Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Inawezakana kale katoto ambako Makamba alikazaa kwa kumpa mimba mwananfunzi kigoma hata akafukuzwa ualimu kakawa ndiyo Tambwe, jina la Hiza ametumia la mjomba wake tu maana makamba alimkataa, ila kiukweli huwa anaitwa Tambwe Makamba
Kama uko karibu na Ridhiwani muulize au muulize sheikh yahaya maana ndiye aliyewasuluhisha Makamba na mtoto wake Tambwe
Hukujua? Mbona maudhui yao yanafananafanana kama maziwa na tui la nazi yakh:horn::horn:e!