Makamu mkuu wa shule Embarway Sekondari akamatwa akifanya mtihani ofisini

Taarifa zizotufikia hivi punde zinasema makamu mkuu wa shule ya Sekondari Embarway amekamatwa akiwafanyia mtihani wanafunzi wa kidato cha nne. Taarifa za uwakika toka kwa Afisa mmja wa elimu wilaya ya Ngorororo mkoani Arusha zimedhibitisha kukamatwa kwa makamu na mwalimu mmoja( Majina yanahifadhiwa kwa sasa) wakiwa na mtihani ofisini wakiusolve kisha kuupeleka vikaratasi vya majibu chumba cha mtihani kwa siri. Kwasasa wamewekwa mahabusu katika kituo kidogo cha polisi Ngorongoro huku uchunguzi ukiendelea.


Saafi sana Mwalimu huyu aastahili pongezi kwa kujitoa Muhanga kusaidia watoto wa maskini angalau na wao wapige hatua kidogo. Mbona haya mashule yanayomilikiwaa na waheshimiwa mitihani huwa imeshafanyika kwa njia za majaribio ya kawaida na siku ya mtihani wa mwisho huwa ni kuhitimisha tu
 
Kwanza mitihani yenyewe hata mtoto wa darasa la nne anafanya yaani ni mtihani mwepesi kuliko yote iliyowahi kutokea Tanzania sasa huyo mwl Kiherehere chake tu mwacheni aende jela wakamnanilii.hiyo BRN yao hadi hapo imeshafanikiawa maana hata huwe mburura vipi utashindwa hili swali.goat cow zebra are......(a)animals (b)houses (c)trees. yellow green black are ....(a)earth(b)water(c) colours.
 
Anasaidia BRN, hamna kesi hapo, mitihani ilikuwa zamani na sio siku hizi!
 
Noma sana mkuu....yaani kila saa kuna kituko kinatokea nchi hii!!

Mara watu maproffesor,,,baada ya siku mbili..unasikia kumbe walipublish pembe za ndovu..mara wamelipwa kubeba mabango kusuport katiba ambayo hata hawajui cover lake lina rangi gani? mara basi na lori yamegongana uso kwa uso mto wami wakati mbele yake tu kuna traffic kashikilia kitorch anachangisha hela...mara basi limegonga treni..mara ESCROW mara Chid Benz kakamatwa na dawa za kulevya airport...yaani full kizunguzungu...difficult to comprehend and follow coz kabla hujaelewa hiki kingine kishatokea!! ni sheeda
 
Nimefurahi saana tu. Ati wakifanyia mtihani ofisini. Huyo aliye mkamata hakupewa mgawo wake. Akaamua kumwaga kale kamboga tu. Kwetu polisi alipewa kasichana kalikotolewa kafara. Wakatokomea msituni kwa mzee Komba. Waliporudi, paper ikawa imekwisha. Mbona kwa mara ya kwanza shule ya kata yetu ikapata Div. I. Wee acha tu. Mkitunyima za Escrow na IPTL tutajimwaga na raha zetu.
 
Kwanza mitihani yenyewe hata mtoto wa darasa la nne anafanya yaani ni mtihani mwepesi kuliko yote iliyowahi kutokea Tanzania sasa huyo mwl Kiherehere chake tu mwacheni aende jela wakamnanilii.hiyo BRN yao hadi hapo imeshafanikiawa maana hata huwe mburura vipi utashindwa hili swali.goat cow zebra are......(a)animals (b)houses (c)trees. yellow green black are ....(a)earth(b)water(c) colours.

1. (b)
2.(a)
 
Back
Top Bottom