Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Wakuu, kila siku huwa napishana na makinda asubuhi akienda ofisini Dar. Huwa anakuwa kwenye Benz au sahangingi bila msafara wa polisi.
Leo jioni nimepishana na msafara wa pikipiki ya polisi na shangingi mbili nyeusi. Shangingi moja plate number yake ilikuwa imeangikwa S.
Sikuweza kuona nani walikuwa ndani kwenye kila gari. Dereva wangu aliniambia alimuona Makinda kwenye ile gari yenye plate numba ya S. Sina hakika kama ni kweli.
Kwa mwenye taarifa za uhakika, je ni kweli Makinda amepewa ulinzi na msafara wa polisi?
Leo jioni nimepishana na msafara wa pikipiki ya polisi na shangingi mbili nyeusi. Shangingi moja plate number yake ilikuwa imeangikwa S.
Sikuweza kuona nani walikuwa ndani kwenye kila gari. Dereva wangu aliniambia alimuona Makinda kwenye ile gari yenye plate numba ya S. Sina hakika kama ni kweli.
Kwa mwenye taarifa za uhakika, je ni kweli Makinda amepewa ulinzi na msafara wa polisi?