Revolutionist
Senior Member
- Mar 21, 2007
- 128
- 40
magazeti mengi ya leo yamesema spika wa bunge la tanzania amesema bunge halimtambui makamu wa pili wa rais zanzibar.
Vipi kuhusu makamu wa kwanza naye anatambulika ktk bunge hili la jamhuri? Kama hawatambuliki kwanini?
gazeti gani...naomba mwenye source tafadhali...