko Kijitonyama maana kuishi mbali na town halafu na hiyo misafara kwa kweli inakera, Leo msafara wake ulikuwa unapita rightside ya barabara kwa jinsi foleni ilivyokuwa imefunga.
Ala, kumbe ni kweli?