Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Tundu Lisu ameomba mwongozo kwa Speaker Makinda juu ya kuwasilisha hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na hoja hiyo imekubalika kuwasilishwa Jumatatu siku ya kikao cha mwisho bungeni. Speaker amesema hakupinga uwasiliswaji wa hoja hiyo isipokuwa kadiri ya muda, kanuni na ratiba haiwezi kujadiliwa katika kikao hiki ila kikao kijacho.