Kipindi cha msukosuko kama huu natarajia kuona mchango wake lkn so far jamaa kimya!
Lkn najiuliza Mfano imetokea ajali kama ilivyotokea....je unaona tunaye kiongozi hapo wa kushika usukani ama majanga mengine?
Kipindi cha msukosuko kama huu natarajia kuona mchango wake lkn so far jamaa kimya!
Lkn najiuliza Mfano imetokea ajali kama ilivyotokea....je unaona tunaye kiongozi hapo wa kushika usukani ama majanga mengine?
Waambie...Kwani hawajui majukumu ya Makamu wa Rais!Rule number one; never outshine your boss no matter how.
... kukata tepe?Waambie...Kwani hawajui majukumu ya Makamu wa Rais!
A leader is one who knows the way, goes the way, and shows the way.Rule number one; never outshine your boss no matter how.
Ana renew nini?Kila Leo yupo Kigoma ku renew
Natamani sana hiki kitabu nikijue vizuri maana kina madiniRule number one; never outshine your boss no matter how.
Leseni yake ya udereva toka claass B kwenda AAna renew nini?
Wana nongwa.... sasa sijui wanataka afanyaje? Aite press conference?Mmeanza...
Kipindi cha misukosuko kama hiki natarajia kuona mchango wake lakini hadi sasa yupo kimya!
Najiuliza mfano imetokea ajali kama ilivyotokea. Je, unaona tunaye kiongozi hapo wa kushika usukani ama majanga mengine?