Makamanda wetu wa JWTZ

Iwe kupigana ukiwa ofisini au kitandani na mkeo; mwanajeshi kuwa na kitambi na uzembe2, askari awe obese!!!!...why? Ni ugonjwa huo nyie watu, na askari hatakiwi kuwa na afya mgogoro!
 
Hizo topedo/tomahawk tunazo,au ndo tumejaza maAK-47? Mwanajeshi lazima awe mkakamavu manyama uzembe noma..
 
Kwanza kwa taarifa yako viongozi wa majeshi mengi sub Saharan Africa wamepata training TMA ( Monduli),including amiri jeshi mkuu wa UPDF kwa hiyo wanafahamika vizuri. JWTZ imeshiriki kikamilifu kwenye ukombozi wa bara la Afrika hasa kusini mwa sahara, hivyo tunazijua vizuri nchi hizi zote na zinatuheshimu kama ndugu zao kwa kuwa tulimwaga damu kwa ajili yao. Kutokana na uzoefu na uti wa JWTZ wanajeshi wetu wanapelekwa kwenye nchi mbalimbali duniani kama Lebanon, juzi 800 wameenda Darfur. Nataka niseme JWTZ ina historia pana ya ukombozi kutokana na uzalendo wa bara letu na uti wa Jeshi lenyewe. Zaidi ukitaka kujua makali JWTZ muulize Mohammed Bakari na washirika wake.

Hata Gaddafi!!
 
Hata huyu ni Kapteni....tambi lake bwana balaa

john-komba.jpg
 
Tofautisha ukaptani uliopatikana kwa kuimba vizuri nyimbo na ukaptani uliopatika kwa kupata mbinu za kijeshi na kuonyesha ujuzi wa hali ya juu!!

Bado ni kapteni....akikutana na luteni mwenye PhD ya mbinu za kijeshi atampa saluti tu
 
Kitambi ni sign ya mambo kuwa safi Kibongo bongo..
..Ah! Ni zile bia za 400/= ndio zinazowalemaza hao. NImeshawahi kutembelea mesi mmoja ya JWTZ mazee ukiwa na 5,000 utakula bia mpaka usahau mlango wa kutokea. Sasa wataacha kuota hivyo vitumbo? Hao na polisi ni sawa tu full mauzembe. Nenda polisi baracks pale kurasini uone inabidi mpaka raia waingiie kwebnda kuwasaidia kunywa bia za bei poa wao wenyewe wanaishia kupokea pay in slip tupu mwisho wa mwezi.
 
john-komba.jpg


Hivi ana taarifa kama nyumba imeungua na moto kwao Lituhi? au anachapa usingizi tu?
 
wanajeshi wanaruhusiwa kuwa na vitumbo?

havina madhara kikazi?
 
Hakuna kitambi hapo.

Labda tu kwa yeyote mwenye picha za vitambi aziweke ili tupate kulinganisha.

Ninachoona hasa ni miili yao iliyo ya ukakamavu wa kutosha na utayari wa kupokea

maelekezo katika tukio husika.

Lakini pili,ni kuwa katika dunia ya leo vita vinapiganwa kiteknologia/kiuweredi na si kama tunavyofikiri.
 
Hakuna kitambi hapo.

Labda tu kwa yeyote mwenye picha za vitambi aziweke ili tupate kulinganisha.

Ninachoona hasa ni miili yao iliyo ya ukakamavu wa kutosha na utayari wa kupokea

maelekezo katika tukio husika.

Lakini pili,ni kuwa katika dunia ya leo vita vinapiganwa kiteknologia/kiuweredi na si kama tunavyofikiri.
 
Kuna wimbo flani tulikuwa tunaimba JKT kwamba " kazi za majeshi ehee gangamala, lazima ugangamale..gangamala ehe ehee gangamala!!

Sasa kama afande ana kitambi inatisha hii!!
 
Back
Top Bottom