Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Hilo napiga kwa nguvu zote CAG hana escort hata siku moja. But anyway nilishaona kwa macho yangu jaji mkuu,mkuu wa majeshi,mkuu wa polisi wakiwa na escort na mama salma pia nlishakutana akiwa na escort pia
Sasa Madcheda unapinga kwamba CAG hana Escort au Mutungusha hakumuona na Escort last week? Kwani Ulishinda Ali Hassan Mwinyi week yote nzima ukiangalia magari yanayopita na hukumuona CAG akipita? Hebu niweke sawa kidogo kamanda.