Have you ever heard about Field marshal Erwin Rommel? Na yule mpinzani wake wa kiingezera kule Libya na Tunisia? Ushawahi kumsikia Gen. Douglas MacAthur? Hawa waliongoza vita kutokea wapi? Na ni kwanini wanaheshimika sana miongoni mwa wanajeshi maana nikisema napoleon utasema ilikuwa ni zamani sana....mtu asikudanganye bwana. Vita inapangwa ofisini inapigwa uwanja wa mapambano..afya mbovu utaandaje mikakati ya vita na kuitekeleza?View attachment 35246
hawa ni wakubwa sana kuwa uwanja wa vita.. hawa huongoza vita wakiwa ofisini au sehemu nyingine mbali...hata wakienda vitani hawakai mstari wa mbele....
Pili, jeshi la siku hizi sio lile la kufuatana na kuchomana singe za SR....
Tatu, hicho kitambi sio cha mbege.... huo mwili una zoezi mangi...
Kitambi ni sign ya mambo kuwa safi Kibongo bongo..
wape vyao hao!have you ever heard about field marshal erwin rommel? Na yule mpinzani wake wa kiingezera kule libya na tunisia? Ushawahi kumsikia gen. Douglas macathur? Hawa waliongoza vita kutokea wapi? Na ni kwanini wanaheshimika sana miongoni mwa wanajeshi maana nikisema napoleon utasema ilikuwa ni zamani sana....mtu asikudanganye bwana. Vita inapangwa ofisini inapigwa uwanja wa mapambano..afya mbovu utaandaje mikakati ya vita na kuitekeleza?
Mkuu unfikra zenye akili,siyo kama bushbaby naona upeo wake sawa na baby ndo maana haoni mbali.Have you ever heard about Field marshal Erwin Rommel? Na yule mpinzani wake wa kiingezera kule Libya na Tunisia? Ushawahi kumsikia Gen. Douglas MacAthur? Hawa waliongoza vita kutokea wapi? Na ni kwanini wanaheshimika sana miongoni mwa wanajeshi maana nikisema napoleon utasema ilikuwa ni zamani sana....mtu asikudanganye bwana. Vita inapangwa ofisini inapigwa uwanja wa mapambano..afya mbovu utaandaje mikakati ya vita na kuitekeleza?
Kabla hajatea kwenye kona au mlango unaona kitambi,alafu baada ya dakika tano ndo unaona sura,haaaaaa
Kitambi siyo kifaru kwamba kitarusha makombora, zaidi ya hapo ni kwamba kwa dunia ya sasa hatuhitaji misuli ya mwili kushinda vita. Tunahitaji zaidi misuli ya ubongo. Dunia ya sasa mtu anaweza kuwa pentagon akafyatua topedo kwenye nyambizi ndani ya bahari ya pasifiki, kwa hiyo ukiacha ukweli kwamba wanajeshi wa JWTZ wenye vitambi ni maofisa, ukweli pia unabaki palepale kwamba ubora wa jeshi hauwezi kupimwa kwa upana au udogo wa tumbo ya mwanajeshi. Nadhani Jeshi linahitaji kuwekeza kwenye intelligence na technolojia zaidi kuliko kuangalia maumbo.
Akina marehemu Mayunga, Owden na wenzake hawakukaa maofisini kwenye vita vya Kagera. Walikwenda wao mstari wa mbele bila woga. Hawa wenye vitambi lazima watakaa ofisini kwenye viti vya kuzunguka na ndipo kichapo tutakapo kiona.-Tutapigwaje?