Makinda alegea kwa Lissu kuridhia hoja ya kutokuwa na Imani Waziri Mkuu

Kama kuvaa vizuri ndo maendeleo,mbona jk izo suti zimeigharimu serengeti? Unasaliti nchi kwa suti ya dola 200
 
Hii kitu iko wazi kabisa kikatiba. Kwa spika kusema kwamba ni batili hakuwa sahihi hata kidogo na ilitakiwa afute hiyo kauli na isiingie kwenye hansard. Katiba haisemi uombe ruhusa ya spika kukusanya saini ila baada ya saini ndio unapeleka taarifa ya kusudio la kupeleka hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Hoja inatakiwa ipelekwe angalau siku 14 kabla ya kujadiliwa. Hivyo unaweza kuwasilisha taarifa ya kusudio na kupeleka hoja. Spika aliingizwa kingi kama alivyoingia kingi wakati ule wa Lema aliposema PM kaongopa.
 
taarifa yako inajikoroga mkuu, mara kakubali na hoja itawasilishwa bungeni, ooho mara itajadiliwa kikao kijacho. tushike lipi Candic?

Nilichokiona na kukishudia jana jioni, ni makinda kukataa na kusema wazi hakubaliani na mchakato huo kwa kuwa haujakidhi baadhi ya kanuni, na kwamba inatakiwa iandikwe barua kwa spika si chini ya siku kumi na nne, ndo hoja itakubalika na kusomwa kwa mjadala.

hivyop aliwaambia wajiandae na kikao kijacho

Kwa utaratibu na sheria za uwasilishaji hoja ni kwamba, hoja itawasilishwa siku 14 kwa speaker kabla ya kupangiwa siku ya kujadiliwa. Kwa maana hiyo hoja ikiwasilishwa Jumatatu na kwa vile kikao cha bunge safari hii ndiyo siku ya mwisho, basi hoja hiyo itajadiliwa kikao kijacho cha bunge. Tuondoe papara katika mambo yanayotakiwa taratibu za kisheria. Sababu za sheria hiyo kuwekwa ni kwa ajili ya kuwapa wabunge nafasi ya kupima nafsi kwa uamuzi wa busara kwa manufaa ya taifa. Katika papara wanaweza kuharibu mambo na baadaye kujutia.
 
nahisi kama zito umeukata mkono wake au kauficha wapi mkono mmoja
nafikiri kuna kitu zaidi ya picha, ambu niambie mtu akiwa anaongea na akiwa anasikiliza
mkono mmoja uko palepale, au kuna miundo mbinu, au zito nimchawi kashika tunguli na hataki kuliachia,
hapna hiyo sitaki kuamini , au labda hizi picha zilipigwa wakimmoja tu katoka tu kuongea kageuka kitu chaaa!!
kama huyu mpiga picha ananafasi ya kupiga picha hapa naamini kuwa anauwezo mkubwa angeliona hili naangepiga picha nyingine nzuri zaidi. au labda na yeye kapata kazi kupitia kwa mjomba!! au labda hii picha ya zito imeunganishwa na computer
 
Aisee Lissu amemwambia Spika eti it was immature kwa spika kuikataa hoja ambayo haijaletwa mezani rasmi. Huyu Kamanda anatoa maneno makali kweli nahisi yamefika mpaka Brazil ndo maana Balozi Sefue katumwa Dodoma fasta. Jana alisema eti serikali hii ni ya kidokozi.. Ngoja Nassari naye akomae kidogo nadhani bunge la bajeti tutamsikia anavyomkimbiza spika. My take: Kuongoza bunge nowadays ni kugumu kuliko kukaa magogoni na kuiongoza Tanzania

Nassari juzi alikamua kinyama, yani ndani ya wiki moja keshaongea mara 4 wakati dr. Kafumu juzi ndio kazungumza mara ya kwanza toka sept. 2011. Kilaza ni kilaza!
 
Open Group mpya imefunguliwa facebook kwa jina la Ukombozi Tanzania. Unaruhusiwa kujoin pamoja na kuinvite watu mbalimbali kwenye group. Aim ni kuwa na kila mtanzania anayetumia mtandao wa internet awe kwenye hili group tayari kupashana habari pamoja na Kuikomboa nchi yetu. Ndio kwanza tumeanza kuchukua hatua sio kila siku maneno.. Jiunge na hiyo group sasa na unganisha na wenzako.


Ukombozi Tanzania Admin

Hakuna kitu kama hicho! Nimejaribu holaa!!
 
Ukombozi unakaribia kufika Tanzania.....Tuongeze bidii kudai SERIKALI ZA MAJIMBO......
True Freedom is coming tomorrow.....
 
moto uliowashwa na wananchi spika makinda hawezi kuuzima nguvu ya umma haipingwi na mtu mmoja or genge la wahuni
 
Fulku.jpg
 
Huyu mama dawa yake upo jikoni inachemka

kale kamradi kake ka yutong tutafanya ya watoto kwendea shule,natumaini kule jimboni kwake kuna wanafunzi wanatembea umbali mrefu tena wakiwa peku kufuata elimu,sasa muda unawadia na wapiga kura wake kufaidi matunda ya kazi ya kupinga haki bungeni
 
Tunasubiri Jumatatu uwasilishwaji wa hoja ya kutokuwa na imani na Waziri mkuu wetu Pinda Peter kayanza.
Samahani huwa nakukera sana kwa kukuita wewe ni kamanda Deo Filikunjombe; huwa naziamini sana taarifa zako. vipi kuhusu hili la kujihuzuru kwa mawaziri
 
Back
Top Bottom