Hatumsikii kwenye kazi ya kujenga Chama ila tunamsikia kwenye kubomoa, ni mmoja wa waliopandikizwa na ccm au kapewa fungu aichafue Chama? Kiongozi mzuri katika jamii au hata katika familia ni yule anayemkosoa kiongozi mwenzake kwenye vikao vya ndani au amfuate moja kwa moja kujua sababu ya kiongozi huyo kufanya jambo hilo.
Hivi katika familia mzazi mwenzako ukihisi amekosea unaita press conference ili kuwatangazia maadui zako? Dada yetu ajiangalie kama yuko sawa, vijana tutaanza kupoteza imani na uwezo wake wa kufikiri na kutatua matatizo kiuongozi katika jamii.
Nawasilisha wakuu.
Hivi katika familia mzazi mwenzako ukihisi amekosea unaita press conference ili kuwatangazia maadui zako? Dada yetu ajiangalie kama yuko sawa, vijana tutaanza kupoteza imani na uwezo wake wa kufikiri na kutatua matatizo kiuongozi katika jamii.
Nawasilisha wakuu.