GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
CHADEMA wakomae na kudai marekebisho ya KATIBA, kwa kuendelea kutokutambua matokeo ya urais.
Makamba ameisha jua janja ya Mbowe. Baada ya CCM kusema wanapeleka Azimio Bungeni la kuwatoa CDM Bungeni, Mbowe ndio amekuja na staili hii ya kusema kukaa meza na Serikali. Na wakiendelea na msimamo wao huu CDM hawataliona bunge hii, watatolewa nje kwa azimio la bunge.