Huyu mwanadada so called Juliana Shonza na makamu mwenyekiti wa Bavicha aliniacha hoi sana tu na niko na hasira naye sana tu iweje kwanza hatujawahi kumsikia hata siku moja kuwa kavuna wanachama leo hii sijui kapewa kitu kidogo na Shibuda ili nae achafue hali ya hewa hapa,hana maana kabisa na sio mpambanaji wa kweli dada angu acha njaa kama ushanza kutumiwa na Magamba ni afadhali uachie ngazi wapo wadada makini sana tu kuliko wewe.
Pili kupingana kwako na mwenyekiti mapambanaji wa kweli kila leo anavuna wanachama wapya lakini wewe umekaa tu hata wengi wetu tulishasahau kwamba kuna makamu mwenyekiti sio ustaarabu uliotumia i hope mko na ofisi moja i mean kwenye jengo moja yaaani umeshindwa kwenda kumuona Mwenyekiti naa kuongea nae? kusema kweli wewe ndio umeanza kuonyesha tabiaa mbaya.
Unatakiwa ukumbuke kuwa Shibuda sio mara yake ya kwanza kufanya mambo ya ajabu ndani ya chama sasa huo uwezo wa wewe kumsemea au kumkingia kifua Shibuda umeupata wapi kama kweli wewe ni mpamabanaji basi fanya mikutano kila sehemu kwani sio haramu hata kama una majukumu mengine ili siku moja tusikie makamu mwenyekiti kamanda Juliana Shonza katingisha sehemu flani .Nakupa akiba ya maneno uombe msamaha au urekebishe kauli yako on the same media na hapo huenda tukakuelewa kwa mbaliiii.
Huyu dada nasikia wiki iliyopita alionekana akiwa na Shibuda maeneo ya Mbezi Makabe