Nategemea vilaza wa UDSM wanaodanganza kwamba chuo chao ni bora,wataingia kwa kasi na hasira kwenye thread hii,kama kawaida ya wataanza kwa vijembe na mipasho
naomba ujbu hoja za mr mvumbuz kwanza,kabla ha2jaendelea!Makerere University is tenthbest in Africa - In2EastAfrica3 Feb 2011 The top nineuniversities are in south Africa,with the University of CapeTown at number one. in2eastafrica.net > Home > Life,...
Makerere University is tenth
best in Africa - In2EastAfrica
3 Feb 2011 … The top nine
universities are in south Africa,
with the University of Cape
Town at number one. …
in2eastafrica.net > Home > Life,...
hvi muccobs yako ni ya ngapi kwa ubora vle?nyie vilaza mmeingia kwenye hiyo link na kusoma kilichomo,mjue ni best kwa lipi? Au ni wale wale wavivu wa kusoma mmezoea videsa afu mnathubutu kutembea vifua mbele kuwa nyie ni bora,someni kupitia hyo link ndio mje na hoja hapa.
mwana mbona una hasira sana na udsm? walikupa disco nn?nyie vilaza mmeingia kwenye hiyo link na kusoma kilichomo,mjue ni best kwa lipi? Au ni wale wale wavivu wa kusoma mmezoea videsa afu mnathubutu kutembea vifua mbele kuwa nyie ni bora,someni kupitia hyo link ndio mje na hoja hapa.
hakufaulu vizur 4m 6,so akaishindwa kukanyaga hapa hill.mwana mbona una hasira sana na udsm? walikupa disco nn?
changu kimeonekana cjui chako.Jamani heri ninyi mlio na digrii zenu mkononi. Hongereni kwa kuamini kuwa kila digrii mtu aliyonayo ni bora kuliko ya mwenzake. Mwafanya vyema. Lakini zingatieni kuwa hizi rankings zinafanywa na mashirika/makampuni mbalimbali kwa vigezo vyao walivyojiwekea na vigezo havilingani kwa wakati mmoja.Hebu tembea links zifuatazo ili ujionee mwenyewe: Ranking of African Universities on the web - Best Universities in AfricaTop universities, colleges in Africa 2011 - Top Study Linkswww.4icu.org/topafrica/Kwa leo yatosha, kila mmoja sasa ajipime chuo ulichosoma kinaonekana? Kazi ni kwenu wasomi!
Nategemea vilaza wa UDSM wanaodanganza kwamba chuo chao ni bora,wataingia kwa kasi na hasira kwenye thread hii,kama kawaida ya wataanza kwa vijembe na mipasho
kama kipi sasa?hvo vngne ni vichanga mkuu.Hivi Tanzania ni UDSM tu,mbona hoja imeelekezwa huko, hakuna vyuo vikuu vingine vinavyopaswa kuwa evaluated pia?
mukandara akigundua kuwa ana mwanafunzi ambaw hajui ku-argue kwa hoja kama wewe atasikitika sana,nina imani umesha prove kuwa makerere ni the best,hata latest rankings za www.4icu.org,znaonesha nairobi university imeshaipita udsm,.sasa kazi ni kwako,..na ukae ukijua hamna organisation au kampun au govt inayoajiri kwa kuangalia university rankings,..kazi ni kwako kama mwanafunzi kujiboresha na kuwa nondo.kama kipi sasa?hvo vngne ni vichanga mkuu.