Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
Ukioa au kuolewa uchagani mawazo hutanuka
ndio maana makamba anawaambieni mwende shule ili mjue kuandika proposal za kuomba misaada hamtaki, au mnadhani misaada huwa inakuja hivi hivi?! Hata baba riz alishawaambieni kama mnalalamikia ruzuku nanyinyi ombeni..... tatizo mmekalia majungu tu...so, fuateni ushauri wa makamba.Nadhani makamba ameenza kuchanganyikiwa akili.
Hujuma ziko wazi! Na hata akina Ndalichako walikili! huyo makamba anaongea kwa ushahidi upi?
Mara ngapi misaada mikubwa imepelekwa Kwenye mashule na vyuo vinavyomilikiwa na kanisa KUPITIA makubaliano Haramu ya MOU? Hii ni kwa faida ya nani? na maslahi ya nani? watu wakihoji mnasema udini na uchochezi! acheni mambo yenu bwana.
Kwahiyo utakubaliana na mimi Boko Haram ni adui wa Uislamu kwa kutaka kuwajaza ujinga Waislamu.Ni wasia mzuri tu alioutoa wala siuoni ubaya hapo, kwani hata aya ya kwanza ya Qur'an iliyoteremshwa inatuhimiza hilo la kusoma "Iqraa", Au hujui hilo?
Kwahiyo utakubaliana na mimi Boko Haram ni adui wa Uislamu kwa kutaka kuwajaza ujinga Waislamu.
ndio maana makamba anawaambieni mwende shule ili mjue kuandika proposal za kuomba misaada hamtaki, au mnadhani misaada huwa inakuja hivi hivi?! Hata baba riz alishawaambieni kama mnalalamikia ruzuku nanyinyi ombeni..... tatizo mmekalia majungu tu...so, fuateni ushauri wa makamba.
Taja vyuo vinavyomilikiwa na wakristo au waislamu?
nafasi za Mikuu ya mikoa haina lazima elimu ya f6.f4 mbonapamejaa wakirisito?.Katibu mkuu mstaafu wa CCM Yusuph Makamba amewaasa waislamu kusomesha watoto elimu akhera na Dunia, ili waweze kuajiriwa na serikali ktk nafasi mbalimbali.
Amesema kuwa anashangaa Waislamu wakidai kuwa Serikali inawapendelea Wakristo huku wao (Waislamu) wengi wakiwa hawana elimu na kwamba nafasi za kazi haziwezi kugawanywa kama njugu hivyo ni lazima sasa waislamu wahakikishe wanasomesha watoto wao ili waweze kuwa na elimu ya kuweza kuajiriwa.
Source; Radio Free Afrika tuzungumze magazeti.
Wasome wasisome linakuhusu nini..Acheni mada za udini kwa mitandao ya kijamii..magazeti ni yanatafuta njia ya kutokea kimauzo
Haya masuala ya dini yanatugawanya jamani mbona hatuelimiki,hawa watu wanatugawa ili watutawale vizuri
Kwa mara ya kwanza MAKAMBA anapata uungaji mkono mkubwa wa CHADEMA