Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,922
- 6,007
Boko Haram ina uhusiano upi na Makamba? hueleweki.
Bora ungeuliza hivi: 'Je Makamba anapingana na sera za Boko Haram?'
Boko Haram ina uhusiano upi na Makamba? hueleweki.
hitler alikuwa mchungaji na mkuu wa kanisaBora ungeuliza hivi: 'Je Makamba anapingana na sera za Boko Haram?'
Kwa mara ya kwanza MAKAMBA anapata uungaji mkono mkubwa wa CHADEMA
wafuasi humu wanamuunga mkono. hapa ndipo cdm na Baadhi ya wanaccm wanapoungana. likija swala la wasialam, chadema wanaunga mkonoBora kujitwisha gunia la miba lakini sio ujinga.!!!!
Mada ni Makamba,Waislam na elimu wewe inaingiza chadema inahusika vipi hapa.?
Bora ungeuliza hivi: 'Je Makamba anapingana na sera za Boko Haram?'
January ni Mkristo, na Makamba Mzee ni Mwislamu wa dhehebu la Qadian na ni mfugaji mzuri wa Nguruwe.Mbona mwanawe mmoja Makamba anaitwa JANUARY. hivi makamba hasa ni dini gani?
Jee January makamba aliritadi? au ukiristo wa January umeanza wapi?January ni Mkristo, na Makamba Mzee ni Mwislamu wa dhehebu la Qadian na ni mfugaji mzuri wa Nguruwe.
Mama yake ni Mkristo na dini ni hiyari ya mtu.Jee January makamba aliritadi? au ukiristo wa January umeanza wapi?
idadi ya vyuo na madhehebu ya wamiliki wake vina uhusiano gani na hii thread?taja vyuo vinavyomilikiwa na wakristo au waislamu?
kwa hivyo mzee makamba kazaa na mkiristo? Hakuwaona waislam wenziwe. angalioa muislam angalimpatia elimu na nafasi ya JANUARY angaliikamata mwanawe wa kiislam badala ya kutumia majukwaaMama yake ni Mkristo na dini ni hiyari ya mtu.
Bora kujitwisha gunia la miba lakini sio ujinga.!!!!
Mada ni Makamba,Waislam na elimu wewe inaingiza chadema inahusika vipi hapa.?[/QUOT
Yaani sioni hata uhusiano wa Chadema na hii ishu ya watu kwenda shule!
Mama yake January? sasa mzee makamba kamuoa vipi huyu mama yake? wameozeshwa na padri au sheikh?Mama yake ni Mkristo na dini ni hiyari ya mtu.
Bora kujitwisha gunia la miba lakini sio ujinga.!!!!
Mada ni Makamba,Waislam na elimu wewe inaingiza chadema inahusika vipi hapa.?[/QUOT
Yaani sioni hata uhusiano wa Chadema na hii ishu ya watu kwenda shule!
kwa hivyo wakirsto tuwalaumu kwa kulifikisha hapa tulipo? maana ndio wasomi wakuu kama makamba anavyotaka tuamini
waislam kweli hawawakusoma. hata f4 na f6 hawana? wakuu wa wilaya na mikoa wengi ni f6 kwanini tusiwape nafasi hizi. na nafasi za wasomi kama vyuo vikuu wakaendelea kushika wakiristo?Kikweli mi naona ni jema na halina ubishi! Kuna nafas nchi hii ni moja moja tu kwa nchi nzima na hapo ndipo dini inawekwa kando na wanaangalia Vyeti hata kama unasali na rais chumba kimoja, huna vyet huna kaz
Nadhani makamba ameenza kuchanganyikiwa akili.
Hujuma ziko wazi! Na hata akina Ndalichako walikili! huyo makamba anaongea kwa ushahidi upi?
Mara ngapi misaada mikubwa imepelekwa Kwenye mashule na vyuo vinavyomilikiwa na kanisa KUPITIA makubaliano Haramu ya MOU? Hii ni kwa faida ya nani? na maslahi ya nani? watu wakihoji mnasema udini na uchochezi! acheni mambo yenu bwana.
KESHO ASIMAME ASEME. NDUGU ZANGU WAKIRISTO WAISLAM HAWAKUSOMA. KWA HIVYO TUTUMIE NAFASI ZETU HIZI NA ELIMU YETU KUIKOMBOA TZ YETU KIELIMU NA KIAFYA. HAPA MIMI NDIPO NitapouminiKwa nafasi alizopata kushikilia Makamba katika serikali na CCM, naamini kabisa anajua anachoongea. Kuna ubaya gani kusema waislam wakazanie elimu? Wakati Makamba anasema hayo, hao wanaosemekana wako mbele kielimu ndio kwanza wanaongeza speed. Ajabu ni kwamba maeneo ambayo toka awali kwa sababu za kihistoria ndiko wakoloni walikoweka shule nyingi hivyo watu wao kuwa na wasomi wengi baada ya uhuru, ndio huko huko tena, shule za kata zimeshamiri zaidi. Kama ushauri wa Makamba utapuuzwa, hili pengo la elimu kati ya wakristo na waislam litaendelea kuwa kubwa zaidi. Na tusisahau hata wakristo, msije mkashangaa mnaongelea dhehebu moja tu - wakatoliki. Walutheri wameliona hilo na ndio kwanza nao wanafanya bidii kusomesha watu wao. Ni ushindani wa chinichini unaendelea kati yao. Lakini waislam, hao wote ni wakristu tu. Narudia, ushauri wa Makamba ufanyiwe kazi