Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
magwanda,mbona waoga ivyo wazee, maana ya makamanda ni nini? mnatakiwa muwe ngangari,sio kutishiwa kidogo tu ohh wanataka kutuua,makamanda awatakiwi kuogopa,ogopa vitisho bana,makamanda wa wapi nyie, mnatakiwa muwe ngangari, sitaki kusikia tena atuwezi kuwapa nchi kwa uoga huo .