Makamu wa Rais, Samia Suluhu: Mimi ni namba 2 Tanzania, sina cha kunishawishi kuwania namba 3

Hii kauli ya Makamu wa Rais wa JMT, Bi Samia Suluhu imenifikirisha kidogo.

Amesema hana nia ya kugombea Urais Zanzibar kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kugombea nafasi ya 3 wakati kwa ngazi za uongozi, yeye ni nafasi ya 2 Tanzania.

Imenifikirisha kwa sababu sikuwa nafahamu kuwa Rais wa Zanzibar ni nafasi ya 3 kiserikali. Yaani baada ya Rais, anakuja Makamu wa Rais, kisha Rais wa Zanzibar?

Mnaoelewa masuala ya itifaki naomba ufafanuzi wenu.

======


SAMIA SULUHU: SINA NIA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hana nia ya kugombea Urais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na maneno yanayoenea ni ya uongo

Amesema “Ukiangalia ngazi za uongozi ndani ya Tanzania, mimi ni namba mbili ndani ya Tanzania. Sina kishawishi chochote kitakachonifanya nije huku niwe namba tatu. Sina!”

Aidha, ameongeza kuwa “Nimeona nisemee huku kwetu nilikotoka kwasababu maneno yamekuwa mengi, chuki zimekuwa nyingi, ufisadi na majungu.”
View attachment 1191709
Baada ya page 9, inawezekana jibu limeshatolewa, ila siyo vibaya kama nitalirudia. Katika itifaki ya cabinet ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar ni nafasi ya nne baada ya Rais wa Muungano, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kama ambavyo Katiba inavyoonyesha hapa.
1567029640596.png


Ni kweli, hata siku kukiwa na msafara wa viongozi angalia plate number.

Rais - E1
Makamu wa Rais - E2
Rais wa Zanzibar - E3
Waziri Mkuu - E4
Inawezekana hii ni protocol ceremonial tu lakini kikatiba ni kama nilivyoonyesha hapo juu. Rais wa Zanzibar ni nafasi ya nne, na hata hawezi kuendesha mikutano ya Cabinet kama Rais, Makamu wa Rais, na Waziri Mkuu hawapo.
 
Wakuu,kwa mujibu wa katiba yetu,RAISI WA ZANZIBAR hayupo katika ITIFAKI ya 'STATE HEADS' PROTOCO'!.
Nionavyo jua mimi,mama aliitaja nafasi hiyo kama ya 3 akilinganisha na 'wapi alipo sasa'(vice prsd.) na wapi anapo zushiwa kutaka kuwa(zanz-prsd).
ITIFAKI YA WAKUU WA NCHI imefafanuliwa na ule utaratibu wa nani atashika madaraka ya raisi(Protocal president's office assumption) endapo ,kwa sababu isiyohusisha kupoteza sifa ya kuendelea kuwa raisi,ikiwemo kwenda nje ya nchi kwa sababu yoyote inayokubalika,nafasi hiyo itahitaji mtu mwingine!
HII NDIO PROTOCAL LIST:
1.RAISI
2.MAKAMU RAISI
3.PM.
(excutives pillar)
4.SPEAKER
(parliament pillar)
5.JAJI MKUU
(judiciary pillar).
ZANZIBAR KUPEWA 'NAFASI KIVULI YA 3' NI MBINU YA 'KISAIKOLOJIA' YA KUWAFANYA WATU WAKE WIJIHISI 'TAIFA'.
KIMSINGI ZENJI NI MKOA ULIOPEWA 'AUTONOMY'!
 
Kwahiyo mzee Shein "alivyopelekwa" kule ilikua ni tamaa?

Na Ghalib Bilal "walivyomtrick" kumleta huku na kumpa kazi za kutembea na mkasi tu ilikua ni kumpandisha cheo?
Kuongoza watu mil 50 na kuongoza watu mil 1 ni sawa? Hapa tanganyika, mkuu wa mkoa ni zaidi ya rais was zenji hata Rwanda na Burundi
 
ZANZIBAR ni Koloni. ina utumwa wa aina mbili, Utumwa wa kiarabu na utumwa chini ya Tanganyika, na hawaji kujikomboa kuwa nchi huru.. wanaabudu sana uislamu hadi elimu dunia inawapita, shule zao ndo huwa zina buruza mkia kila matokeo ya NECTA, ukienda vyuoni watu wa huko wanavyo jitengatenga na kujibagua kisa udini na ukanda huwa wana kula sana Supplementalies na Disco..., kujitinda maushungi meusi na jua kali la utosi linawaka, kuvaa makanzu na majuba mda wote mwili unapumua saa ngapi? huo ni utumwa bado. Hizi dini zililetwa kwa maslahi ya wakoloni kuchuma tulicho nacho, wao wamesha songa mbele sisi tunabaki wajinga kuzishika kila wakati na kuacha mambo ya kiuchumi, nenda CHINA au popote FAR EAST kaone kama wao bado wana abudu hizi imani tulizo nazo kwetu.

Kwa Tanganyika Zanzibar ni koloni lake tangu mwaka 1964 na mpaka leo watu kusafiri kwenda nchi za ughaibuni mpaka uje JNIA kupanda hyo ndege kuna vikwazo vingi vingi vya uchumi na kisiasa walivyowekewa.
.
Hii kauli ya Makamu wa Rais wa JMT, Bi Samia Suluhu imenifikirisha kidogo.

Amesema hana nia ya kugombea Urais Zanzibar kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kugombea nafasi ya 3 wakati kwa ngazi za uongozi, yeye ni nafasi ya 2 Tanzania.

Imenifikirisha kwa sababu sikuwa nafahamu kuwa Rais wa Zanzibar ni nafasi ya 3 kiserikali. Yaani baada ya Rais, anakuja Makamu wa Rais, kisha Rais wa Zanzibar?

Mnaoelewa masuala ya itifaki naomba ufafanuzi wenu.

======


SAMIA SULUHU: SINA NIA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hana nia ya kugombea Urais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na maneno yanayoenea ni ya uongo

Amesema “Ukiangalia ngazi za uongozi ndani ya Tanzania, mimi ni namba mbili ndani ya Tanzania. Sina kishawishi chochote kitakachonifanya nije huku niwe namba tatu. Sina!”

Aidha, ameongeza kuwa “Nimeona nisemee huku kwetu nilikotoka kwasababu maneno yamekuwa mengi, chuki zimekuwa nyingi, ufisadi na majungu.”
View attachment 1191709
 
Hii kauli ya Makamu wa Rais wa JMT, Bi Samia Suluhu imenifikirisha kidogo.

Amesema hana nia ya kugombea Urais Zanzibar kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kugombea nafasi ya 3 wakati kwa ngazi za uongozi, yeye ni nafasi ya 2 Tanzania.

Imenifikirisha kwa sababu sikuwa nafahamu kuwa Rais wa Zanzibar ni nafasi ya 3 kiserikali. Yaani baada ya Rais, anakuja Makamu wa Rais, kisha Rais wa Zanzibar?

Mnaoelewa masuala ya itifaki naomba ufafanuzi wenu.

======


SAMIA SULUHU: SINA NIA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hana nia ya kugombea Urais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na maneno yanayoenea ni ya uongo

View attachment 1191709

Amesema “Ukiangalia ngazi za uongozi ndani ya Tanzania, mimi ni namba mbili ndani ya Tanzania. Sina kishawishi chochote kitakachonifanya nije huku niwe namba tatu. Sina!”

Aidha, ameongeza kuwa “Nimeona nisemee huku kwetu nilikotoka kwasababu maneno yamekuwa mengi, chuki zimekuwa nyingi, ufisadi na majungu.”
Kuliko niwe makamu wa Rais Tz, ni bora niwe waziri wa nishati, nikipiga escrow moja tu, nastaafu
 
Hii kauli ya Makamu wa Rais wa JMT, Bi Samia Suluhu imenifikirisha kidogo.

Amesema hana nia ya kugombea Urais Zanzibar kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kugombea nafasi ya 3 wakati kwa ngazi za uongozi, yeye ni nafasi ya 2 Tanzania.

Imenifikirisha kwa sababu sikuwa nafahamu kuwa Rais wa Zanzibar ni nafasi ya 3 kiserikali. Yaani baada ya Rais, anakuja Makamu wa Rais, kisha Rais wa Zanzibar?

Mnaoelewa masuala ya itifaki naomba ufafanuzi wenu.

======


SAMIA SULUHU: SINA NIA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hana nia ya kugombea Urais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na maneno yanayoenea ni ya uongo

View attachment 1191709

Amesema “Ukiangalia ngazi za uongozi ndani ya Tanzania, mimi ni namba mbili ndani ya Tanzania. Sina kishawishi chochote kitakachonifanya nije huku niwe namba tatu. Sina!”

Aidha, ameongeza kuwa “Nimeona nisemee huku kwetu nilikotoka kwasababu maneno yamekuwa mengi, chuki zimekuwa nyingi, ufisadi na majungu.”

Huyo ni kibaraka tu wa Dodoma, anatumiwa kama spanner wakichoka wanamtupa kama wenzake
 
Kwahiyo mzee Shein "alivyopelekwa" kule ilikua ni tamaa?

Na Ghalib Bilal "walivyomtrick" kumleta huku na kumpa kazi za kutembea na mkasi tu ilikua ni kumpandisha cheo?
sasa ukubwa gani huo bila kuwa na jeshi?Huwezi kuwa na power kama huna uwezo wa kuamrisha jeshi.Kwa sasa hivi Bashite ana nguvu kuliko raisi wa Zenji!
 
Back
Top Bottom